pro

  1. mazongera

    JamiiForums Tanzania Redmi note 14 pro plus 5G inauzwa

    Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza bei 700,000/=
  2. Adam Clark

    JamiiForums Tanzania Mikeka: pata odds za zilizochambuliwa kwa umakini na pro'

    Follow the Betting Intelligence channel on WhatsApp: Betting Intelligence | WhatsApp Channel
  3. Mhaya

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kwa Majibu haya ya Babu Tale ni dhahiri kuwa hafai kuwa Mbunge, hawezi kutatua changamoto hata kwa hoja

    Mwandishi kampiga spana za kutosha ndugu Mbunge, ila mbunge amekuwa na majibu ya mtu wa kawaida sana na mengine kuashiria hajui mahitaji ya wananchi ni nini, yeye anataka kulinganisha Tanzania zidi ya Nchi Masikini zaidi kama Mali na Zambia. Na anasahahu kuwa Tanzania ipo kwenye Top 10 ya Nchi...
  4. and 998 others

    JamiiForums Tanzania iPhone 17 pro max zinapatikana Makumbusho kwa Tsh 290,000 tu

    Karibuni kwa mahitaji ya iPhone 17 Pro max. Tupo Makumbusho, Nigeria Street, house #12 Bei NI Tsh 290,000 **Mzigo bado wa moto sana
  5. BLACK MOVEMENT

    JamiiForums Tanzania Dhehebu ya kupeleka Sadaka ni Romani Catolik pekee yake, mengine ni Chawa Pro.

    Huwa nashangaa wanao wapelekea wakina Mwaposa Sadaka na Manabii wengine type yake kama yule tapeli wa Arusha Geo David. Hawa ili waendeleze injili za kitapeli lazima pia wawe chawa. Au wanao peleka Sadaka KKKT, SDA, EAGT, TAG, Angalican, Pentecost, AIC, na wengineo wengi sana. Hawa ni chawa pro...
  6. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Hata wale walikuwa pro west sasa wanatamani kuitembelea Uchina

    Vita ya kibiashara SINO-US Trade war imeonesha kumbe Uchina yuko mbele sana. Nani kushinda hii vita. Time will tell. Binafsi natamani sana nifike Beijing nasikia ni bonge moja la jiji.
  7. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Ukiwa na $8,000 unapata Mac Pro mpya kutoka Apple, au unapata BYD Seagull EV na makaratasi yake!

    Maisha ni kuchagua, hustle zako, pesa yako! Mac Pro kutoka Apple official website inauzwa $8,000+ tu, mpya. Kwa wataalamu wa computer, hii ni CPU peke yake bila screen (monitor yake), ila utapewa na touchpad na keyboard kwa hiyo bei. (Total bei cheki picha hii kwa juu)! Specifications: RAM...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Iphone 11 pro max 256gb offer price 650,000/=

    Battery health 85% na face id ipo 0684223374
  9. Sauti ya amani

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Toyota Probox used Nina 5.5M 0749442229

    Mwenye hyo gari nitafute ukiwa dar itapendeza zaidi
  10. M

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale IPHONE 11 PRO MAX 256GB - 700,000/=

    Ni ya kurekebisha kioo tu, Ina face Id pia Battery health 85% Nakupa na box lake na chaja 0684223374
  11. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Tetesi: CCM wanawacheka Apruebo Dignidad ya chile

    Inasemwa kuwa siku ya Jana na Leo huko kwenye mitaa ya Lumumba mjini Dar es salaam na Kuu huko mjini Dodoma, vicheko Kwa Wana CCM vimetawala. CCM wanawacheka wajamaa wenzao chama cha Apruebo Dignidad kinachoongoza Chile Kwa jinsi wanavyohangaika kuomba msamaha kisa eti umeme umekatika Kwa...
  12. P

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Iphone 11 pro mac

    iphone 11 pro max Storage 64gb Face ipoo Bh 💯 Bei 700,000 (fixed 🙏) Ubungo Darajani 0️⃣7️⃣6️⃣9️⃣5️⃣0️⃣3️⃣9️⃣6️⃣8️⃣
  13. Mafian cartel

    JamiiForums Tanzania Nauza hii phone 13 Pro

    Apple Iphone 13 pro 128 GB •Face id✅ •Battery health 81 •Ina network lock(unaweza tumia •Gevey sim card au ukalipia deni ikawa unlocked) Simu Imetumika wiki moja tu tangu itoke nje ya nchi Price 950,000/= Kimara Dar es salaam 0757187238
  14. mshale21

    JamiiForums Tanzania Hili la Mbowe kuibua kipaji cha Prof. Kitila Mkumbo lina ukweli?

    Wakuu, kama tulivyomsikia Mbowe akizungumza namna alivyoibua vipaji vya kisiasa , na miongoni mwa aliowataja kama matunda yake ni kitila Mkumbo wakati anasoma! Kuna ukweli hapa? Mwenye kumbukumbu na history ya Pro. Mkumbo atupe mwanga
  15. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Kuna namna mtu akipata pesa anakuwa na kiburi cha uzima cha hyper pro max

    Majuzi dogo moja gari namba E ya harrier alikuja duka fulani kununua bidhaa. Sasa alipopaki pembezoni mwa duka ng'ambo ya pili ya bara bara kuna lori kubwa la mzigo, kumaanisha alitengeneza double parking ambayo ilipelekea bara bara kuwa finyu. Sasa jamaa mmoja wa bajaji ya mizigo akatokea kwa...
  16. Kyatile

    JamiiForums Tanzania Ipi simu bora kati ya iphone 12 pro na Samsung Galaxy A35 mwaka huu 2025?

    Leo nimeenda dukani kununua Galaxy A35 yenye storage ya 256 GB na kwa bahati mbaya sikuipata. Katika kuangaza macho nikaiona iphone 12 pro used ina battery health ya 86%. Nikavutiwa kuikagua na kweli bado ina vitu kadhaa vinavyovutia ila sikushawishika kuinunua hiyo pamoja na kuwa na bei sawa...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Nauza Simu Infinix hot 40 pro

    Nauza simu NI mpya kabisa Infinix hot 40 pro GB 256 Ram 16
  18. K

    JamiiForums Tanzania Prof. Kitila Mkumbo kufanya mipango ya miaka 25 bila mawazo ya Diaspora ni kutoangalia mbali

    Kuna diaspora wengi wasomi, wafanyabiashara, na wafanyakazi wenye uzoefu mkubwa ambao wangetoa mawazo bora kwa maendeleo. Badala ya kutegemea wasomi wa aina ya Mkumbo wanaokariri, ni muhimu kuomba mawazo ya diaspora kwa manufaa ya umma na kuyachanganya na fikra nyingine. Hawa diaspora...
  19. M

    JamiiForums Tanzania Kushuka kwa Morari pro Russia na Pro Iran

    Nimefanya utafiti mdogo wa wamashabiki wa vita na migogoro ulimwenguni nikagundua kushuka kwa morari Kwa pro Rashia na Iran,anguko kubwa lilitokea baada ya westi kuichukua Syria mikononi mwa miungu Yao Rasia na Iran,Pro Rasia na Iran wamebaki wanatetemeka hawajui hatma ya timu zao,baadhi akili...
  20. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Kuwa Pro Russia au Pro US, kigezo huwa nini?

    Kuna watu hakuna Jema la Russia duniani kama ilivyo watu wengine wanaoamini Marekani haina Jema hata Moja hufanya duniani. Sasa kwa watanzania wenzangu, huwa mnatumia kigezo gani kuamua kuwa upande wa Marekani au wa Russia. Huwa mnazingatia mambo gani hasa?
Back
Top Bottom