Wakuu,
Ni ukweli usiopingika kuwa Hiphop siku hizi imekuwa ni nyepesi mno tofauti na zamani
Siku hizi bars zimekuwa nyepesi na hata staili ysa kuchana imebadilika mno.
Leo kuna playlists moja nimekutana nayo huko Spotify. ilikuwa na nyimbo za marapa hawa ambao tangu kitambo wako kwenye game...
https://www.youtube.com/live/sypEPTFaiCI?si=GsKjBWqJIDu50RpP
Uboreshaji wa Miundombinu ya Barabara Mkoa wa Kagera Katika Kipindi cha Rais Samia
Katika hotuba yake kwa wanahabari, Mkuu wa Mkoa wa Kagera Bi Fatma Maswa amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita, inayoongozwa na Rais Samia Suluhu...
Sheria zetu za uchaguzi zinatamka wazi kuwa tokea mtu ametangaza nia ya kugombea, akianza kugawa zawadi kwa wapiga kura, hiyo itahesabika ni rushwa.
Sa100 tangu alipojitangaza kuwa yeye ni mgombea pekee wa nafasi ya Urais kupitia chama haramu, amegawa mitungi ya gas nchi nzima, amegawa pikipiki...
1. Mwalimu wa kiume anayefundisha shule za wasichana
-Huyu muda wowote kinaumana
2. Mwanajeshi anayefundisha au kusimamia kuruti wa kike
-huyu pia mambo yanaweza kwenda kombo muda wowote kama hatakua makini
3. Askari anayeingia ulinzi akiwa na silaha
4. Daktari anayehusika na wajawazito
5...
Album 5 bora za muda wote ni
1. Mapinduzi Halisi - Prof Jay
2. Aka Mimi - Mangwea
3. A boy from Tandale - Diamond
4. Binti - Lady Jaydee
5. Room Number 3 - Mbosso
Mbosso amefanikiwa kuingiza kwenye hii orodha EP yake baada ya kumuangusha Jay Moe n album yake y Ulimwengu ndio Mama.
Hongera...
1. St Judy schools
2. vision fund
3. Halmashauri za wilaya
4. Akiba commercial bank
5. Tanzania commercial bank
6. Dcb bank
7. Dtb bank
8. IPP media
9. Toyota Tanzania
10 . Car & General Trading Ltd
11. Rotana Hotel
12.J eshi la Magereza
13 . Jeshi la zimamoto
14. Kampuni za ulinzi
15. Mahakama...
Wakuu
Gazeti la Daily Nation la Kenya limechapisha orodha ya watu waliofariki kutokana na maandamano ya mwaka 2024 huko Kenya ambao wengi walikuwa ni Genz.
Je kuna gazeti la Tanzania linaloweza kufanya hivi?
===
Mwaka mmoja uliopita, Kenya ilikumbwa na wimbi la maandamano yaliyosababishwa na...
1. Mchungaji wake
2. Tajiri
3. Mwalimu wa mazoezi
4. Rafiki yake wa kiume
5. Daktari wa familia
Tujitahidi kuwaepusha wake zetu na watu hao jamani.
https://youtu.be/mukEPwaGAOo
Hii siyo ile tamthiliya ya Orodha aliyoandika Steve Reynolds (Ile wakongwe tulijibia mtihani wa kidato cha nne laahasha.
Huu ni mtimdo mwingine wa tamthiliya isiyokuwa ya kusadikima bali bayana katikati yetu; naanza na hii halafu mwenye kuongeza sawa ataongeza.
1. Job Ndugai, ilikuwa mwanzo...
Mohammad Bagheri – Mkuu wa majeshi ya jamhuri ya Kiislamu ya Iran (Chief of Staff of the Armed Forces.)
Hossein Salami – Kiongozi mkuu wa Jeshi la walinzi wa mapinduzi ya kiislamu (commander of IRGC.)
Amir Ali Hajizadeh – Mkuu wa Kikosi cha Anga cha jeshi la walinzi wa mapinduzi ya...
Makamishna wa TRA
Wakurugenzi wa miradi ya wafadhili (donor-funded projects)
Wakuu wa vyuo vikuu vya umma
Maafisa wa ubalozi (diplomats)
Wakurugenzi wakuu wa manunuzi (chief procurement officers)
Wakuu wa idara ya uhamiaji, polisi, magereza
Wakurugenzi wa bodi za mikopo au elimu
wafanyakazi...
1. Mtu anaenasibisha uongozi wa Samia na uzanzibar au uislam.
Samia hatumii vifungu vya dini kufanya mambo yake, keanza mengi yapo kinyume na dini, pili wa Zanzibar nao pia ni wahanga wa CCM, ni makundi machache yanayonufaika na CCM ndio wanaoshangilia hapa wapo wanajamiiforums wengi
2...
Baada ya jana Makolo kufungwa na kutupwa nje ya kombe la shirikisho. Ifuatayo ni orodha ya wachezaji wa Timu za ligi kuu wasio na kiwango cha kuchezea ligi kuu.
1. Ally Salim (Simba)
2. Chamou Karabou (Simba)
3. Che Fondoh Malone (Simba)
4. Lionel Ateba (Simba)
5. Steve Mukwala (Simba)
6. Joshua...
Hawa ni wale wasanii ambao bado hawajaukubali ukweli na kila wakihojiwa wanasema wanaanda album au kuna kazi zao zinakuja mashabiki wasikilizie tu;
1. Q Chief
2. TID
3. Baraka da Prince
4. Young Killa
5. Mh. Temba
6. Chege
7. Rich Mavoko
8. Aslay
9. Maua Sama
10. AY
11. Fid Q
12. Joh Makini
13...
Kwema wakuu. Huu ni Uzi maalumu kwa ajili ya bar zenye wahudumu wazuri nchini Tanzania.
Weka la bar, mtaa ilipo, wilaya na mkoa.
Naanza Mimi : ONE POINT ipo Chanika wilaya ya Ilala jijini Dar Es Salaam.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.