pro

  1. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Ni lini Pro Kabudi utaacha kutumia jina Mwalimu Nyerere kwa maslahi yako Binafsi?

    Tabia ya Prof Kabudi kutumia jina Mwalimu Nyerere kwa maslahi yake binafsi limekua kubwa.
  2. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Njia ambazo wapinzani mnazitumia ni dhaifu pro max, kwa ufupi ni kwamba hamjielewi.

    Let us say Abdul ameiba mabilioni yenu na kununua gari ya Bilioni mbili kama mnavyoaminishwa. Tuassume ni kweli Samia ameuza bandari kama mlivyoaminishwa. Tuassume Kikwete anaendesha nchi kwa sasa kama mnavyojazwa upepo. Hapo mlipo mnasubiri CCM iachie madaraka kwa kelele za Mange Kimambi, yaani...
  3. I

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania MacBook Air au MacBook Pro? Ipi Inafaa kwa Kazi Zako Mwongozo wa Kitaalam Kabisa wa Kuchagua Kulingana na Kazi, Bajeti na Mtindo wa Maisha

    Katika ulimwengu wa teknolojia ya kisasa, kila unaponunua kifaa kama laptop, unafanya uamuzi wa uwekezaji. Na unapozungumzia Apple MacBook, uamuzi huo huwa na uzito zaidi. Wateja wengi huuliza swali moja kubwa: "Ninunue MacBook Air au MacBook Pro?" Katika makala hii, tutakuongoza kwa lugha...
  4. Nyamwage

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimechagua Infinix hot 60 pro badala ya Samsung A16 zote bei zilikua sawa 400k

    Lakini washikaji hawataki kunielewa hapa wananiambia eti nimeacha bunduki nimechukua rungu🥲🥲🥲
  5. ashomile

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada : Naomba Mnisaidieni Namna Ya kuinstall Window 10 Pro Kwenye HP Chromebook 11 63/G4 (Kip).

    Habarini Za Mchana Huu , Poleni na majukumu , nimekuja kwenu WanaIT mnisaidie swala hili , maana swala hili limenishinda kwa kutumia mawazo yangu pekee. Majuzi kuna Hp Chromebook Ram 4 na Internal Storage SSD 16 nilfanikiwa kuactivate window, nikamkabidhi mwenye nayo akaondoka , sasa basi...
  6. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania (windows OS) Nitro PDF Pro 2025 - 20,000 Tsh

    Windows App Nitro PDF Pro 2025 - 20,000 Tsh. Programu ya kuedit, kutengeneza na kazi zingine za PDF faili. Napatikana: Dar es salaam, Mbezi. Mawasiliano: 0756704145
  7. S

    JamiiForums Tanzania Microsoft Office 2019 Pro Plus + Lifetime License

    Microsoft Office 2019 Pro Plus kwa ajili ya windows OS kwa bei ya 20,000 Tsh, unapewa leseni ya milele hakuna malipo ya mwaka. Napatikana: Mkoa Dar es salaam, Mbezi. Mawasiliano: 0756704145 Kama unahitaji programu za Adobe, Office, Office and Windows Activator, Windows 10, 11 kwa bei nafuu.
  8. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Microsoft Office 2019 Pro Plus + Lifetime license

    Microsoft Office 2019 Pro Plus kwa ajili ya windows OS kwa bei ya 20,000 Tsh, unapewa leseni ya milele hakuna malipo ya mwaka. Napatikana: Mkoa Dar es salaam, Mbezi Mawasiliano: 0756704145 Kama unahitaji programu za Adobe, Office, Office and Windows Activator, Windows 10, 11 kwa bei nafuu.
  9. mazongera

    JamiiForums Tanzania Redmi note 14 pro plus 5G inauzwa

    Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza bei 700,000/=
  10. Adam Clark

    JamiiForums Tanzania Mikeka: pata odds za zilizochambuliwa kwa umakini na pro'

    Follow the Betting Intelligence channel on WhatsApp: Betting Intelligence | WhatsApp Channel
  11. Mhaya

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kwa Majibu haya ya Babu Tale ni dhahiri kuwa hafai kuwa Mbunge, hawezi kutatua changamoto hata kwa hoja

    Mwandishi kampiga spana za kutosha ndugu Mbunge, ila mbunge amekuwa na majibu ya mtu wa kawaida sana na mengine kuashiria hajui mahitaji ya wananchi ni nini, yeye anataka kulinganisha Tanzania zidi ya Nchi Masikini zaidi kama Mali na Zambia. Na anasahahu kuwa Tanzania ipo kwenye Top 10 ya Nchi...
  12. and 998 others

    JamiiForums Tanzania iPhone 17 pro max zinapatikana Makumbusho kwa Tsh 290,000 tu

    Karibuni kwa mahitaji ya iPhone 17 Pro max. Tupo Makumbusho, Nigeria Street, house #12 Bei NI Tsh 290,000 **Mzigo bado wa moto sana
  13. BLACK MOVEMENT

    JamiiForums Tanzania Dhehebu ya kupeleka Sadaka ni Romani Catolik pekee yake, mengine ni Chawa Pro.

    Huwa nashangaa wanao wapelekea wakina Mwaposa Sadaka na Manabii wengine type yake kama yule tapeli wa Arusha Geo David. Hawa ili waendeleze injili za kitapeli lazima pia wawe chawa. Au wanao peleka Sadaka KKKT, SDA, EAGT, TAG, Angalican, Pentecost, AIC, na wengineo wengi sana. Hawa ni chawa pro...
  14. N'yadikwa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hata wale walikuwa pro west sasa wanatamani kuitembelea Uchina

    Vita ya kibiashara SINO-US Trade war imeonesha kumbe Uchina yuko mbele sana. Nani kushinda hii vita. Time will tell. Binafsi natamani sana nifike Beijing nasikia ni bonge moja la jiji.
  15. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Ukiwa na $8,000 unapata Mac Pro mpya kutoka Apple, au unapata BYD Seagull EV na makaratasi yake!

    Maisha ni kuchagua, hustle zako, pesa yako! Mac Pro kutoka Apple official website inauzwa $8,000+ tu, mpya. Kwa wataalamu wa computer, hii ni CPU peke yake bila screen (monitor yake), ila utapewa na touchpad na keyboard kwa hiyo bei. (Total bei cheki picha hii kwa juu)! Specifications: RAM...
  16. M

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Iphone 11 pro max 256gb offer price 650,000/=

    Battery health 85% na face id ipo 0684223374
  17. Sauti ya amani

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Toyota Probox used Nina 5.5M 0749442229

    Mwenye hyo gari nitafute ukiwa dar itapendeza zaidi
  18. M

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale IPHONE 11 PRO MAX 256GB - 700,000/=

    Ni ya kurekebisha kioo tu, Ina face Id pia Battery health 85% Nakupa na box lake na chaja 0684223374
  19. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Tetesi: CCM wanawacheka Apruebo Dignidad ya chile

    Inasemwa kuwa siku ya Jana na Leo huko kwenye mitaa ya Lumumba mjini Dar es salaam na Kuu huko mjini Dodoma, vicheko Kwa Wana CCM vimetawala. CCM wanawacheka wajamaa wenzao chama cha Apruebo Dignidad kinachoongoza Chile Kwa jinsi wanavyohangaika kuomba msamaha kisa eti umeme umekatika Kwa...
  20. P

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Iphone 11 pro mac

    iphone 11 pro max Storage 64gb Face ipoo Bh 💯 Bei 700,000 (fixed 🙏) Ubungo Darajani 0️⃣7️⃣6️⃣9️⃣5️⃣0️⃣3️⃣9️⃣6️⃣8️⃣
Back
Top Bottom