putin

Vladimir Vladimirovich Putin (; Russian: Владимир Владимирович Путин, romanized: Vladimir Vladimirovič Putin, Russian pronunciation: [vɫɐˈdʲimʲɪr vɫɐˈdʲimʲɪrəvʲɪtɕ ˈputʲɪn]; born 7 October 1952) is the president of Russia since 2012, previously holding the position from 2000 until 2008. In between his presidential terms, he was also the prime minister of Russia under President Dmitry Medvedev.
Putin was born in Leningrad and studied law at Leningrad State University, graduating in 1975. Putin was a KGB foreign intelligence officer for 16 years, rising to the rank of Lieutenant Colonel before resigning in 1991 to enter politics in Saint Petersburg. He moved to Moscow in 1996 and joined president Boris Yeltsin's administration where he served as director of the FSB, the KGB's successor agency, and then as prime minister. He became acting president on 31 December 1999, when Yeltsin resigned.
During his first presidency, the Russian economy grew for eight straight years, and GDP measured in purchasing power increased by 72%. The growth was a result of the 2000s commodities boom, recovery from the post-Communist depression and financial crises, and prudent economic and fiscal policies. In September 2011, Putin announced he would seek a third term as president. He won the March 2012 presidential election with 64% of the vote. Falling oil prices coupled with international sanctions imposed at the beginning of 2014 after Russia's annexation of Crimea and military intervention in Eastern Ukraine led to GDP shrinking by 3.7% in 2015, though the Russian economy rebounded in 2016 with 0.3% GDP growth and the recession officially ended. Putin gained 76% of the March 2018 presidential vote and was re-elected for a six-year term that will end in 2024.Under Putin's leadership, Russia has experienced democratic backsliding. Experts do not generally consider Russia to be a democracy, citing purges and jailing of political opponents, curtailed press freedom, and the lack of free and fair elections. Russia has scored poorly in Transparency International's Corruption Perceptions Index, Economist Intelligence Unit's Democracy Index and Freedom House's Freedom in the World index (including a record low 20/100 rating in the 2017 Freedom in the World report, a rating not given since the time of the Soviet Union). Human rights organizations and activists have accused Putin of persecuting political critics and activists, as well as ordering them tortured or assassinated; he has rejected accusations of human rights abuses. Officials of the United States government have accused him of leading an interference program against Hillary Clinton in support of Donald Trump during the U.S. presidential election in 2016, an allegation which both Trump and Putin have frequently denied and criticized.

View More On Wikipedia.org
  1. matunduizi

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Aliyekutana na Trump Alaska hakuwa Putin halisi, alikuwa ni moja ya watu waliotengenezwa kufanana na Putin

    Moja ya tetesi katika ULIMWENGU wa habari njama ( Conspiracy Theories) ni KUWA aliyekutana na Donald Trump sio Putin ni mmoja kati ya watu ambao walitengenezwa kufanana na Putin. Ushahidi unaotolewa... Inaonekana huyu anamashavu makubwa. Pili hatembei kijasusi kama Putin halisi (KGB au...
  2. The Zanzibar Echo

    JamiiForums Tanzania Upendo wa Trump kwa Putin ni wa ajabu sana

    Muda mfupi uliopita, Donald Trump alizungumza kwenye Fox News, akitoa maoni yake kwa mara ya kwanza tangu rais wa Marekani na mwenzake wa Ukraine Volodymyr Zelensky kukutana katika Ikulu ya White house Jumatatu, pamoja na washirika wengine wa Ulaya. Trump anasema anapanga mkutano kati ya...
  3. Miss Natafuta

    JamiiForums Tanzania Walinzi wa mwili wa Putin ‘hukusanya kinyesi chake anaposafiri nje ya nchi na kukirudisha Urusi pamoja naye’

    realratedred Vladimir Putin anakutana na Donald Trump huko Alaska leo kwa mazungumzo ya amani yenye umuhimu mkubwa kuhusu vita vya Ukraine, na inaripotiwa kwamba ameambatana na moja ya hatua zake za kiusalama za ajabu kabisa. Kulingana na waandishi wa habari wa uchunguzi kutoka Ufaransa, Regis...
  4. The Zanzibar Echo

    JamiiForums Tanzania Wanao mkosoa Putin kwa kuchelewesha kumaliza operesheni yake ya kijeshi huko Ukraine wanategemea hisia zaidi ya hoja

    Leo nimekaa na kutafakari ingekuaje kama NATO na EU wasingekuq nyuma ya Ukraine katika vita vyake na Russia. Ingekua sasa Putin ameshajenga ikulu pale Kyiv na sasa anakunywa mvinyo wake pendwa Spanish red wine. Uo ni ukweli na ushahidi upo pale Georgia mwaka 2008 alipovamia kuwakomboa watu wa...
  5. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Siku zote mdogo humfuata mkubwa. Putin nmemwonea huruma. Trump ana ubabe mwingi sana

    Putin ameonekana mnyonge sana kuitwa na kwenda Marekani ni kuonesha Putin yupo hoi. Huo ni ukweli ambao hatutakubaliana nao sababu tulikuwa tunaamin Putin ni mbabe sana. Miaka yote naamini Russia/Putin mjeuri sana na mbabe. Lakini nmejifunza kitu. Haya mambo si ya ushabiki.
  6. and 998 others

    JamiiForums Tanzania Tetesi: CHAUMMA & ACT wapongeza Mkutano wa Putin & Trump

    Inasemekana vyama vikuu vya upinzani nchini vimepongeza Mkutano wa Putin na Trump huko Alaska na kutanabaisha kwao ndio mwanzo wa Amani huko Ukraine na duniani kwa ujumla
  7. Yoda

    JamiiForums Tanzania Mambo kadhaa yaliyozua mjadala Trump alipokutana na Putin Alaska

    1. Trump kurudia mara mara kwa mara kulitaja jimbo la Alaska kama sehemu ya Urusi, wakati anenda Alaska alikuwa akisema anaenda Urusi kukutana na Putin, wakati anarudi Washington alisema anarudi Marekani 2. Trump kupewa somo la uchaguzi na demokrasia na Putin. Trump anasema Putin amemuambia...
  8. Benson Mramba

    JamiiForums Tanzania Kama Trump kaweza kukutana na Putin Mama Samia anakwama wapi?

    Kama kuna mgogoro mkubwa duniani ni pamoja na mgogoro wa Urusi na Ukaine. Lakini sasa watu wanapambana kutafuta suluhu. Israel na Iran wameweza kukakaa pamoja na kukubaliana hivyo hivyo kwa India na Pakistani. Sisi tunafeli wapi? Dunia inapambana kumaliza migogoro iliyopo sisi tunapambana...
  9. The Zanzibar Echo

    JamiiForums Tanzania Trump asema hakuna makubaliano lakini 'wamepiga hatua kubwa' baada ya mazungumzo na Putin

    Rais Donald Trump wa Marekani amesema yeye na Putin wamekuwa na mkutano wenye tija na kwamba wamepiga "hatua kubwa". Trump na Putin walizungumza kwa pamoja jukwaani kwa takriban dakika 10. Wote wawili walionyesha ishara ya mazungumzo mema waliokuwa nayo wakati wa mkutano wao wa faragha, ingawa...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Hiki kinachoendelea anachofanya Trump kwa Putin ni dharau ya wazi wazi, Hebu jionee mwenyewe

    Sio kwamba Trump amefanya haya kumtisha Putin moja kwa moja, haya ni maonyesho ya kimafumbo ya nguvu, ni sehemu ya mbinu za kuonesha ubabe katika ulimwengu wa siasa za kimataifa (geopolitics). 🙌🙌 1. Salamu ya Trump kwa Putin haikuwa tu ya kawaida, ilikuwa na ujumbe wa mamlaka. Trump aliweza...
  11. Mhaya

    JamiiForums Tanzania PUTIN na TRUMP wakutana jijini Alaska kuzungumzia mambo mbalimbali ikiwemo vita ya Ukrein

    Habari: Putin na Trump Wakutana Alaska Licha ya Shitaka la Kukamatwa na ICC Anchorage, Alaska — Agosti 15, 2025 Leo Rais wa Urusi Vladimir Putin na Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump wamekutana mjini Anchorage, Alaska, katika kile kinachoelezwa kuwa mazungumzo ya kiwango cha juu kuhusu...
  12. The Zanzibar Echo

    JamiiForums Tanzania Trump asema atajaribu kurudisha eneo la Ukraine katika mazungumzo na Putin

    kwamba atajaribu kurejesha baadhi ya maeneo ya Ukraine wakati wa mkutano wake na Rais wa Urusi Vladimir Putin Ijumaa ijayo. "Urusi imechukua sehemu kubwa ya Ukraine. Wamechukua eneo muhimu. Tutajaribu kurudisha baadhi ya eneo hilo kwa Ukraine," alisema katika mkutano na waandishi wa habari...
  13. L

    JamiiForums Tanzania Putin akienda Alaska atakamatwa?

    Moja kwa moja kwenye swali langu. Mahakama ya ICC ilimhukumu Putin kwa makosa yanayohusiana na vita ya Ukraine na kutaka akamatwe. Sasa ni wazi Putin ataenda kuongea na Rais wa Marekani Bwana Trump katika jimbo la Alaska lililoko katika nchi ya marekani. Hapa ni kama mbuzi kafia kwa muuza...
  14. The Zanzibar Echo

    JamiiForums Tanzania Trump, Putin kukutana Alaska kwa mazungumzo ya vita vya Ukraine wiki ijayo

    Rais wa Marekani Donald Trump na Rais wa Urusi Vladimir Putin watakutana Alaska Ijumaa ijayo kujadili mustakabali wa vita vya Ukraine. Trump alitangaza mkutano wa Agosti 15 kwenye mitandao ya kijamii na baadaye ikathibitishwa na msemaji wa Kremlin, ambaye alisema eneo hilo lilikuwa "lina mantiki...
  15. J

    JamiiForums Tanzania Trump na Putin kukutana wiki ijayo

    Naibu balozi wa urusi katika umoja wa mataifa Dmitry Polyanskiy amesema Rais wa Urusi Vladimir Putin huenda akakutana na Rais wa Marekani Donald Trump Hatua hiyo inaleta matumaini makubwa katika kumaliza mgogoro unaendelea kati ya Urusi na Ukraine, licha ya kutokuwepo kwa taarifa rasmi za...
  16. The Zanzibar Echo

    JamiiForums Tanzania NATO na Ukraine wamekubali yaieshe mbele ya Putin

    Wasalam tena ndugu mwana JF za ndani kabsa kutoka katika vyanzo vya karibu na rais wa Ukraine vinasema rais volodymir Zelensky anapanga kujisalimisha mbele ya putin ili kuepusha umwagaji damu wa raia wa ukraine. Haya yanaripotiwa baada ya simu ya pamoja ya volodymir zelensky rais wa US Donald...
  17. The Zanzibar Echo

    JamiiForums Tanzania Trump asema huenda akakutana na Putin hivi karibuni.

    Rais wa Marekani Donald Trump amesema huenda akakutana na rais wa Urusi Vladimir Putin hivi karibuni kabisa. Rais wa Marekani Donald Trump alikuwa akijibu swali aliloulizwa na waandishi habari katika ikulu yake ya White House mjini Washington ni lini atakapokutana na marais wa Ukraine na Urusi...
  18. The Zanzibar Echo

    JamiiForums Tanzania Trump asema kuna 'matarajio' ya kukutana na Putin na Zelensky.

    Rais Donald Trump wa Marekani amesema kuwa "kuna fursa" ya kukutana na viongozi wa Urusi na Ukraine, kufuatia kile alichokitaja kuwa "mazungumzo yenye tija" kati ya mjumbe wake na Vladimir Putin. Alipoulizwa katika Ikulu ya White House ikiwa viongozi hao wawili wamekubaliana kuwa na mkutano kama...
  19. The Zanzibar Echo

    JamiiForums Tanzania Je, Donald Trump hatimaye ameanza kuuelewa msimamo wa Putin?

    Katika gazeti la The Independent, ambalo limebainisha katika tahariri yake kwamba Rais wa Marekani, Donald Trump ameanza kutambua waziwazi kwamba Rais wa Urusi Vladimir Putin "si mfanyabiashara, bali ni kiongozi anayestawi katika vita na anaamini katika kufufua wazo la kuwa na Urusi Kubwa,"...
  20. The Zanzibar Echo

    JamiiForums Tanzania Trump. Sidhani kama vikwazo putin vinamsumbua.

    nitajaribu kusitisha vita hivyo. Lakini nadhani kile ambacho Urusi inafanya ni cha kusikitisha. Warusi wengi wanakufa. Waukraine wanakufa. "Ndio, tutaweka vikwazo. Lakini sijui kama vikwazo vinamsumbua.” Trump alitangaza kuiwekea Urusi vikwazo ikiwa kufikia Agosti 8, haitoonyesha dalili zozote...
Back
Top Bottom