The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,535
Awali ya yote, mtakaokwazika mtanisamehe tu. Kwa sababu kichwa kikuu cha mada hii imebebwa na maneno magumu na makali kidogo.
Imebidi iwe hivi kwa sababu nimetafuta maneno mbadala ili ujumbe ama maudhui ya ujumbe ninaotaka kila mtu apate, nikakosa.
Pokeeni na twendeni hivyo hivyo kwa sababu ni kweli wapo watu ambao kwa nje sura ni binadamu, lakini ndani ya "nia zao" ni mbwa mwitu wakali, ni mashetani 100%; waongo, wauaji na majambazi.
Hawa ndiyo nimewaita, "THE DEVIL IN HUMAN SHAPE" yaani "SHETANI KATIKA UMBO LA KIBINADAMU"
Hawa siku zote hulazimishwa uongo uwe ukweli kwa yeyote kwa hiari ama kwa lazima so long as wanazo nguvu na mamlaka ya kulazimisha kufanyika hayo.
Ndivyo ilivyo CCM hii ya sasa, they are devils in human shapes.
Kiongozi mkuu wa taasisi yoyote ndiye hubeba taswira (image) nzima ya taasisi hiyo...
Katika level ya familia kama taasisi, baba akiwa ni mlevi, mvuta sigara na mpiga mke, basically uwezekano wa watoto kuwa kama yeye ni 99.99%.
Kwa wakristo na wasomaji wa kitabu kitakatifu cha Neno la Mungu (Biblia) mtanielewa vizuri kwenye hili;
Kwamba, Yesu Kristo alipokuwa hapa duniani kwa miaka 33.5 tangu kuzaliwa kwake, kukua na huduma yake ya kuhubiri injili ya wokovu duniani alikuwa ni " MUNGU MWENYEWE KATIKA UMBO LA BINADAMU yaani" GOD IN HUMAN SHAPE"
Alitumia njia ya amani na uoendo ili kujifunua kwao (binadamu) ili wamtambue, wapokee ujumbe wake, na kisha waufanyie kazi kivitendo ili ubadilishe mfumo na mtindo wa maisha yao ya mazoea ya dhambi. Lakini wachache sana waliweza kuiona neema hii wakabadilishwa....
Wengi wa Wayahudi walimkataa kabisa hata kumsikia tu achilia mbali kumpokea....
Mara nyingi Yesu Kristo aliwaambia kuwa; hata kama hamwamini kuwa mimi ni mwana wa Mungu na kwamba Mungu yu ndani yangu na bila yeye Mimi siwezi fanya jambo lolote, basi ingalau ziaminini kazi nizitendazo...
Pamoja na "appeal" hili, binadamu baadhi hawakujali, hawakupokea lolote...
Kazi za Yesu Kristo zimeandikwa sana. Ni miujiza isiyoelezeka kwa lugha rahisi. Kufufua watu, kulisha chakula (mikate) mitano tu watu 5,000; kuponya magonjwa sugu mbalimbali, kuwafungua watu wengi toka kwenye vifungo vya ibilisi shetani, kugeuza maji kuwa divai nk nk...
Mamia kwa maelfu ya watu kwa miujiza hii waliamini na kumfuata Yesu Kristo...
Wenye mioyo migumu, wao kwao haya hayakuwa lolote, hayakuwa chochote kubadilisha mitazamo yao na kugeuka toka dhambini....
Pamoja na kuwa Yesu Kristo alikuwa na nguvu za UTAWALA WA KIFALME, nguvu na MAMLAKA YA KI- MUNGU, kamwe hakutumia nguvu na mamlaka yake (ambayo kwa kweli ni makubwa na yasiyo na mwisho) kuwalazimisha watu kumwamini, kumpenda ama "kuunga juhudi" zake...
Hii ni tofauti kabisa na CCM na Mwenyekiti wao chini ya serikali hii....
Tunaambiwa kilaghai na kipropaganda kuwa huyu mtu "alishushwa toka mbinguni kuja kuikomboa Tanzania"...
Tunaambiwa huyu mtu ni " mtakatifu ", hana waa, hana dhambi....tumfuate, tumuunge juhudi....
Tunaambiwa ametenda maajabu na makuu ndani ya miaka minne na usheee sasa, hivyo TUMFUATE na KUUNGA MKONO JUHUDI ZAKE....
Tunaambiwa ndani ya miaka minne na ushee amefanya haya;
å Amejenga reli ya SGR
å Amejenga bwawa la umeme la Stiglers Gorge
å Amenunua ndege za Bombardier na Dreamliner
å Amejenga zahanati na hospitali za kutosha
å Amejenga barabara za lami Tanzania nzima nk nk
Yote haya ni mema kabisa KAMA KWELI YAMEFANYIKA...
Tatizo linakuja la kila mtu kulazimishwa kumwamini, kumkubali na kumpenda na kumtetea mtu huyu kwa sababu ya haya, kwa gharama yoyote...
Imefika wakati sasa nguvu kubwa ya KIJAMBAZI na NJIA ZOTE ZA KIHALIFU zinatumiwa chini ya NGUVU na MAMLAKA yake ya KIFALME kuwalazimisha watu wote wamsifu, wamuamini, wamkubali na kumuunga mkono kuwa amefanya haya....
Hii ni ngumu kwa sababu huku kwetu Shinyanga so far sioni tofauti yoyote positive ya kimaisha na kimazingira kwa watu tangu mwaka 2015 hadi sasa....!!
Hii ikiwa na maana kuwa, yanayosemwa yamefanyika wengine huku hatuyaoni na hayajaleta impact yoyote ktk maisha yetu ya kila siku...
Ndiposa, violence, ujambazi na nguvu kubwa zinatumika kutulazimisha tuamini, tukubali na tumuunge mkono bwana mkubwa huyu....
Yesu akawaambia;
"....mniamini ya kwamba mimi ni ndani ya Baba, na Baba (Mungu) yu ndani yangu; la hamuamini (hivyo), aminini kwa kazi zenyewe...."
(Yoh.14:11)
Kazi anazoziema Yesu ni miujiza aliyofanya ya kufufua watu, kuponya magonjwa sugu kwa neno tu la kinywa chake, kulisha chakula (mikate mitano na vijisamaki kidogo tu) watu 5,000; kubadili maji kuwa divai na miujiza mingine mingi...
Huyu alikuwa, "....GOD IN HUMAN SHAPE....". Lakini hata alipokataliwa, kazi zake kubezwa, watu kutomwamini wala kufuata mafundisho yake, kamwe hakutumia NGUVU na MAMLAKA yake ya ki - MUNGU kuwalazimisha watu wampende, wamshangilie ama kumfuata na ukiwa huna uelekeo ama neutral basi unatekwa, ama unabambikiwa kesi ya uhujumu uchumi ama unapigwa risasi (kuuwawa)...
Sasa leo tuna watu NI MASHETANI KATIKA SURA YA BINADAMU. Bahati mbaya sana hawa watu ndiyo wameshika MAMLAKA ya kifalme....
Wamejivika sura bandia za " MALAIKA WA NURU" kumbe ndani ni mashetani, Ibilisi baba wa uongo, wauaji na majanbazi...
Hawa wanalazimisha TUWAAMINI, TUWAKUBALI, TUWASIFU, TUWAPIGIE MAKOFI na TUWAUNGE MKONO kwa lazima....
Zaidi, soma;
Mwenyekiti wa UVCCM Taifa ahamasisha Mbowe, Zitto na wengine wanaoikwamisha Serikali 'washughulikiwe'
Imebidi iwe hivi kwa sababu nimetafuta maneno mbadala ili ujumbe ama maudhui ya ujumbe ninaotaka kila mtu apate, nikakosa.
Pokeeni na twendeni hivyo hivyo kwa sababu ni kweli wapo watu ambao kwa nje sura ni binadamu, lakini ndani ya "nia zao" ni mbwa mwitu wakali, ni mashetani 100%; waongo, wauaji na majambazi.
Hawa ndiyo nimewaita, "THE DEVIL IN HUMAN SHAPE" yaani "SHETANI KATIKA UMBO LA KIBINADAMU"
Hawa siku zote hulazimishwa uongo uwe ukweli kwa yeyote kwa hiari ama kwa lazima so long as wanazo nguvu na mamlaka ya kulazimisha kufanyika hayo.
Ndivyo ilivyo CCM hii ya sasa, they are devils in human shapes.
Kiongozi mkuu wa taasisi yoyote ndiye hubeba taswira (image) nzima ya taasisi hiyo...
Katika level ya familia kama taasisi, baba akiwa ni mlevi, mvuta sigara na mpiga mke, basically uwezekano wa watoto kuwa kama yeye ni 99.99%.
Kwa wakristo na wasomaji wa kitabu kitakatifu cha Neno la Mungu (Biblia) mtanielewa vizuri kwenye hili;
Kwamba, Yesu Kristo alipokuwa hapa duniani kwa miaka 33.5 tangu kuzaliwa kwake, kukua na huduma yake ya kuhubiri injili ya wokovu duniani alikuwa ni " MUNGU MWENYEWE KATIKA UMBO LA BINADAMU yaani" GOD IN HUMAN SHAPE"
Alitumia njia ya amani na uoendo ili kujifunua kwao (binadamu) ili wamtambue, wapokee ujumbe wake, na kisha waufanyie kazi kivitendo ili ubadilishe mfumo na mtindo wa maisha yao ya mazoea ya dhambi. Lakini wachache sana waliweza kuiona neema hii wakabadilishwa....
Wengi wa Wayahudi walimkataa kabisa hata kumsikia tu achilia mbali kumpokea....
Mara nyingi Yesu Kristo aliwaambia kuwa; hata kama hamwamini kuwa mimi ni mwana wa Mungu na kwamba Mungu yu ndani yangu na bila yeye Mimi siwezi fanya jambo lolote, basi ingalau ziaminini kazi nizitendazo...
Pamoja na "appeal" hili, binadamu baadhi hawakujali, hawakupokea lolote...
Kazi za Yesu Kristo zimeandikwa sana. Ni miujiza isiyoelezeka kwa lugha rahisi. Kufufua watu, kulisha chakula (mikate) mitano tu watu 5,000; kuponya magonjwa sugu mbalimbali, kuwafungua watu wengi toka kwenye vifungo vya ibilisi shetani, kugeuza maji kuwa divai nk nk...
Mamia kwa maelfu ya watu kwa miujiza hii waliamini na kumfuata Yesu Kristo...
Wenye mioyo migumu, wao kwao haya hayakuwa lolote, hayakuwa chochote kubadilisha mitazamo yao na kugeuka toka dhambini....
Pamoja na kuwa Yesu Kristo alikuwa na nguvu za UTAWALA WA KIFALME, nguvu na MAMLAKA YA KI- MUNGU, kamwe hakutumia nguvu na mamlaka yake (ambayo kwa kweli ni makubwa na yasiyo na mwisho) kuwalazimisha watu kumwamini, kumpenda ama "kuunga juhudi" zake...
Hii ni tofauti kabisa na CCM na Mwenyekiti wao chini ya serikali hii....
Tunaambiwa kilaghai na kipropaganda kuwa huyu mtu "alishushwa toka mbinguni kuja kuikomboa Tanzania"...
Tunaambiwa huyu mtu ni " mtakatifu ", hana waa, hana dhambi....tumfuate, tumuunge juhudi....
Tunaambiwa ametenda maajabu na makuu ndani ya miaka minne na usheee sasa, hivyo TUMFUATE na KUUNGA MKONO JUHUDI ZAKE....
Tunaambiwa ndani ya miaka minne na ushee amefanya haya;
å Amejenga reli ya SGR
å Amejenga bwawa la umeme la Stiglers Gorge
å Amenunua ndege za Bombardier na Dreamliner
å Amejenga zahanati na hospitali za kutosha
å Amejenga barabara za lami Tanzania nzima nk nk
Yote haya ni mema kabisa KAMA KWELI YAMEFANYIKA...
Tatizo linakuja la kila mtu kulazimishwa kumwamini, kumkubali na kumpenda na kumtetea mtu huyu kwa sababu ya haya, kwa gharama yoyote...
Imefika wakati sasa nguvu kubwa ya KIJAMBAZI na NJIA ZOTE ZA KIHALIFU zinatumiwa chini ya NGUVU na MAMLAKA yake ya KIFALME kuwalazimisha watu wote wamsifu, wamuamini, wamkubali na kumuunga mkono kuwa amefanya haya....
Hii ni ngumu kwa sababu huku kwetu Shinyanga so far sioni tofauti yoyote positive ya kimaisha na kimazingira kwa watu tangu mwaka 2015 hadi sasa....!!
Hii ikiwa na maana kuwa, yanayosemwa yamefanyika wengine huku hatuyaoni na hayajaleta impact yoyote ktk maisha yetu ya kila siku...
Ndiposa, violence, ujambazi na nguvu kubwa zinatumika kutulazimisha tuamini, tukubali na tumuunge mkono bwana mkubwa huyu....
Yesu akawaambia;
"....mniamini ya kwamba mimi ni ndani ya Baba, na Baba (Mungu) yu ndani yangu; la hamuamini (hivyo), aminini kwa kazi zenyewe...."
(Yoh.14:11)
Kazi anazoziema Yesu ni miujiza aliyofanya ya kufufua watu, kuponya magonjwa sugu kwa neno tu la kinywa chake, kulisha chakula (mikate mitano na vijisamaki kidogo tu) watu 5,000; kubadili maji kuwa divai na miujiza mingine mingi...
Huyu alikuwa, "....GOD IN HUMAN SHAPE....". Lakini hata alipokataliwa, kazi zake kubezwa, watu kutomwamini wala kufuata mafundisho yake, kamwe hakutumia NGUVU na MAMLAKA yake ya ki - MUNGU kuwalazimisha watu wampende, wamshangilie ama kumfuata na ukiwa huna uelekeo ama neutral basi unatekwa, ama unabambikiwa kesi ya uhujumu uchumi ama unapigwa risasi (kuuwawa)...
Sasa leo tuna watu NI MASHETANI KATIKA SURA YA BINADAMU. Bahati mbaya sana hawa watu ndiyo wameshika MAMLAKA ya kifalme....
Wamejivika sura bandia za " MALAIKA WA NURU" kumbe ndani ni mashetani, Ibilisi baba wa uongo, wauaji na majanbazi...
Hawa wanalazimisha TUWAAMINI, TUWAKUBALI, TUWASIFU, TUWAPIGIE MAKOFI na TUWAUNGE MKONO kwa lazima....
Zaidi, soma;
Mwenyekiti wa UVCCM Taifa ahamasisha Mbowe, Zitto na wengine wanaoikwamisha Serikali 'washughulikiwe'