Mahmoud Thabit Kombo tutajie kifungu cha PGO kinachosema Polisi akirushiwa jiwe anatakiwa kumpiga risasi mara moja

Mahmoud Thabit Kombo tutajie kifungu cha PGO kinachosema Polisi akirushiwa jiwe anatakiwa kumpiga risasi mara moja

Bila bila

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2016
Posts
22,753
Reaction score
40,311
Tusiwe tunapelekwa kama mazuzu wakati Vitabu vya sheria na Kanuni vimeandikwa vipo. Ili kujiridhisha na ulichokisema Jana kwenye bunge lenu tuambie ni kifungu gani cha PGO kinachosema Mtu akielekeza jiwe Kwa Polisi he has to shoot at first kama ulivojinasibu Jana.
Kama hutataja basi toka hadharani useme dhahiri ulidanganya.
Screenshot_20260527-150832~2.png
 
Tusiwe tunapelekwa kama mazuzu wakati Vitabu vya sheria na Kanuni vimeandikwa vipo. Ili kujiridhisha na ulichokisema Jana kwenye bunge lenu tuambie ni kifungu gani cha PGO kinachosema Mtu akielekeza jiwe Kwa Polisi he has to shoot at first kama ulivojinasibu Jana.
Kama hutataja basi toka hadharani useme dhahiri ulidanganya.
Vyeo vya kujuana hajui chochote huyo.
 
Tusiwe tunapelekwa kama mazuzu wakati Vitabu vya sheria na Kanuni vimeandikwa vipo. Ili kujiridhisha na ulichokisema Jana kwenye bunge lenu tuambie ni kifungu gani cha PGO kinachosema Mtu akielekeza jiwe Kwa Polisi he has to shoot at first kama ulivojinasibu Jana.
Kama hutataja basi toka hadharani useme dhahiri ulidanganya.
Kombo ajiuzulu mara moja!
 
Tusiwe tunapelekwa kama mazuzu wakati Vitabu vya sheria na Kanuni vimeandikwa vipo. Ili kujiridhisha na ulichokisema Jana kwenye bunge lenu tuambie ni kifungu gani cha PGO kinachosema Mtu akielekeza jiwe Kwa Polisi he has to shoot at first kama ulivojinasibu Jana.
Kama hutataja basi toka hadharani useme dhahiri ulidanganya.
Wewe una video clip yoyote ambayo Kombo amesema Polisi watumie risasi?
 
Tusiwe tunapelekwa kama mazuzu wakati Vitabu vya sheria na Kanuni vimeandikwa vipo. Ili kujiridhisha na ulichokisema Jana kwenye bunge lenu tuambie ni kifungu gani cha PGO kinachosema Mtu akielekeza jiwe Kwa Polisi he has to shoot at first kama ulivojinasibu Jana.
Kama hutataja basi toka hadharani useme dhahiri ulidanganya.
Screenshot_20260527_163454.jpg

Shosti la Kizenji.
-Kuua Watanganyika ni mambo madogo, la muhimu alindwe bi Kizimkazi dhidi ya Watanganyika wenye wivu na husda.
 
Hiyo tume nyingine imeundwa kuchunguza jinai ipi sasa na ili iweje kama wauaji walikuwa sahihi na wanajulikana?
 
Back
Top Bottom