nyumbani

The Nyumbani Children's Home was founded by Father Angelo D'Agostino and Sister Mary Owens in 1992 to serve mostly abandoned children created by the AIDS pandemic. Since then, three more programs (Nyumbani Village, Lea Toto and Nyumbani Diagnostic Laboratory) have been added to the organization.

View More On Wikipedia.org
  1. TheGreatest Of AllTime

    JamiiForums Tanzania Wale waliopanda mti uitwao MDODOMA nyumbani, nisaidieni experience juu ya huu mti

    Wengine huiita trichilia emetica. Changamoto za wadudu, matawi kudondoka, mbegu kudondoka, kuhifadhi popo, etc Karibuni
  2. Stability

    JamiiForums Tanzania Mnakumbuka yule manzi wa "mkeka ndo nini au ndo zile ngozi waliolalalia slaves (watumwa)" , jana kanifanyia surprise

    Watoto wa kishua bwana kumbe wanajua kupika
  3. Expensive life

    JamiiForums Tanzania Dudubaya adai Diamond toka atoke nyumbani kwa P Diddy akili zake hazipo sawa

    Msanii nguli wa bongo fleva. Dudubaya adai toka msanii mwenzie Diamond plutnumz atoke nyumbani kwa P diddy huko Marekani, akili zake nado hazipo sawa.
  4. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Sugu aliimba huu wimbo akiwa na umri gani?

    1996 : Natafuta pasipoti, nataka kusafiri kikafiri, popote nitafika hata south africa, nyumbani nimechoka, nazidi nyanyasika🎶 Sugu alikuwa visionary sanaa, hapa ulikuwa na umri gani?
  5. KING MIDAS

    JamiiForums Tanzania Tambiko rahisi la kujizindika mwili wako unaloweza kuzindika wewe mwenyewe ukiwa nyumbani

    Hii hapa ritual rahisi ya kujisafisha kiroho nyumbani – salama, ya asili, na yenye nguvu ya kiroho: --- VITU UNAVYOHITAJI: 1. Chumvi ya kawaida au ya baharini (chumvi huchukua nishati hasi) 2. Maji safi 3. Mafuta ya mkarafuu, mizeituni, au lavender (kama unayo) 4. Mshumaa mweupe (ishara ya...
  6. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Polepole: Membe alihusika kusuka mipango ya Rais [Magufuli] kuuawa

    Humphrey Polepole amesema, "Kamati Kuu moja imekaa Lumumba imejadili Membe alihusika kusika mipango ya Rais kuuawa na ndiyo ulikuwa msingi wa kumchulia hatua Membe.."
  7. kadiri kasimba

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Eti wanawake; ni kwanini mwanaume akishinda nyumbani vitu huwa vinaisha ndani?

    Salam bandugu Je umeshakutana na hii? Umekaa zako w-end nyumbani labda unaangalia tv, hujakaa sawa unaambiwa mara Nido imeisha, na ni juzi tu ulinunua mara sukari haitoshi mwambie baba Yako akupe Hela,mara watu wa usafi nnje Jana walipita nikamwambia Leo ntawapa Hela, au ile, una 2000 hapo ya...
  8. Mwande na Mndewa

    JamiiForums Tanzania Yani hapa sijanywa hata chai kuna mtu ana yadi ya magari ya mabilioni nyumbani kwake, Tanzania hakuna haki.

    Hakuna usawa watu wanaingiziana mabilioni kwenye account zao,wanaendesha magari ya billion 20 lakini Mimi hata hela ya kula sina,nimekopa kausha damu hivi sasa nimepata presha hela ya kulipa Sina,nawasihi Angela Kizinga,Elvis na Abdul mnionee huruma mniletee hata kabilioni na Mimi nipate raha...
  9. curie

    JamiiForums Tanzania Jitengenezee energy ya asili nyumbani

    Kinywaji cha Asili cha Kuongeza Nguvu na Hamu Viungo: Asali vijiko 2 Tangawizi safi kijiko 1 (iliyokunwa) Kitunguu swaumu punje 2 (zikachunwacho vizuri) Juisi ya tikiti maji kikombe 1 Parachichi nusu (iliyoiva vizuri) Korosho au njugu kikombe kidogo (karibu 10 – 12) Jinsi ya...
  10. P

    JamiiForums Tanzania Mwalimu wa nyumbani napatikana

    Wakuu nawasalimu. Kama kichwa kinavyojieleza. Mimi kijana wa Kitanzania. Ualimu ndio Fani yangu(I'm very proud) hasa kwa wale wazazi au walezi wanaopenda watoto wao wafundishwe nyumbani kwao. Nipo available kwa Kazi hiyo kwa wakaazi wa Dar es salaam(Nipo Dar es salaam kwa sasa) Masomo ya...
  11. Vincenzo Jr

    JamiiForums Tanzania Jezi za Young Africans kwaajili ya msimu ujao wa 2025-26.

    𝐇𝐎𝐌𝐄 𝐊𝐈𝐓 𝟐𝟎𝟐𝟓/𝟐𝟔. 🔰 𝐀𝐖𝐀𝐘 𝐊𝐈𝐓 𝟐𝟎𝟐𝟓/𝟐𝟔 🔰 𝐓𝐇𝐈𝐑𝐃 𝐊𝐈𝐓 𝟐𝟎𝟐𝟓/𝟐𝟔 🔰 𝐌𝐓𝐎𝐊𝐎 𝐖𝐀 𝐊𝐈𝐌𝐀𝐓𝐀𝐈𝐅𝐀 𝐔𝐌𝐄𝐅𝐈𝐊𝐀 🤩Sogea hapa Makao Makuu ya klabu yetu Jangwani upate mtoko wako Mwananchi🔰.#timuyawananchi #daimambelenyumamwiko Kwa elfu 45 tu mwananchi 💚💛
  12. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Polepole: Lissu aachiliwe aende zake nyumbani

    Wakina ndugu Lissu aachiliwe aende zake nyumbani baada ya hapo maridhiano ya kitaifa tujadiliane na kuwa na muafaka wa pamoja, muafaka ndio inawekaga kusemana kweli na kisha tuambiane rekebisha hiki rekebisha kile na twende kwenye uchaguzi Amesema Polepole
  13. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Je, ni kitu gani ukikisahau nyumbani, hata ukishafika kazini lazima urudi ukakichukue?

    Wakuu 🔊 Tumekuwa na siku tano za kazi… je, imeshawahi kukutokea ukasahau kitu nyumbani mpaka ukalazimika kurudi kukichukua kwa sababu bila hicho kitu huwezi kabisa kuendelea na kazi yako? 😅 Tuchambue hapa, tupige stori. Mimi iliwahi kunitokea kusahau laptop nyumbani, bila hiyo siku nzima kazi...
  14. The Dictator

    JamiiForums Tanzania Ushawahi pigiwa simu ya nyumbani bila salamu unasikia fanya ufanyavyo anza safari usiku huu fika nyumbani afu anakata simu

  15. Tman900

    JamiiForums Tanzania Kutokulala Nyumbani

    Mara Chache sana huwa nalala Nyumbani, Kama Leo, hii nipo nyumbani ila nawaza niondoke nikalale Sehemu ingine. kwa Wajuzi wa mambo hii Tabia inatokana na ninini. Sipendi hii hali,Natamani kuiacha lakini nashindwa. Sasa hivi nipo nyumbani ila Natamani niondoke.
  16. H

    JamiiForums Tanzania Karibu Elite Home Tuition Services ambapo tunatoa huduma za ufundishaji ukiwa nyumbani

    Tunawafikia popote ulipo Tanzania! Unahitaji mwalimu wa nyumbani (home tuition) kwa mtoto wako au wewe binafsi? Tunatoa huduma bora ya kufundisha masomo yote, ngazi zote na mitaala yote (NECTA, CAMBRIDGE, n.k) Darasa la awali hadi sekondari Masomo ya sayansi, arts na biashara Mitihani ya...
  17. Arsenal Gunner

    JamiiForums Tanzania Hivi inawezekanaje kijana miaka 28 bado yupo nyumbani

    Hili toto nimelilea limemaliza shule halitaki kutoka nyumbani huu mwaka wa 8 Sasa wakuu nashindwa kuelewa toto kama Hilo haliwazi hata future yake na familia yake nawaza jinsi ya kulifukuza aisee Naombeni mnipe principle ya kumfukuza maana mama yake analitetea zee kama hili Mimi ni baba yake...
  18. Expensive life

    JamiiForums Tanzania Video: Nyumbani baba, kazini kichaaa

  19. Doto12

    JamiiForums Tanzania Namna nilivyoondoka nyumbani Kwa wazee mpaka kujitegemea

    Mnamo miaka kadhaa huko nyumba nilisoma sekondari nikiwa naishi Kwa ndgu. Sehemu ya makazi ya ndugu wale ninzaidi ya kilometa tatu. Nilivumilia mwaka mmoja mwaka wa pili nikahamia kwa Mzee ambaye tulikuwa na ukaribu upande wa mama. Tumuite Mzee Hasan, Mzee wangu huyu alikuwa akiishi peke yake...
  20. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Kipimo cha kujua wewe ni maskini ni namna unavyoishi na familia yako hapo nyumbani "Pastor Mgogo

    Kipimo cha kujua wewe ni maskini ni namna unavyoishi na familia yako hapo nyumbani "Pastor Mgogo UMEELEWA EEH NGOJA TUZIKE KWANZA NTARUDI TENAAAAA
Back
Top Bottom