picha

Jean-Paul "Picha" Walravens (Brussels, Belgium, 2 July 1942) is a Belgian cartoonist, comics artist, animator and film director. He is most famous for his adult animated films, such as Tarzoon: Shame of the Jungle.

View More On Wikipedia.org
  1. Picha hii ya CAF inaashiria nini kwa Simba?

    Kwa wajuvi wa mambo na wale waliosoma Cuba, Je, ukitazama kwa makini picha hii unapata tafsiri gani?
  2. M

    Picha: Askari wa akiba akionyesha ukakamavu.

  3. Nani aliruhusu Hii picha ipigwe hadharani namna hii?

    Mimi Huwa nashindwa kuelewa weledi wa vyombo vya ulinzi na usalama TZ. Vitu sentive Huwa hawana macho ya kuviona, binafsi siamini kama kweli hili eneo Halina askari kazu.
  4. PICHA: Mwenyekiti wa CCM, Rais Samia aongoza Kikao Maalum cha Kamati Kuu Ikulu Dar es Salaam

    Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan, ameongoza Kikao Maalum cha kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa leo tarehe 01 April 2023 Ikulu Jijini Dar es salaam.
  5. F

    Picha hii inasema sana kuhusu siku zijazo kwa siasa na uongozi wa Tanzania

    Picha husema bila maneno. Tunakoelekea ndiko huko picha hii inakotuelekeza. Yaliyopita pia yanaonekana kwenye picha hii. Tanzania tunayoelekea ni Tanzania ya mazungumzo na maelewano. Ni Tanzania ya demokrasia na sio Tanzania ya kiburi na maamuzi binafsi. Mwanga utajadiliana na giza, na...
  6. Picha: Makamabda wa Chadema wakifakamia matikiti maji na kujipoza .

  7. Hii picha imebeba ujumbe mzito sana, Wewe umeielewaje?

    Mimi nikiingiaga mtandaoni kilasiku huwa napenda sana kutazama picha mbalimbali zinazohusu sana asili ya kiuumbaji (Nature) ikiwemo picha za Miti, wanyama, watu, Miinuko ya ardhi, n.k) leo katika pita pita zangu za kutazama picha mtandaoni nimekutana na hii picha na hakika nimeitazama sanaaa...
  8. Picha ya Siku kutoka Nairobi

    Ama kweli ubaya hauna kwao😂 mabomu waliyopiga yamewarudia wenyewe
  9. Mwanamke niliyetegemea kumuoa nimekuta picha zake group la Telegram

    Wakuu habari za Jumapili? Kwangu si njema hata kidogo ila nina Imani Kila mmoja ni buheri wa afya. Nisiwachoshe sana ngoja niende moja kwa moja kwenye mada husika kuhusu yaliyonikuta japo imekuwa ghafla sana kinyume na mategemeo yangu Ni hivi, mwaka 2019 baada ya kuona mahusiano niliyokuwa...
  10. Mkristo ukivuta picha unajiona ukiwa muislamu? Muislamu unajiona ukiwa mkristo?

    Hizi dini mbili kubwa Tz hii zote zumepetwa. Wazazi waliozipokea wamerithisha watoto wao. So, wengi wako kwenye dini si kwa sababu wameitafuta na kujua ni ya kweli au inawafaa. Ni kwa sababu hasa tumepewa na wazazi wetu. Nao waliitoa kwa waarabu na wazungu. Kwa hiyo watanzania wengi wako kwenye...
  11. Picha: BAWACHA wakianandamana Mikumi

  12. Ufaransa: Muswada unaozuia wazazi kuweka picha za watoto Mtandaoni wawasilishwa Bungeni

    Wazazi nchini Ufaransa wanaweza kupigwa marufuku ku-post picha za Watoto wao kwenye mitandao ya kijamii iwapo muswada mpya uliowasilishwa wiki hii utapitishwa kuwa sheria. Muswada huo utaipa Mahakama mamlaka ya kuwapiga marufuku Wazazi kuweka picha za Watoto wao mtandaoni ambapo wote wawili...
  13. Mwanamke ambaye hujawahi kumuona akituma picha, mwambie atume ambayo haija-editiwa usije kujuta baadaye

    Wanawake hasa hawa weusi hawajiamini wanatumia filter ili kuibia watu na kuwaachia majuto makubwa. Hii imetokea jana, rafiki yangu kayakanyaga baada ya kumkimbia Mwanamke wake wa mtandaoni waliyekutana Facebook, hii imesababishwa na kakutana na sampuli mbili tofauti. Hawa Wanawake weusi...
  14. Picha: Wachezaji Kinda Wanaokuja kwa kasi Chama na Inonga Wakutana na Mayele, Wamuomba picha ya kumbukumbu

    Kushoto ni mchezaji kinda anayekuja kwa kasi anayechezea Kilabu cha mpira cha Simba Sc na Kulia Kabisa ni Mchezaji anayetajwa kuwa tarajio kubwa kwa kikosi hicho, Wakiwa katika picha ya pamoja na mchezaji Nyota anayekipiga katika klabu maarufu na kubwa ukanda wa mashariki ya Afrika na Afrika...
  15. Kenya: Maafisa wa Jeshi la KDF wamtembelea Yesu wa Tongaren, wapiga naye picha

    Maafisa wa Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF) wamemtembelea kiongozi huyo wa kiroho wa Kanisa la New Jerusalem Sect, Eliud Simiyu maarufu ‘Yesu wa Tongaren’ anayeishi Kaunti ya Bungoma ambaye anajinasibu yeye ni Yesu ambaye yupo kwenye mchakato wa kuiokoa Dunia. Kumekuwa na Wakenya wengi...
  16. Walioruhusu picha hii itumike hawakuwa wajinga

    I hope y'all are doing just fine, It has been long time since I was here[JF Inteligence] Kuna mtu alileta mada humu akiuliza kwamba picha inayotumiwa na wakristo hasa wakatoliki ya mtu mmoja mzungu kua “ndie” yesu, je hiyo picha ni ya Yesu kweli? Akaongeza kwa kusema kwamba wakati yesu akiwepo...
  17. Weka picha: Uko wapi sasa hivi na unafanya nini?

    Uko wapi na unafanya nini muda huu? Weka picha za uthibitisho N.B: Usiweke sura lako hapa kwa usalama zaidi
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…