min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 58,066
- 166,561
Ukishamkopea mtu pesa na akachelewesha kulipa , hiyo tayari inatoka kwenye malengo yako na unaona kama umeokota pesa.
Nilimkopea mtu mil 2 , leo kalipa baada ya miezi sita ya kumsumbua sana , sasa nimeona kama nimeokota pesa na nipo bar mda huu nazilamba bia kwa furaha , huku nikipotezea kabisa malengo ya hiyo pesa 🤔
Kama unamkopea mtu , kiukweli usitarajie chochote kutoka kwake au kwenye hiyo hela , naona kama hili lipo kisaikolojia zaidi 🤔
Nilimkopea mtu mil 2 , leo kalipa baada ya miezi sita ya kumsumbua sana , sasa nimeona kama nimeokota pesa na nipo bar mda huu nazilamba bia kwa furaha , huku nikipotezea kabisa malengo ya hiyo pesa 🤔
Kama unamkopea mtu , kiukweli usitarajie chochote kutoka kwake au kwenye hiyo hela , naona kama hili lipo kisaikolojia zaidi 🤔