Zekoddo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 1,831
- 4,498
Wakuu msaada kidogo hapa,,, nimenunua hii Simu S6 Ila nilijaribu kuweka line yangu haisomi.. tatizo nini wadau nashindwa kuelewa kabisa..
Simu hii ni Used, nadhan zinajulikana yaan zimetumika kidogo..
Halafu juu ya screen Kuna hicho kiduara sijui ndo kinachosababisha Simu yangu isisome line..!!!Naambatanisha na picha ili muone Wakuu
Simu hii ni Used, nadhan zinajulikana yaan zimetumika kidogo..
Halafu juu ya screen Kuna hicho kiduara sijui ndo kinachosababisha Simu yangu isisome line..!!!Naambatanisha na picha ili muone Wakuu