Watu wengi hawaishiwa fedha kwa sababu hawapati kipato…
Bali wanaishiwa fedha kwa sababu hawawezi kusema HAPANA.
Kama hutalinda pesa zako, mtu mwingine atazitumia kwa niaba yako.
Hivi ndivyo unavyoweza kubaki na udhibiti:
• Acha kutangaza kipato chako
Ukikaa kimya, matarajio ya watu...