pombe

  1. Kwa wenye biashara ya pombe na chakula, chumba cha mhudumu kwenye sehemu ya biashara ni muhimu

    Kama unajenga mgahawa, bar hata guest house, kumbuka kuweka chumba cha mhudumu pembeni. Ikiwezekana weka viwili cha wanawake na cha wanaume. Hii itakupunguzia stress za wafanyakazi kuchelewa kazini asubuhi kwani wale wapika supu na chapati wataamkia hapo hapo. Kama unaweza, unaweza kuweka...
  2. Ifunda, Iringa: Moto ulioanzishwa na mpishi wa pombe wasababisha hasara ya zaidi Bilioni 1.5

    Mkuu wa Wilaya ya Iringa, Richard Kasesela amesema Moto uliozuka Kijiji Cha Mfukulembe umeunguza zaidi ya nyumba 11 na mashamba ya miti yenye ukubwa wa zaidi ya ekari 811. Aidha amebainisha kuwa hakuna mtu aliyepata madhara na chanzo cha moto huo isadikiwa kuwa mama mmoja aliyejulikana kwa...
  3. Je, muda gani kiafya unaruhusiwa kutumia kilevi baada ya kutumia dawa?

    ---MFANO WA MASWALI YALIYOULIZWA--- Msaada wadau, Mfano ukimeza dawa ya Malaria ile dozi ya siku moja, je naweza kutumia pombe baada ya muda gani? Pia soma https://www.jamiiforums.com/threads/hizi-ndio-aina-kumi-za-dawa-ambazo-hazipatani-na-pombe-kabisa.1335336/ -- MICHANGO/MAONI YA WADAU
  4. Heri ya siku ya kuzaliwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr. John Pombe Magufuli

    Wadau, President Magufuli is now 60 years old. Happy birthday to our great leader Dr. John Pombe Magufuli. May you live long
  5. N

    Married But Available itanimaliza ,ushauri wenu wadau....

    Dah...haya mambo ya kuhamishiwa mkoani Dom huku familia zetu tumeziacha Dar , yana changamoto sana...yaani hii kauli ya 'ofcourse I am married but some how available' nimeshakutana nayo zaidi ya mara tatu tangu nihamie Dodoma ni toka kwa akina mama/wanawake wenye ndoa zao lakini wamehamishiwa...
  6. Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

    Kwa heshima kubwa. Hii kaliba itambuliwe rasmi kama mdau mkubwa wa maendeleo hasa kwenye eneo la ulipaji kodi. Ndio mshindi wa kwanza kila mwaka ikizishinda taasisi nyingine kwa mbali mno. Pamoja na sifa zote hizo lakini pia kaliba hii inakabiliwa na changamoto mbalimbali hasa . Kushindwa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…