LllHii ni moja ya mijadala mikubwa duniani. Wapo wanaosema ni haki ya mwanamke kuchagua, na wapo wanaosema ni kuondoa uhai wa asiye na uwezo wa kujitetea. Kabla ya kutoa hukumu, ni vizuri kusikiliza hoja zote.
WANAOSEMA NI SAHIHI, HUSEMA:
1. Mwili ni wake, maamuzi ni yake
Wanadai hakuna mtu...