Hata kama atalipa ukishamkopea pesa ukwisha

Hata kama atalipa ukishamkopea pesa ukwisha

min -me

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2022
Posts
58,066
Reaction score
166,561
Ukishamkopea mtu pesa na akachelewesha kulipa , hiyo tayari inatoka kwenye malengo yako na unaona kama umeokota pesa.

Nilimkopea mtu mil 2 , leo kalipa baada ya miezi sita ya kumsumbua sana , sasa nimeona kama nimeokota pesa na nipo bar mda huu nazilamba bia kwa furaha , huku nikipotezea kabisa malengo ya hiyo pesa 🤔

Kama unamkopea mtu , kiukweli usitarajie chochote kutoka kwake au kwenye hiyo hela , naona kama hili lipo kisaikolojia zaidi 🤔
 
Ukishamkopea mtu pesa na akachelewesha kulipa , hiyo tayari inatoka kwenye malengo yako na unaona kama umeokota pesa.


Nilimkopea mtu mil 2 , leo kalipa baada ya miezi sita ya kumsumbua sana , sasa nimeona kama nimeokota pesa na nipo bar mda huu nazilamba bia kwa furaha , huku nikipotezea kabisa malengo ya hiyo pesa 🤔


Kama unamkopea mtu , kiukweli usitarajie chochote kutoka kwake au kwenye hiyo hela , naona kama hili lipo kisaikolojia zaidi 🤔
Kwanini umkopea mtu pesa wewe ni micro finance au benki ? huo ni huruma wakijinga bora nikusaidie pesa ya bure kama msaada, sitaki kujitafutia maadui wa hiari.
 
Ni ngumu sana kwa mtu mwenye huruma hasa nikikutana na mtu mwenye uhitaji wa jambo live , siwezi kumpa bure ila huruma yangu inadondokea kwenye kukopea
Most of my bussiness and domestic enemies walitokana na huruma wakuuwakopea pesa tangu 2017 sera yangu fedha ni no neglegence personal loans anymore nacho kusaidi ni kuku-recommend kupata mkopo benki au microfinance ila mimi sikupi hata 500k
 
Most of my bussiness and domestic enemies walitokana na huruma wakuuwakopea pesa tangu 2017 sera yangu fedha ni no neglegence personal loans anymore nacho kusaidi ni kuku-recommend kupata mkopo benki au microfinance ila mimi sikupi hata 500k
Ndio maana siwi na pesa , naweza toka mizizi ya hasira kwa kukopea , ila nikishalipwa hata kwa kucheleweshwa nasahau nahisi wanao nijua vizuri wanatumia huo uchororo kunirudisha nyuma 🤔
 
Most of my bussiness and domestic enemies walitokana na huruma wakuuwakopea pesa tangu 2017 sera yangu fedha ni no neglegence personal loans anymore nacho kusaidi ni kuku-recommend kupata mkopo benki au microfinance ila mimi sikupi hata 500k
Don't be mean. Kama unacho saidia kwa uwezo wako hata kama sio kwa kuwakopesha. Akiweza kurudisha sawa asiporudisha sawa. Kuna watu wanakuwa na uhitaji sana ila badala ya kuomba anaomba kukopeshwa so usi generalize tu kwamba wote ni walewale
 
Back
Top Bottom