salama

Salamá is a city in Guatemala. It is the capital of the department of Baja Verapaz and it is situated at 940 m above sea level. The municipality of Salamá, for which the city of Salamá serves as the administrative centre, covers a total surface area of 764 km² and contains 65,275 people.

View More On Wikipedia.org
  1. majam19

    Nimeamua kumuacha salama salmini

    Habari za majukumu ndugu zangu hapa JF, Leo ninafuraha na amani tele kweny moyo wangu baada ya kuchukua maamuz ya kuachan na bint nipiyetaka kumuoa ila baada ya kujua madhaifu yake ni mengi kuliko uwezo Wang NIlikuja kuomba ushaur humu na kunajambo jipya lilikuja kweny akili yang na nikachukua...
  2. R

    Tuko salama kiasi gani kwenye mitandao: Msikilize Maxcence Melo, JamiiAfrica CEO

    Kuna haja ya kuwa macho sana kama unataka ku maintain anonymity/usijulikane.
  3. N

    KERO Responded Songea: Hali ya Soko la Bombambili si salama, wakati wa mvua hali ni mbaya

    Hali ya Soko letu la Bombambili hapa Mkoani kwetu Songea Mjini sio nzuri hasa inapotokea mvua imenyesha, miundombinu yake inakuwa siyo rafiki. Wafanyabiashara na wateja wote wanapata wakati mgumu kupita na kufanya shughuli zao nyingine kutokana na matope, uchafu na mvurugano uliopo...
  4. Setfree

    Kumekucha salama! Karibuni kwa sala ya asubuhi, tumshukuru Mungu

    Mungu Baba, umetuagiza katika 1 Thes 5:18 kwamba tushukuru kwa kila jambo; maana hayo ni mapenzi yako kwetu katika Kristo Yesu. Tunakushukuru sasa Baba kwa kutulinda usiku kucha. Tumelala usingizi mnono na kuamka tukiwa na nguvu na uzima. Asante sana Baba kwa neema yako. Endelea kutulinda...
  5. Mkalukungone Mwamba

    Dkt. Grace Magembe: Watu 281 waliokuwa Karantini kwa ugonjwa wa Marburg Kagera watoka Salama

    Mganga Mkuu wa Serikali, Dkt. Grace Magembe amesema watu 281 wakiwemo watumishi wa afya 64 waliokuwa wametangamana na wagonjwa wa Marburg mkoani Kagera, wametoka karantini wakiwa salama. Amesema katika mipaka ikiwemo viwanja vya ndege na bandari, wasafiri 18 kati ya 417,148 waliochunguzwa...
  6. Smartkahn

    Watanganyika Salamaaa👋👋👋

    Ninyi na rasilimali zenu safiii!!! Hivi ikitokea mtu katekwa na watekaji aidha majambazi au magaidi, hao watekaji wakatoa tamko lao, kwamba "mtu wenu tunae, ila tutamuua kama hamtatimiza matakwa yetu ndani ya muda fulani" Baada ya muda uliowekwa kupita mnamuona yule mateka mtaani mzima wa...
  7. Pdidy

    Simba hamjawahi toka salama siku ya wanawake kaangalien history..Ahmed ally anawapotosha

    Niwakumbushe tu Wana Simba zimebki siku 7 NENDEN kafwatolein hamjawahi toka salama siku ya wanawake DUNIAN Na hii nowajuza ili siku mkiona hii tar geuzeni njia mtaliaaa Hii siku MSISHANGAE 4-6. Zonawanyeshea Nawatakia kila la kheri
  8. Anyisile Obheli

    Salaam ni Ibaada.

    Atukuzwe Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristo hapa ndani Shalom Aleichem Jumuiya Salaam Aleykhum Enyi Waja Mwadila Mpola Mwagona Mwagona Simboni Mughonile mwebha Mwakata mweh Naam naam; ndugu zangu salamu ni Ibaada, hivyo hata uswali, usali vipi lakini kama husalimii wanaokuzunguka basi...
  9. Faana

    Je hizi lipstick zinazotengenezwa kwa kutumia hawa wadudu ni salama?

    Hii clip inaonyesha namna lipstick inavyotengenezwa je ina usalama? https://www.facebook.com/reel/1143524623889538
  10. Tlaatlaah

    Ipi rahisi, nafuu na salama zaidi kati ya kununua gari showrooms na kuagiza kutoka ng'ambo?

    Hebu mshauri mTanzania huyu anaekusudia kununua usafiri wake wa gari dogo sasa hivi. Ipi njia rahisi kwake kununua gari kwa urahisi, kwa unafuu wa fedha na muda na kwa usalama zaidi kati ya kuagiza kutoka ng'ambo na kwenda kuchagua tu sehemu mbalimbali yanapuuzwa magari nchini? Kwa niaba ya...
  11. Scared

    Mungu ni mwema hatimae nimemaliza kazi salama

    Nashukuru wanajamii forum Kwa kuniombea nimemaliza kazi salama nimeona kweli hii forum ni kama familia asanteni sana wakuu tuendelee kupendana humu milele hatujuani Kwa sura ila tuendeleze upendo ndugu zangu
  12. Carlos The Jackal

    Tanzania haitakuwa Salama, Endapo DRC itaangukia mikononi mwa RWANDA, M23 wapigwe na JWTZ Kwa makubaliano ya Taifa Kunufaika na Kukaa mashariki ya DRC

    Hamna wakati mwingine ambao Tanzania inahitaji DRC iliyotulia kama ilivyo Sasa !! RWANDA ni ka Nchi kadogo sana, Ambako kana maeneo machache ya kimkakati linapokuja suala la uchumi , wako limited katika Resources . Ndio Sababu Kagame Palipo na Migogoro anajitahidi kujiingiza na kusaini...
  13. R

    Limenijia tu kichwani, waliomuua Mzee Kibao wamefanya dhambi kubwa sana!Hamtakuwa salama milele,

    Hamtakaa muwe salama ndani ya mioyo yenu. Na kumbuka THE EVILS THAT MEN DO LIVE AFTER THEM! by Marc Antony
  14. Traveller TM

    I'm Looking for someone in dar es salama who is a Native English Speaker

    Hello JF, I'm looking for someone in dar es Salam who is a Native english Speaker, The purpose of looking for that person is learning Anyone interested please check me
  15. Tlaatlaah

    FANYENI MAPENZI SALAMA LEO MWISHO WA MWAKA HUU2024 , ILI KUANZA MWAKA MPYA 2025 KESHO BILA UTI, GONORRHEA, KASWENDE AU UKIMWI.

    Anza mwaka mpya 2025 ukiwa na furaha ya afya njema na sio kuchota maradhi kwa ngono zembe. Jizuie na ngono nzembe kuepuka magonjwa ya zinaa ya fedheha kama vile UTI Sugu, gono, kaswende au ukimwi. kwa wewe mwenye UTI au gono, jitibu kwanza na umalize dozi, acha kuambukiza wengine kwa tamaa na...
  16. U

    Waziri Mkuu wa Israel agundulika na Kansa ya tezi dume stage 3 baada ya kufanyiwa uchunguzi

    Wadau hamjamboni nyote? Tumuombee mwamba Mungu amfanyie wepesi alone arudi kuongoza mapambano dhidi ya magaidi Mungu ibariki nyumba ya Yakobo PM to be hospitalized for several days for prostate surgery, Prime Minister Benjamin Netanyahu addresses the Knesset, December 23, 2024. (Chaim...
  17. technically

    Mbowe, Damu za Watanzania zilizomwagika miaka 20 hazitakuacha salama

    Nayasema haya kwa uchungu mkubwa Damu za Watanzania zilizomwagika kuanzia Chacha wangwe, Mwangosi, Akwilina, Ben Saanane, Alphonce Mawazo, Ali Kibao, risasi alizopigwa na kuumizwa Tundu Lissu huku ukijua kabisa Chadema sio chama Cha upinzani nakuhakikishia you will pay. Kuharibu maisha ya...
  18. Ritz

    Yemen iliwaonya kwamba Tel Aviv imeteuliwa kama eneo lisilo salama kabisa

    Wanaukumbi. Yemen warned the settlers that Tel Aviv has been designated as an unsafe area and will be targeted by the Yemeni Armed Forces, they didn’t listen🤷🏻‍♂️ ========================= Yemen iliwaonya walowezi hao kwamba Tel Aviv imeteuliwa kama eneo lisilo salama na lingelengwa na...
  19. Siri ya sifuri

    Mamlaka husika watazame vivuko kwa ukaribu zaidi

    Salaam wakuu; Wahenga walisema"Kuhangaika bure sio sawa na kukaa bure,tena wakasema tembea uyaone. Naam, leo nilikuwa na vijisent vyangu vilivyotosha kwa nauli ya kwenda mahala fulani na kunirudisha nilipotoka, huyoo kwenye daladala za kigamboni kutokea Tandika safari ikaanza,Daresalaam nzuri...
  20. Sheikh23

    Huu uwekezaji ni salama? Gavoo na Mamlaka zinaujua?

    Wakuu habari za muda huu. Kuna uwekezaji ambao upo kwa mfumo wa betting,sitaki kuingia ndani sana kuudadavua,kubwa tu nahitaji kujua,Je,uwekezaji huu ni salama? Gavoo inajua kama raia wake wamewekeza huku au ndio mpaka vilio vianze ndio tusikie matamko? Cha kushangaza Betting hii sio ya...
Back
Top Bottom