Ndugu zangu Watanzania,
Nimesikitishwa sana ,kuchukizwa sana ,kushikwa na hasira kali sana na kumchukia sana Heche niliposikia akitoa kauli za dharau na kejeli kwa susan Kiwanga kwa sababu tu aliishi kwenye nyumba ya kupanga.
Hii maana yake nini? Maana yake ni kuwa Heche na CHADEMA kwa ujumla...
Nyumba ya kupanga tupo hapa Buguruni Mnyamani ni shida sana. Ni manyanyaso kwa sisi ambao ni mambo safi. Maana naona vijana hapa tunashindana sana kuweka madish ya visimbusi mbalimbali. Na kutumia masabuwufa ya sauti kubwa. Tuliwasha jioni hatusikilizani na hatuna shobo na mtu. Mi nimenunua...
Nyumba Vyumba 3 ( Masta Ipo), Sebule, Dinning, Jiko, Choo cha kuchangia ndani.
Ina fensi, egesho la gari, Maji Mita yake, Luku yake, umbali wa dakika 3 kutembea kutoka kituo cha daladala!
Maelezo zaidi— 0687614981
#rent
#STAND_ALONE HOUSE
IKO-DAR-ES-SALAAM Tz
MAHALI- MBEZI BEACH UPANDE WA CHINI
———————————————————
KODI USD 1300$/=KWA MWEZI
________________
MALIPO YA MIEZI 6
————-
IKO PEKE YAKE KWENYE FENSI
_________________
KUBWA YA KIFAMILIA
______
YENYE:-
Vyumba vinne vya kulala, # Master #Ac...
#rent
#STAND_ALONE HOUSE
IKO-DAR-ES-SALAAM Tz
MAHALI- MBEZI BEACH UPANDE WA CHINI
———————————————————
KODI USD 1300$/=KWA MWEZI
________________
MALIPO YA MIEZI 6
————-
IKO PEKE YAKE KWENYE FENSI
_________________
KUBWA YA KIFAMILIA
______
YENYE:-
Vyumba vinne vya kulala, # Master #Ac...
Bure kabisa fatilia hapa
Natoa ofa kuanzia leo Nitajie kiwanja chako kina ukubwa gani mimi nikwambie unaweza kujenga nyumba ya vyumba vingapi vya kulala
Wasalaam Eng James 0743 257 669
Nimeulizwa swali
Je kiwanja cha 27 kwa 15 kinaweza kujengwa nyumba ya vyumba vingap?
Kiwanja chenye urefu wa mita 27 na upana wa mita 15 kinaweza kubeba idadi tofauti ya vyumba kulingana na mpangilio wa ramani, aina ya ujenzi, na nafasi ya fensi.
1. Idadi ya Vyumba Unavyoweza Kupata
✅ Nyumba ya...
Nyumba inauzwa
iko bunju nyuma ya bank ya crdb na nbc
Nyumba ya 3 kutoka lami kubwa ya bagamoyo
Nyumba kiwanja sqm 700 eneo kubwa sana
Nyumba inavyumba 3 na 2 vina choo ndani
Nyumba
ina hati safi ya wizara tena kwa jina lako hamna garama ya kutoa kwajili ya transfer
Nyumba...
Habari wadau,
Tunapangisha nyumba ipo Maeneo ya mikocheni Plaza.
Mazingira yake:
Eneo Lina SQM 1,500. Ina ukuta umezungushwa.
Ni Nyumba ya Ghorofa moja.
Ina vyumba 5, sebule, jiko na DINNING pamoja na servant quarter kwa nje.
Parking space kubwa.
Kodi : Million 4 kwa mwezi.
Inafaa kwa...
Hellow!
Kama imewezekana haraka siku hiyo hiyo kuweka ulinzi na kufunga eneo lote la kanisa la ufufuo na uzima,
Kumbe hata ununuo na mabwe pande ambapo watu hutupwa wakiwa wameuwawa au kuumiza, inawezekana kuweka ulinzi wa 24 hours Ili kuzuia Hali hiyo kuendelea kutamallaki nchini petu...
Nyumba Inauzwa Kimara.
Mahali: Kimara Temboni, Mtaa wa Mtakuja.
Sifa za Nyumba:
•Ipo km 1 kutoka barabara kuu ya Morogoro.
•Ina chumba chenye choo ndani, sebule na jiko.
•Ina mpangaji analipa kodi sh. 300,000 kwa Mwezi.
•Ina eneo kubwa mbele.
•Usafiri wa aina zote unafika mpaka kwenye nyumba...
Nyumba zinaweza kuwa na paa linaloonekana au paa lililofichwa (hidden roof), na kila aina ina faida na changamoto zake.
1. Nyumba zenye bati linaloonekana
✅ Muonekano wa kawaida – Hizi ni nyumba za jadi ambapo paa linaonekana wazi kutoka nje.
✅ Urahisi wa matengenezo – Ni rahisi kugundua na...
Habari wakuu.
Nyumba ya Zamani inauzwa magomeni Kagera.
Ipo karibu na morogoro Road au kituo cha mafuta cha oilcom.
Sqm 400
Hati Safi
Hakuna mgogoro wa kifamilia au kiserikali.
Bei ya nyumba hii ni milion 680
📱0754693556 nipigie nikupeleke.
Nina miaka miwili kwenye hii nyumba lakini leo nimelipia tena kodi kama kawaida lakini mkata ulipokuja naona umeongezwa kipengele ambacho naona hakiko sawa mwenye nyumba ananiambia nisheria mpya ya upangishaji hapo kwenye picha nimewekea point nyekundu lakini hata ukiusoma mkataba mzima masharti...
Ninauza nyumba yangu hapa vikindu nyuma ya mtaa wa polisi.
Nyumba inavyumba viwili vya kulala vyote master. Ina maji na umeme nimesogeza nguzo na kufanya wiring mwenye uhitaji unipigie/whatsup 0673294681.
Ninashida ya pesa nataka niende masomoni nje ya nchi.
Bei tsh. 20m mazungumzo yapo
Ninauza nyumba yangu hapa vikindu nyuma ya mtaa wa polisi.
Nyumba inavyumba viwili vya kulala vyote master. Ina maji na umeme nimesogeza nguzo na kufanya wiring mwenye uhitaji unipigie/whatsup 0673294681.
Ninashida ya pesa nataka niende masomoni nje ya nchi.
Bei tsh. 20m mazungumzo yapo
Habari wana jf
Nimerudi tena na picha kimfaacho mtu chake nimekumbwa na changamoto kidogo za kuuguza so nimefikia maamuzi haya nauza nyumba ila bado haijaisha
Vyumba 3(viwili master)
Jiko
Sebule
Miguu 40 kwa 40
Store
10m maongezi yapo
Eneo mbagala kwa mbiku(chaboko)2-2.5km kutoka barabarani
Akilini kwako unatakiwa kujua kuwa Ujenzi ni gharama.
Unapaswa kutumia gharama kwa busara ili kupata ubora bila kuingia kwenye matumizi yasiyo ya lazima. Watu wengi hujarahisisha kazi wakidhani wanapunguza gharama, lakini mwisho wa siku, gharama huongezeka zaidi kwa sababu ya marekebisho na...
Ukitupa kaz tukujengee nyumba hizi ngazi tunakujengea free
Zinaitwa floating stairs
Zikipigwa finishing hapo utazipenda
HUDUMA ZA UJENZI NA USANIFU MAJENGO*
📌 Ramani za Nyumba za Kisasa
Tunachora ramani za nyumba za kisasa kulingana na mahitaji yako.
📌 Usanifu Majengo (Architectural...
Wonderfully Sand Beach Plot for Sale at Kigamboni Dege
●Area ize 9.6 Acres
●Price 3m usd
●Document: Title deed
Contact us and Schedule a visit!!
🇹🇿Call/WhatsApp +255758844717
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.