Mikono ya Jumbe yafunguliwa pingu na Polisi ikiwa imevimba kwa kufungwa pingu Jana Baada ya kutekwa

Mikono ya Jumbe yafunguliwa pingu na Polisi ikiwa imevimba kwa kufungwa pingu Jana Baada ya kutekwa

Mawele

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2023
Posts
673
Reaction score
2,191
Mikono ya Jumbe yafunguliwa pingu na Polisi ikiwa imevimba kwa kufungwa pingu Jana Baada ya kutekwa
Jeshi la Polisi limefanikiwa kumfungua pingu msaidizi wa Tundu Lissu, aitwae David Djumbe, aliyekuwa ametekwa na baadae kufanikiwa kutoroka.

Picha zinaonyesha namna ambavyo pingu zilikuwa zimembana Djumbe kisiasi cha kusababisha mikono yake kuanza kuvimba

20260521_132115.jpg
20260521_132115.jpg

20260521_132111.jpg

Pia soma:Msaidizi wa Lissu apatikana baada ya kudaiwa kutekwa akiwa na pingu mkononi pamoja na majeraha
 
Najua Melo n CCM ndio wanafuta tukipaza sauti hapa JF.mambo kama haya ndio raha yako ww Melo na CCM kuona watanganyika tunauwawa na kutekwa ovyo ovyo na uyo chura aka kizimkazi. Sw ipo cku icyo na Jina kitaumana tutakuja kukusalimia hapo ofisini kwako.
Kazi ni kipimo cha utu
 
Mzenji ataua watanganyika na bado sana mpk avimbilwe Damu za watanganyika. Kwakua hatuna mguvu zidi yake kabisa. Ila ajue kua very soon tutawafikia na wao.
Kazi ni kipimo cha utu
 
No wonder hii nchi kila kitu kinajiendea tu. Kwahiyo hao ndio wanausalama wa hii nchi🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️

Kwisha habari yetu.
 
Kwanza nitoe pole kwa muhusika Mungu ampe faraja na kupona nalaka,🙏

lkn kwenye maelezo yao wote wawili kuna kujichanganya so wasomaji wa taarifa yao imewaacha na maswali mengi

Mfano mwenyewe anakili alikimbia kwenye Msitu ktk ali ngumu akiwa kafungwa pingu!!!

izo pingu ukikimbia ndio zinakaza zaidi yani zinataka utulivu wako!!

Kwaiyo kavimba mikono sababu ya kukimbia mwenyewe!!

Nachelea kusema yumkin usoni mwake ni michubuko ya kuanguka kule kwenye Msitu wakati anakimbia!!

Sehemu ya pili anasema sababu ya kukimbia ni kwamba kasikia kuna lengo la kutaka kumuuwa !!

Maelezo aya yanatakiwa kufanyiwa hesabu zaidi kuungunisha maelezo yake na ya mwenzie ndio tutapata itimisho la lengo la Police

. Swali uyo jiran yake alikamatwa kwenye tukio??

aliachiwa vipi uyo nayeye kakimbia??

Je kaachiwa baada ya kufaamika muhusika kakimbia??

Kaachiwa wkt bado muhusika yupo chini ya Police ??

mana maelezo ya mwisho ya muhusika mkuu anaelezea kanakwamba yupo pekeyake ndipo kakimbia yeye kama yeye?

Swali ikiwa lengo la Police lilikuwa kumuuwa yeye hesabu zinakataa kwanini kaachiwa uyo mwenzie manake atatoa ushahidi wote jinsi ilikuwa ¿¿¿


Hitimisho Chadema wana alaka sana ya kujieleza kwenye matukio kama aya mwisho kunatokea jambo kama ili nimejaka!!!

muusika kaumia sana Usoni mikononi kwanza wajielekeza kumtibu!!

na baada ya apo muhusika atatulia vizuri ndio sasa anaweza kunyoosha maneno yake!!

pamoja na yote nitambue Ubinadamu wa Police kuangaikia kumfungua izo pingu !!

mana Police na muhusika wanakili izo pingu sio nzuri kubaki mikononi muda mrefu🙏
 
Kwanza nitoe pole kwa muhusika Mungu ampe faraja na kupona nalaka,🙏

lkn kwenye maelezo yao wote wawili kuna kujichanganya so wasomaji wa taarifa yao imewaacha na maswali mengi

Mfano mwenyewe anakili alikimbia kwenye Msitu ktk ali ngumu akiwa kafungwa pingu!!!

izo pingu ukikimbia ndio zinakaza zaidi yani zinataka utulivu wako!!

Kwaiyo kavimba mikono sababu ya kukimbia mwenyewe!!

Nachelea kusema yumkin usoni mwake ni michubuko ya kuanguka kule kwenye Msitu wakati anakimbia!!

Sehemu ya pili anasema sababu ya kukimbia ni kwamba kasikia kuna lengo la kutaka kumuuwa !!

Maelezo aya yanatakiwa kufanyiwa hesabu zaidi kuungunisha maelezo yake na ya mwenzie ndio tutapata itimisho la lengo la Police

. Swali uyo jiran yake alikamatwa kwenye tukio??

aliachiwa vipi uyo nayeye kakimbia??

Je kaachiwa baada ya kufaamika muhusika kakimbia??

Kaachiwa wkt bado muhusika yupo chini ya Police ??

mana maelezo ya mwisho ya muhusika mkuu anaelezea kanakwamba yupo pekeyake ndipo kakimbia yeye kama yeye?

Swali ikiwa lengo la Police lilikuwa kumuuwa yeye hesabu zinakataa kwanini kaachiwa uyo mwenzie manake atatoa ushahidi wote jinsi ilikuwa ¿¿¿


Hitimisho Chadema wana alaka sana ya kujieleza kwenye matukio kama aya mwisho kunatokea jambo kama ili nimejaka!!!

muusika kaumia sana Usoni mikononi kwanza wajielekeza kumtibu!!

na baada ya apo muhusika atatulia vizuri ndio sasa anaweza kunyoosha maneno yake!!

pamoja na yote nitambue Ubinadamu wa Police kuangaikia kumfungua izo pingu !!

mana Police na muhusika wanakili izo pingu sio nzuri kubaki mikononi muda mrefu🙏
 
Back
Top Bottom