nyumba

  1. Fbn

    JamiiForums Tanzania Huyu fundi umeme kaacha alama kwenye nyumba hii

    Sija jua jina la fundi ila nimeona kaacha alama ndani ya jengo.
  2. radhiya

    JamiiForums Tanzania Nyumba Inauzwa Goba

    Nyumba inauzwa Goba, Dar es Salaam. Mahali: Lilian Kibo kwa Mwakifulefule. Sifa za Nyumba: *Nyumba haijakamilika, imefikia kwenye hatua ya umaliziaji. *Iko mita chache kutoka barabara ya Goba. *Iko upande wa kushoto ukitokea mbezi beach, na upande wa kulia ukitokea mbezi stendi ya Magufuli...
  3. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wazazi na walezi msiwachukulie poa watoto wenu kaeni nao chini, hawa ni wanafunzi wa form 2 wameachiwa nyumba,

  4. J

    JamiiForums Tanzania Je Kuna Uhalali wowote Kusalia Mbele ya Nyumba ya Ibada ya Dini Nyingine?

    Hicho ndicho kilichotokea wakati wa Eid Al Adha huko Montreal Canada. https://x.com/realMaalouf/status/1932453119792685440 Na bado Waziri Mkuu wa Canada katika salamu zake za Eid, alimwaga sifa kemkem kwa Waislamu. Swali jingine mtu anajiuliza je this love affair baina ya viongozi wa kisiasa wa...
  5. Expensive life

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa ujenzi nyumba kama hii niandae sh. Ngapi na mimi niamie kwangu?

    Wataalamu msaada wenu tafadhali nimechoka kupanga nina kaeneo kangu ka miaka nenda rudi, na mimi nataka niamie kwangu. Bei gani hii nyumba nataka niamie ndani ya siku mbili hizi.
  6. L

    JamiiForums Tanzania Leo John Heche Anawadharau Watanzania waliopanga Nyumba?

    Ndugu zangu Watanzania, Nimesikitishwa sana ,kuchukizwa sana ,kushikwa na hasira kali sana na kumchukia sana Heche niliposikia akitoa kauli za dharau na kejeli kwa susan Kiwanga kwa sababu tu aliishi kwenye nyumba ya kupanga. Hii maana yake nini? Maana yake ni kuwa Heche na CHADEMA kwa ujumla...
  7. Minjingu Jingu

    JamiiForums Tanzania Huyu mwenye nyumba sasa anatunyanyasa. Rais/Serikali iingilie kati jambo hili wanaichonganisha na wananchi

    Nyumba ya kupanga tupo hapa Buguruni Mnyamani ni shida sana. Ni manyanyaso kwa sisi ambao ni mambo safi. Maana naona vijana hapa tunashindana sana kuweka madish ya visimbusi mbalimbali. Na kutumia masabuwufa ya sauti kubwa. Tuliwasha jioni hatusikilizani na hatuna shobo na mtu. Mi nimenunua...
  8. dalaliami

    JamiiForums Tanzania Nyumba za kupanga mbezibeach

    Nyumba Vyumba 3 ( Masta Ipo), Sebule, Dinning, Jiko, Choo cha kuchangia ndani. Ina fensi, egesho la gari, Maji Mita yake, Luku yake, umbali wa dakika 3 kutembea kutoka kituo cha daladala! Maelezo zaidi— 0687614981
  9. Dalali_wa_kimataifa

    JamiiForums Tanzania NYUMBA INAPANGISHWA,IPO MBEZI BEACH🇹🇿

    #rent #STAND_ALONE HOUSE IKO-DAR-ES-SALAAM Tz MAHALI- MBEZI BEACH UPANDE WA CHINI ——————————————————— KODI USD 1300$/=KWA MWEZI ________________ MALIPO YA MIEZI 6 ————- IKO PEKE YAKE KWENYE FENSI _________________ KUBWA YA KIFAMILIA ______ YENYE:- Vyumba vinne vya kulala, # Master #Ac...
  10. Dalali_wa_kimataifa

    JamiiForums Tanzania 4BEDROOM FOR RENT,LOCATED AT MBEZI BEACH 🇹🇿

    #rent #STAND_ALONE HOUSE IKO-DAR-ES-SALAAM Tz MAHALI- MBEZI BEACH UPANDE WA CHINI ——————————————————— KODI USD 1300$/=KWA MWEZI ________________ MALIPO YA MIEZI 6 ————- IKO PEKE YAKE KWENYE FENSI _________________ KUBWA YA KIFAMILIA ______ YENYE:- Vyumba vinne vya kulala, # Master #Ac...
  11. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Natoa ofa kuanzia leo Nitajie kiwanja chako kina ukubwa gani mimi nikwambie unaweza kujenga nyumba ya vyumba vingapi

    Bure kabisa fatilia hapa Natoa ofa kuanzia leo Nitajie kiwanja chako kina ukubwa gani mimi nikwambie unaweza kujenga nyumba ya vyumba vingapi vya kulala Wasalaam Eng James 0743 257 669
  12. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Je kiwanja cha 27 kwa 15 kinaweza kujengwa nyumba ya vyumba vingap? Soma hapa

    Nimeulizwa swali Je kiwanja cha 27 kwa 15 kinaweza kujengwa nyumba ya vyumba vingap? Kiwanja chenye urefu wa mita 27 na upana wa mita 15 kinaweza kubeba idadi tofauti ya vyumba kulingana na mpangilio wa ramani, aina ya ujenzi, na nafasi ya fensi. 1. Idadi ya Vyumba Unavyoweza Kupata ✅ Nyumba ya...
  13. Dalali_wa_kimataifa

    JamiiForums Tanzania Nyumba mpya inauzwa,ipo Bunju ,bei ni million 260,maongezi yapo

    Nyumba inauzwa iko bunju nyuma ya bank ya crdb na nbc Nyumba ya 3 kutoka lami kubwa ya bagamoyo Nyumba kiwanja sqm 700 eneo kubwa sana Nyumba inavyumba 3 na 2 vina choo ndani Nyumba ina hati safi ya wizara tena kwa jina lako hamna garama ya kutoa kwajili ya transfer Nyumba...
  14. J

    JamiiForums Tanzania Nyumba ya kupanga mikocheni

    Habari wadau, Tunapangisha nyumba ipo Maeneo ya mikocheni Plaza. Mazingira yake: Eneo Lina SQM 1,500. Ina ukuta umezungushwa. Ni Nyumba ya Ghorofa moja. Ina vyumba 5, sebule, jiko na DINNING pamoja na servant quarter kwa nje. Parking space kubwa. Kodi : Million 4 kwa mwezi. Inafaa kwa...
  15. R

    JamiiForums Tanzania Kama imewezekana kupiga security tapes nyumba ya ibada, kumbe hata ununio na Mabwe pande inawezekana!

    Hellow! Kama imewezekana haraka siku hiyo hiyo kuweka ulinzi na kufunga eneo lote la kanisa la ufufuo na uzima, Kumbe hata ununuo na mabwe pande ambapo watu hutupwa wakiwa wameuwawa au kuumiza, inawezekana kuweka ulinzi wa 24 hours Ili kuzuia Hali hiyo kuendelea kutamallaki nchini petu...
  16. radhiya

    JamiiForums Tanzania Nyumba Inauzwa Kimara Temboni

    Nyumba Inauzwa Kimara. Mahali: Kimara Temboni, Mtaa wa Mtakuja. Sifa za Nyumba: •Ipo km 1 kutoka barabara kuu ya Morogoro. •Ina chumba chenye choo ndani, sebule na jiko. •Ina mpangaji analipa kodi sh. 300,000 kwa Mwezi. •Ina eneo kubwa mbele. •Usafiri wa aina zote unafika mpaka kwenye nyumba...
  17. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Tofauti ya hizi nyumba zenye bati linaloonekana na zile ambazo bati halionekani

    Nyumba zinaweza kuwa na paa linaloonekana au paa lililofichwa (hidden roof), na kila aina ina faida na changamoto zake. 1. Nyumba zenye bati linaloonekana ✅ Muonekano wa kawaida – Hizi ni nyumba za jadi ambapo paa linaonekana wazi kutoka nje. ✅ Urahisi wa matengenezo – Ni rahisi kugundua na...
  18. Dalali wa Mjini

    JamiiForums Tanzania Uwekezaji wa flem ghorofani magomeni Kagera.

    Habari wakuu. Nyumba ya Zamani inauzwa magomeni Kagera. Ipo karibu na morogoro Road au kituo cha mafuta cha oilcom. Sqm 400 Hati Safi Hakuna mgogoro wa kifamilia au kiserikali. Bei ya nyumba hii ni milion 680 📱0754693556 nipigie nikupeleke.
  19. Nyamwage

    JamiiForums Tanzania Huu mkataba unambana mpangaji na kumbeba mwenye nyumba

    Nina miaka miwili kwenye hii nyumba lakini leo nimelipia tena kodi kama kawaida lakini mkata ulipokuja naona umeongezwa kipengele ambacho naona hakiko sawa mwenye nyumba ananiambia nisheria mpya ya upangishaji hapo kwenye picha nimewekea point nyekundu lakini hata ukiusoma mkataba mzima masharti...
  20. Lyamba lya mfipa

    JamiiForums Tanzania NAUZA NYUMBA YA KISASA HAPA VIKINDU NYUMA YA MTAA WA POLISI 0673294681

    Ninauza nyumba yangu hapa vikindu nyuma ya mtaa wa polisi. Nyumba inavyumba viwili vya kulala vyote master. Ina maji na umeme nimesogeza nguzo na kufanya wiring mwenye uhitaji unipigie/whatsup 0673294681. Ninashida ya pesa nataka niende masomoni nje ya nchi. Bei tsh. 20m mazungumzo yapo
Back
Top Bottom