pwani

For the province in Kenya known as "पानी" in Swahili, see Coast Province.Pwani Region is one of Tanzania's 31 administrative regions. The regional capital is the town of Kibaha. According to the 2012 national census, the region had a population of 1,098,668, which was slightly lower than the pre-census projection of 1,110,917. From 2002 to 2012, the region's 2.2 percent average annual population growth rate was the seventeenth-highest in the country. It was also the 21st most densely populated region with 34 people per square kilometre. With a size of 32,407 square kilometres (12,512 sq mi), the region is slightly larger than the U.S. state of Maryland (32,133 square kilometres (12,407 sq mi)).
The region is bordered to the north by the Tanga Region, to the east by the Dar es Salaam Region and the Indian Ocean, to the south by the Lindi Region, and to the west by the Morogoro Region. The word "पानी" (pānī) in Kiswahili means "coast".

View More On Wikipedia.org
  1. R

    JamiiForums Tanzania Tetemeko Kuu lapiga Mashariki mwa Urusi, Tahadhari ya Tsunami yatolewa Japan, Hawaii na Visiwa vya Pasifiki

    Mapema Julai 30, 2025, imeripotiwa tetemeko kubwa la ardhi lenye ukubwa wa 8.8 Magnitude lilikumba bahari ya Pasifiki karibu na pwani ya mashariki ya Urusi, likiathiri zaidi eneo la Kamchatka na Visiwa vya Kuril. Kwa mujibu wa wanasayansi wa Chuo cha Sayansi cha Urusi, hili ni tetemeko kubwa...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Kila jambo la aibu kwa mtu wa bara, ni jambo la kawaida sana kwa mtu wa pwani

    Nimeishi miaka flan pwani na waswahili , kuna tabia ambazo nilikuwa naona za ajabu sana toka kwao lakini wao hawakuwahi kuona shida . Mfano unamkuta baba wa familia kaamka asubuhi kavaa msuli kaja kwako kupiga stori chai itapikwa hapo mtakunywa wote na mwingine anakuja na watoto wake kabisa ...
  3. Huihui2

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwabili Mwagodi apatikana ametupwa pwani ya Mombasa

    "Mwabili alitupwa kichakani huko Kinondo, Kaunti ya Kwale majira ya saa 9 alfajiri, ambako alitembea takriban kilomita 3 hadi Diani. Alipowasili Diani, aliweza kuwasiliana na familia yake ambao walitufahamisha, na tukatuma maafisa wetu mara moja." Hussein Khalid "Alipokuwa Diani, Mwabili...
  4. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania RPC Pwani akanusha mkuu wa kituo cha polisi Kongowe kuhusika kupotea kijana Hussein

    Jeshi la Polisi mkoa wa Pwani, kupitia kwa Kamanda wake ACP Salim Morcase limekanusha vikali taarifa zinazodai kuwa Mkuu wa Kituo kidogo cha Polisi Kongowe alishirikiana na askari Mgambo kumkamata kijana Hussein Abdallah Mkwame (26), ambaye kwa takribani miezi miwili (2) sasa hajulikani halipo...
  5. Shuku_

    JamiiForums Tanzania MANANASI na MACHUNGWA yanauzwa bei gani ya jumla huko kiwangwa?

    Habari zenu wakuu 👋🏽 👋🏽 Kwa anayefahamu bei ya jumla ya MANANASI na MACHUNGWA kutoka kwa wakulima wa KIWANGWA- CHALINZE naomba anijuze. Natanguliza shukrani 🙏🏽🙏🏽
  6. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani, Shekh Ally Mohamed (Kadogoo) ajivua Uanachama

    Makamu Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani, Shekh Ally Kadogo ametangaza kujivua Uwanachama wa chama Cha demokrasia na Maendeleo Chadema kuanzia leo Juni 15, 2025 na kujivua nafasi yeke kama aliyonayo kwenye chama hicho. Soma, Pia: Shehe Ally Mohamed Kadogoo achaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti...
  7. Just Pray

    JamiiForums Tanzania Maofisa wa Maliasili Kibiti Pwani, wanadaiwa kumuua Haji Mnette na kuuzika mwili wake kupoteza ushahidi, DC aagiza uchunguzi

    Maofisa wa Maliasili wilayani Kibiti mkoani Pwani, wanadaiwa kumuua Haji Mnette na kuuzika mwili wake haraka kupoteza ushahidi, nduguze wamelalamika. Mkuu wa Wilaya ya Kibiti, Kanali Joseph Kolombo ameagiza wahusika wawekwe ndani na wananchi wawe watulivu wakati suala hilo likifanyiwa kazi...
  8. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Serikali yangu itawawezesha wavuvi kununua meli kubwa za kisasa za kuvua samaki pwani ya bahari ya hindi

    Hii ni kuhakikisha tunanufaika na pwani ya bahari ya indi tofauti na sasa hatunufaiki nayo
  9. Kant Ombe

    JamiiForums Tanzania Mrejesho wa kazi za TANROADS Pwani-Kibaha

    Jamn kwemaaa!! Kuna yeyote ambae ashapata mrejesho wa hizi KAZI za TANROADS PWANI-?
  10. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mwenyekiti BAZECHA: Rais Samia aeleze kwanini Watanzania wananyanyasika katika ardhi yao, aeleze hatua alizochukua kulinda haki

    BAZECHA Pwani wanaongea na Waandishi wa Habari https://www.youtube.com/live/C8UctgnFAbg?si=i1BRJLq9o2CFiX0x Mwenyekiti BAZECHA - James Haule Ni kwa mara ya kwanza Kanda ya Pwani kuongea na waandishi wa Habari, tumekuwa tukifatilia kwa ukaribu mazingira halisi yaliyopelekea cnhi yetu kufikia...
  11. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Rais Samia atoa magari saba kwa jeshi la polisi Pwani

    Jeshi la Polisi Mkoani Pwani limepokea magari saba ikiwemo matatu aina ya Toyota Land cruiser mpya (Zero kilomita ) hatua inayolenga kuongeza kasi na ufanisi wa Jeshi hilo katika kukabiliana na uhalifu , kuhakikisha usalama wa raia na mali zao pamoja na kuimarisha utendaji kazi kwenye Wilaya za...
  12. P

    JamiiForums Tanzania Habari Kuna muombaji ameshajibiwa zile Ajira za TANROAD Vacancies za Kibaha pwani Tujuzane wadau

    Habari Kuna muombaji ameshajibiwa zile Ajira za TANROAD Vacancies za Kibaha pwani Tujuzane wadau
  13. P

    JamiiForums Tanzania Habari Kuna muombaji ameshajibiwa zile Ajira za TANROAD Vacancies za Kibaha pwani Tujuzane wadau

    Habari Kuna muombaji ameshajibiwa zile Ajira za TANROAD Vacancies za Kibaha pwani Tujuzane wadau
  14. matunduizi

    JamiiForums Tanzania Nimesikitika sana baada ya kuiona Dar kwa mbali: Nashauri Pwani yote iwe DSM

    Katika harakati za hapa na pale nilifanikiwa kuiona DSM kwa mbali aisee ni kajiji kadogo sana. Yaan magorofa vya posta kwanza yanayoonekana ni kama matatu tu, mengine kama ya kkoo yanaonekana ni mrundikano mdogo sana tena kwenye kaeneo kadogo sana. Badala ya kufuga mapori nashauri jiji hili...
  15. Nyafwili

    JamiiForums Tanzania Wilaya ya Mafia ina watu wachoyo na wabinafsi kuliko maeneo mengine

    Jamii yoyote inayojali "mimi" badala ya "sisi" hujenga mazingira ya mgawanyiko, kutoaminiana, na kurudisha nyuma juhudi za pamoja hasa kwa wale wanaohamia maeneo mageni ili kuazisha maisha mapya. . Ni wazi kuwa kila jamii ina tabia na hulka zake. Lakini kwa muda niliokaa hapa Mafia, nimegundua...
  16. Dalali wa kimataifa

    JamiiForums Tanzania House4Sale Nyumba ya ghorofa inauzwa Vikindu mkoa wa Pwani🇹🇿

    GHOROFA LINAUZWA GHOROFA LIPO VIKINDU MKOA WA PWANI GHOROFA NI LA VYUMBA V5 CHINI KUNA VYUMBA V3 VYOYE SELF SITTING ROOM DAINING ROOM JIKO STOO PUBLIC MAJI ELECTRIC FENCED JUU VYUMBA V2 ZOTE MASTER NA SITTING ROOM BALCONY ENEO SQM 1000 UMILIKI TITTLE DEED BEI MIL 280 KARIBU SANA MTEJA...
  17. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania Waziri Mavunde azindua kiwanda cha uBaruti na vilipuzi - Kisarawe, Pwani

    ▪️Kiwanda kuzalisha tani 22,000 za baruti na vilipuzi milioni 15 kwa mwaka ▪️Ni matokeo ya kazi ya Rais Samia mazingira kuvutia uwekezaji ▪️ Zaidi ya ajira 300 za moja kwa moja na 1000 zisizo za moja kwa moja kuzalishwa KISARAWE, PWANI Serikali inaendelea na utekelezaji wa mkakati wake wa...
  18. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania Daraja la Pangani ni mradi muhimu unaoendelea kujengwa ili kuunganisha mikoa ya Tanga na Pwani kupitia barabara ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC)

    Daraja la Pangani ni mradi muhimu unaoendelea kujengwa ili kuunganisha mikoa ya Tanga na Pwani kupitia barabara ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC). Daraja hili litakuwa na urefu wa mita 525 na linatarajiwa kuwa daraja la sita kwa urefu nchini Tanzania.
  19. Nicolas J Clinton Gabone

    JamiiForums Tanzania MKOA WA PWANI UGAWANYWE

    Mkoa wa Pwani ugawanywe Kibaha, Bagamoyo, Kisarawe na Mkuranga ziunde jiji la Dar Es Salaam. Rufiji, Kilwa, Mafia na Kibiti ziunde Mkoa wa Pwani/Rufiji/Kilwa. Mikoa miwili ya Tanzania bara yaani Morogoro na Tabora iwe mikoa ya Viwanda vikubwa/vizito zaidi na technologia ya majeshi yetu na...
  20. Just Pray

    JamiiForums Tanzania Pwani: Watu wasiojulikana wakidaiwa kuwa ni polisi wabomoa nyumba na kuchoma moto mali za wananchi wakidai kutumwa na mmiliki wa eneo hilo

    Watu 'wasiojulikana' wamefika katika Kitongoji cha Mchango wa Hela, Pwani, na kubomoa nyumba kadhaa huku wakichoma moto baadhi ya vitu, wakidai kutumwa na mmiliki wa eneo hilo. Tukio hili limezua taharuki kubwa kwa wakazi wa eneo hilo ambao wamemlilia Rais Samia Suluhu Hassan awasaidie...
Back
Top Bottom