Kenya: Maafisa wa Jeshi la KDF wamtembelea Yesu wa Tongaren, wapiga naye picha

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,309
5,464
YESU.jpg
Maafisa wa Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF) wamemtembelea kiongozi huyo wa kiroho wa Kanisa la New Jerusalem Sect, Eliud Simiyu maarufu ‘Yesu wa Tongaren’ anayeishi Kaunti ya Bungoma ambaye anajinasibu yeye ni Yesu ambaye yupo kwenye mchakato wa kuiokoa Dunia.

Kumekuwa na Wakenya wengi wanaomtembelea na wengine kumkosoa baada ya mtumishi huyo kuripoti katika vyombo vya usalama akidai waumini wake wanataka asulubiwe katika kipindi hiki cha Sikukuu ya Pasaka kama ilivyokuwa kwa Yesu

Maofisa hao walipiga picha na Yesu wa Tongaren, kitendo hicho kimepokelewa kwa mitazamo tofauti kwenye mitandao ya kijamii.

YE.jpg

YES.jpg

-----------

KDF officers visit Yesu wa Tongaren taking pictures with him

When Mwalimu Yesu wa Tongaren made headlines in Kenya, his claims were that he was the real Jesus Christ who is on a mission to save the world. The self-proclaimed Yesu is a Kenyan man based in Bungoma county.

Many Kenyans have visited him while others have criticized him and said that he should be crucified during this Easter holiday period when Je sus was crucified to wash away sins.

Today, a section of Kenya Air force officers paid a courtesy visit to Mwalimu Yesu Wa Tongaren in his home in Bungoma county.

The officers went ahead and took a photo with Yesu. Their visit has caused mixed reactions among Kenyans on Facebook who have seen it as a big joke.

“Kenya Air Force officers visit Yesu Wa Tongareni. This is a big joke,” reacted Daudi Chirano.

Source: Kenyanmusic
 
Back
Top Bottom