#DAUDA_KAMJIBU_JEMEDARI
Shaffih Dauda kamjibu Jemedari Said kuhusu alichomkosoa Rais wa Yanga.
"Sidhani kama kuna shida yoyote kwa Rais wa Yanga kupiga picha na mchezaji wake au kufanya nae mazoezi,, Guys tunaishi kwenye Dunia gani ? Kuna jambo gani la ajabu ?"
"Rais Florentino Perez wa Real...