TAKUKURU: Watu 8 wakiwamo Watumishi 7 wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) kushitakiwa kwa makosa ya rushwa na Uhujumu Uchumi

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,757
4,305
1591947307857.png


1591947471702.png

1591947435840.png

1591947503413.png
 
Ma-tamthilia yanaendelea, huwa nasikitika sana nikikumbuka ishu ya yule askari aliyefukuzwa kazi baada ya video yake akipokea rushwa kutoka kwa dereva wa daladala kusambaa.

Nasikitika Kwasababu alitolewa kafara wakati kuna watu wanapiga mipunga mizito inayoadhiri karibia kila MTANZANIA.

Hivi wale waliopunguza gawio la SERIKALI kwenye madini wako wapi?

Wale waliomsafirisha Twiga mpaka Uarabuni, je?

Lugumi naye alipotelea wapi?

Yule mkubwa na zile pesa za pembejeo?!

HUU MSUMENO WA TAKUKURU UKO UPANDE MMOJA TU?
Leo mko Kasi kwa CHADEMA wakati masoo kibao mmeyalia ganzi?

Elf 2 kwa nesi au daktari au askari anapoteza ajira na jela inamsubiri wakati kuna watu WALITIA SAINI MIKATABA MIBOVU YENYE HARUFU YA RUSHWA LEO BADO WAPO NA VYEO BUNGENI.

NB:
SITETEI KUPOKEA WALA KUTOA RUSHWA YA AINA WALA KIASI CHOCHOTE BALI HAYA NI MAWAZO YANGU YA RUSHWA INAVYOSHUGHULIKIWA HAPA KWETU TZ.
 
Ma-tamthilia yanaendelea, huwa nasikitika sana nikikumbuka ishu ya yule askari aliyefukuzwa kazi baada ya video yake akipokea rushwa kutoka kwa dereva wa daladala kusambaa.

Nasikitika Kwasababu alitolewa kafara wakati kuna watu wanapiga mipunga mizito inayoadhiri karibia kila MTANZANIA...
Na jana mh. Rais amewasamehe watu(maafisa wa zimamoto) tulioambiwa wameingia mkataba ulioli ingizia taifa hasara ya Tsh. Bil 1000 yaani Trilion 1.
 
Ma-tamthilia yanaendelea, huwa nasikitika sana nikikumbuka ishu ya yule askari aliyefukuzwa kazi baada ya video yake akipokea rushwa kutoka kwa dereva wa daladala kusambaa.
Nasikitika Kwasababu alitolewa kafara wakati kuna watu wanapiga mipunga mizito inayoadhiri karibia kila MTANZANIA. Hivi wale waliopunguza gawio la SERIKALI kwenye madini wako wapi?...
Lugumi issue yake ndio imepotea mjomba, si unajua tena! angekuwa ametokea umatengoni angekuwa na kina sethi kuleeeeeeeee!
 
JF siku hizi raha sana! Enzi zile hapa watu wangekuwa wanaweka vidokezo kuhusu "uhusika" wa watuhumiwa! Sasa hivi tunaponda tu, hii inaweza dalili ya kuwa tumegundua kuwa hela za mafisadi zilikuwa zinafanya maisha yetu kuwa "mepesi" nawaza tu wakuu!
 
JF siku hizi raha sana! Enzi zile hapa watu wangekuwa wanaweka vidokezo kuhusu "uhusika" wa watuhumiwa! Sasa hivi tunaponda tu, hii inaweza dalili ya kuwa tumegundua kuwa hela za mafisadi zilikuwa zinafanya maisha yetu kuwa "mepesi" nawaza tu wakuu!
Na hapo hapo kuna uwezekano watu wameona mafisadi yako categorized yapo yanayo chukuliwa hatua na yapo yanayodunda tu kitaa.

Makonda alituhumiwa na rais kuweka furniture zake binafsi kwny yale makontena yenye furniture za ofisi za walimu na alikua ameziombea tax exemption,je alichukuliwa hatua gani baada ya hapo?
 
  • Thanks
Reactions: _ID
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom