100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 9,944
- 35,401
Katika hii ziara ambapo Putin ameenda China naona mambo hayakuwa kiofisi tu kama Trump alivyo karibishwa, Xi na Putin wameonekana wakipika pamoja vyakula vya asili vya China, wakinywa pombe , na wamekula pamoja, wamesafiri pamoja kwa treni ya mwendokasi, wameangalia michezo pamoja.
Nimekaa hapa natafakari naona huu ni ujumbe tosha kwa US na NATO, maana hii hospitality amepata Putin ni tofauti kabisa na jinsi Trump alivyokaribishwa.
Naona Xi katuma ujumbe makusudi, ukiachilia hilo wamesaini mkataba , na kikubwa zaidi wamesaini mkataba wenye kurasa 47 , Joint Declaration on a Multipolar World Order,mkataba huo , ni mkakati mzito wa kisiasa uliolenga moja kwa moja kupinga ubeberu na ulimwengu unaoongozwa na nchi moja tu , unipolar, hususani wakiilenga USA.
Nimeshangaa sana maana Trump kaenda China na amerudi mikono mitupu...
Yote na yote Iran imefanya maajabu sana, na imewapa Xi na Putin kiburi hata cha kufanya jambo hili... salute to Iran.
View: https://www.youtube.com/watch?v=za58qXRreZA
Nimekaa hapa natafakari naona huu ni ujumbe tosha kwa US na NATO, maana hii hospitality amepata Putin ni tofauti kabisa na jinsi Trump alivyokaribishwa.
Naona Xi katuma ujumbe makusudi, ukiachilia hilo wamesaini mkataba , na kikubwa zaidi wamesaini mkataba wenye kurasa 47 , Joint Declaration on a Multipolar World Order,mkataba huo , ni mkakati mzito wa kisiasa uliolenga moja kwa moja kupinga ubeberu na ulimwengu unaoongozwa na nchi moja tu , unipolar, hususani wakiilenga USA.
Nimeshangaa sana maana Trump kaenda China na amerudi mikono mitupu...
Yote na yote Iran imefanya maajabu sana, na imewapa Xi na Putin kiburi hata cha kufanya jambo hili... salute to Iran.
View: https://www.youtube.com/watch?v=za58qXRreZA