Samsung Galaxy S6 haitaki kusoma line(Mtandao)

Zekoddo

JF-Expert Member
Jul 28, 2022
1,831
4,498
Wakuu msaada kidogo hapa,,, nimenunua hii Simu S6 Ila nilijaribu kuweka line yangu haisomi.. tatizo nini wadau nashindwa kuelewa kabisa..
Simu hii ni Used, nadhan zinajulikana yaan zimetumika kidogo..
Halafu juu ya screen Kuna hicho kiduara sijui ndo kinachosababisha Simu yangu isisome line..!!!Naambatanisha na picha ili muone Wakuu
 

Attachments

  • IMG_20220915_135730_373.jpg
    IMG_20220915_135730_373.jpg
    520 KB · Views: 24
Wakuu msaada kidogo hapa,,, nimenunua hii Simu S6 Ila nilijaribu kuweka line yangu haisomi.. tatizo nini wadau nashindwa kuelewa kabisa..
Simu hii ni Used, nadhan zinajulikana yaan zimetumika kidogo..
Halafu juu ya screen Kuna hicho kiduara sijui ndo kinachosababisha Simu yangu isisome line..!!!Naambatanisha na picha ili muone Wakuu
Umechukua kwa sh ngapi hii?
 
Wakuu msaada kidogo hapa,,, nimenunua hii Simu S6 Ila nilijaribu kuweka line yangu haisomi.. tatizo nini wadau nashindwa kuelewa kabisa..
Simu hii ni Used, nadhan zinajulikana yaan zimetumika kidogo..
Halafu juu ya screen Kuna hicho kiduara sijui ndo kinachosababisha Simu yangu isisome line..!!!Naambatanisha na picha ili muone Wakuu
duh hiz simu bado zipo?
 
Wakuu msaada kidogo hapa,,, nimenunua hii Simu S6 Ila nilijaribu kuweka line yangu haisomi.. tatizo nini wadau nashindwa kuelewa kabisa..
Simu hii ni Used, nadhan zinajulikana yaan zimetumika kidogo..
Halafu juu ya screen Kuna hicho kiduara sijui ndo kinachosababisha Simu yangu isisome line..!!!Naambatanisha na picha ili muone Wakuu
Nenda setting>mobile data>ACCESS POINT NAME>
NAME:mtandao wako huo kama ni voda,halotel n.k
APN;andika "internet"
ukimaliza apo save itakuwa tayali
 
Born1703
Nilienda kwenye setting ya hii Simu Kuna menu kama za setting, kwahyo nichague ipi ili nifike hyo option ya Access point.?, options ni hizi.
1. Quick settings
2. Connections
3. Device
4. Personal
5. System..
Haya nasubiria msaada wenu wakuu
 
Born1703
Nilienda kwenye setting ya hii Simu Kuna menu kama za setting, kwahyo nichague ipi ili nifike hyo option ya Access point.?, options ni hizi.
1. Quick settings
2. Connections
3. Device
4. Personal
5. System..
Haya nasubiria msaada wenu wakuu
Nenda connection apo alaf mobile network
 
Nenda connection apo alaf mobile network
Hpo kwenye connections Kuna.
-wifi
  • wifi calling
  • Bluetooth
  • Airplane mode
  • Mobile hotspot and tethering
  • Date usage
  • NFC and payment
  • More connection settings.

Hyo mobile network siioni..
Labda kwa hizo options nikimbilie wapi..?
 
Hpo kwenye connections Kuna.
-wifi
  • wifi calling
  • Bluetooth
  • Airplane mode
  • Mobile hotspot and tethering
  • Date usage
  • NFC and payment
  • More connection settings.

Hyo mobile network siioni..
Labda kwa hizo options nikimbilie wapi..?

Jaribu katika mobile hotspot au more connection setting
 
Huu uzi unaweza kunisaidia.

Nina Samsung Tablet S6 Lite nili update Android kutoka Android 11 kwenda Android 12 ikagoma kusoma line (sim card), inaandika EMERGENCY CALLS ONLY.

Nikienda kwenye NETWORK OPERATORS sehemu ya SELECT AITOMATICALLY iko ON, nikitaka kuweka OFF ili nifanye MANUALLY haikubali.

Wataalam nisaidieni.
Cc. Chief-Mkwawa

Kwasasa naitumia kwa njia ya WiFi.

IMG-20220915-WA0056.jpg
 
Huu uzi unaweza kunisaidia.

Nina Samsung Tablet S6 Lite nili update Android kutoka Android 11 kwenda Android 12 ikagoma kusoma line (sim card), inaandika EMERGENCY CALLS ONLY.

Nikienda kwenye NETWORK OPERATORS sehemu ya SELECT AITOMATICALLY iko ON, nikitaka kuweka OFF ili nifanye MANUALLY haikubali.

Wataalam nisaidieni.
Cc. Chief-Mkwawa

Kwasasa naitumia kwa njia ya WiFi.

View attachment 2358140
Nunua smart kitochi weka line humo washa hotspot kisha hio simu unganisha wifi, utaipenda na ukitumia wifi chaji inakaa sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom