nyumba

  1. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Tauhida Gallos na Ujenzi wa Nyumba za Makatibu UWT Mkoa wa Magharibi na Wilaya (Dimani na Mfenesini)

    MBUNGE TAUHIDA GALLOS NA UJENZI WA NYUMBA ZA MAKATIBU UWT MKOA WA MAGHARIBI NA WILAYA ZAKE Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Magharibi kichama, Mhe. Tauhida Cassian Gallos Nyimbo tarehe 11 Mei, 2025 alipokuwa akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya Mbunge amekabidhi fedha kwa ajili ya...
  2. stabilityman

    Je, unazifahamu FAIDA za kuweka GRAFIATO DESIGN kwenye kuta za Nyumba ?

    Hapa kuna baadhi ya faida: 1. Urembo wa Kipekee: Grafiti design inaweza kuleta urembo wa kipekee na wa kisasa kwenye nyumba. Inatoa nafasi ya kuonyesha ubunifu na mtindo wa kibinafsi. 2. Kuongeza Thamani ya Nyumba: Nyumba zenye grafiti nzuri zinaweza kuvutia wanunuzi zaidi, hivyo kuongeza...
  3. ELI COHEN

    Unakuta tunajenga nyumba bati imeenda juu kupita maelezo ila watoto wanafanyia homework dining room

    Hio bajeti ya Hizo bati zilizo kimbia juu kama mt. Kilimanjaro si ndio ungetengeneza ka-study room kakiaina kenye mini -library mshenzi. Ila nitaishia kuambiwa: " TAFUTA HELA WEWE MATEMBELE HAYANA LADHA YA NYAMA"
  4. Chifu mkuu

    Kaburi sio nyumba /wala makazi ya milele

    Habari za wakati huu. Nimeona nichangie jambo moja kuhusu msamiati wa kipagani ulioingizwa katika midomo ya baadhi ya wafuasi wa dini za kiislamu na kinaswara (kikristo) kwa kusema kuwa kaburi ni nyumba au makazi ya milele! Mara nyingi maneno haya yamekuwa yakitolewa na watangazaji...
  5. stabilityman

    Hii nyumba hadi saizi hapo imejengwa imekula mil 17

    Ni nyumba yenye vyumba 3 vya kulala Hapo ni material na ufundi Kama unataka tukujengee Utuchek 0743 257 669 Raman Mahesabu Ujenzi Tuchek Ofisi zetu zipo banana ukonga wa.me//255743257669
  6. Wakusoma 12

    Tetesi: Kenya imeamua kulivalia njuga suala la Lissu, wakenya walinusuru maisha yake na Sasa wanapambabia uhuru wake. Mungu hutumia wageni kuleta amani nyumba

    Wakuu si jambo la kushangaza kwa hiki kilichopo hapa nchini maandiko yanasema kuwa Mungu huwatumia watu wengine kuleta amani. Wakati taifa letu likiwa linapitia katika kipindi Cha majaribu makubwa ya haki, uongozi na utu jirani zetu Kenya wameonesha kuguswa na mateso yetu. Sina mambo mengi Hilo...
  7. Hharyson

    UMECHOKA KUKAA NYUMBA ZA KUPANGA NA UNA PLOT NDOGO ANZA NA HII NYUMBA UTANISHUKURU 3BEDROOMS NDOGO SEBULE JIKO 2BATHROON HAINA DINING 0624004650

    WE DO DESIGN AND CONSTRUCTIONS SERVICES KAZI YETU NI MOJA TU KILA MTANZANIA ANAANZA KUISHI KWAKE CALL US +255624004650 TUNAPATIKANA SINZA DAR ES SALAAM
  8. M

    MSAADA: Ukuta wa nyumba unapandisha unyevu kwenye nyumba nzima

    Wakuu Habari, naomba kwa mwenye ujuzi anisaidie, nyumba yangu wakati naanza ujenzi sikuwa na ufahamu wa badhi ya vitu hivyo sikuweka DPM au DPC kwaajili ya kuzuia unyevu usipande kwenye kuta. Mafundi pia hawakunishauri lolote juu ya hilo ila kwasasa vipindi vya mvua naona athari yake kwani...
  9. R

    Maisha ya nyumba za kupanga uswahilini ni kama sinema ya bure, Ukiishi humo mwaka mmoja, unaweza andika kitabu kizima

    Tumetoka kwenye familia, zilizopanga kwenye nyumba iliyopewa jina la Muhimbili. Korido ndefu kama Sgr, kila mtu kapanga ndoo mlangoni.. Kulia vyumba tisa, kushoto nane, mwenye nyumba yupo uani.. Mlango mkubwa wa mbele, haufungwi hata siku moja.. Kwa sababu kuna watu kazi zao wanatoka usiku...
  10. stabilityman

    Ramani ya nyumba ya kuanzia maisha au ya kulindia kiwanja

  11. Kasri Homes Tz

    House4Sale Kibamba: Nyumba 3 Bdrm; Kiwanja 1,400sqm; Bei Mil 78. Beba - Dar

    • Direction: • Condition: • Structures: • Facilities: • Plot Terrain: • Plot Survey: • Plot Area: • Document: • Ideal: • Price: • Site visiting: . #InRealEstateWeConnect ☎💬: Mitandaoni:
  12. Pascal Mayalla

    Japo Kelele za Mlango, Hazimkoseshi Mwenye Nyumba Usingizi, Zikizidi Zinakera!. Kelele za Minimum Reforms, Sio Kero?, Mwenye Nyumba Anapata Usingizi?

    Wanabodi, Hii ni Makala yangu ya gazeti la Mwananchi. Leo, naendelea na zile makala za Ijue Katiba ya JMT, nikijikita kwenye kitu kinachoitwa Sovereignty, huu ni uhuru wan chi, kutoingiliwa kwenye mambo yake ya ndani. Nimeileta mada hii baadab ya kusikia malalamiko ya baadhi ya Watanzania kuwa...
  13. Youbettersleep

    Hamtaki Ramani za Nyumba, garden au fence?

    Nipigie nikupe plan bei zangu ni BUREEEE PIGA HATA TUONGEE KUHUSU YANGA KUTOCHEZA MECHI. PIGA 0621 622 070
  14. Dalali_wa_kimataifa

    House4Sale Nyumba mpya inauzwa ipo Bunju bei ni milioni 350

    #salesalesale NYUMBA MPYA NZURI NA YAKISASA INAUZWA INA HATI MILIKI #INA VYUMBA VINNE VYOTE NI SELF CONTAINED FULL AC & HEATER, SEBULE KUBWA ,STUDYING ROOM, DINNING NA JIKO LAKISASA #INA SERVANT KOTA, GARDENS, FENSI YA UMEME, GETI LA REMOTE NA PARVING #UKUMBWA WA ENEO SQMT 700 #BEI...
  15. Kasri Homes Tz

    House4Sale Mbezi: Shinda Mnada Wa Hii Nyumba, Vuna Mil 9 Kila Mwaka - Dar

    • Direction: • Condition • Features: • Facilities: • Plot Area: • Document: • Ideal: • Bid Start Price: • Agent Fee: . #InRealEstateWeConnect ☎💬: Mitandaoni:
  16. Scared

    Kuna jamaa aliuziwa nyumba, aliyemuuzia kafariki halafu hajabadili hati alimdanganya hana hati kumbe nyumba ina hati

    Wakuu jamaa yangu aliuziwa nyumba, sasa aliyemuuzia amefariki jamaa akiwa bado hajabadili jina la hati ya nyumba hapo inakuaje Ili kuweza kupata haki yake wakuu au ndio atadhulumika? Mwenye nyumba alimdanganya kwamba hati hajapata kumbe anayo ndani, watoto wa marehemu wameiona sasa inasemekana...
  17. radhiya

    Nyumba inauzwa Goba Dar es Salaam

    Nyumba inauzwa Goba, Dar es Salaam. Mahali: Lilian Kibo kwa Mwakifulefule. Sifa za Nyumba: *Nyumba haijakamilika, imefikia kwenye hatua ya umaliziaji. *Iko mita chache kutoka barabara ya Goba. *Iko upande wa kushoto ukitokea mbezi beach, na upande wa kulia ukitokea mbezi stendi ya Magufuli...
  18. Dalali_wa_kimataifa

    NYUMBA INAUZWA,IPO MAKUMBUSHO,BEI NI MILIONI 950,MAONGEZI YAPO

    #sale LUXURY 4 BEDROOMS MANSION FOR SALE ☀ ASKING PRICE::: 950,000,000 Tshs ☀ PLOT SIZE : 456 SQM ☀ CLEAN DOCUMENT TITLE DEED ✨ Location:: MAKUMBUSHO ✔️ 4 Bedrooms Fully Ensuit ✔️ 2 Sitting Room Area ✔️ Kitchen ✔️ 2 Public Toilets ✔️ Private luku. ✔️ Dawasco Water Service Available ✔️...
  19. Hharyson

    KUWA NA PESA PEKE YAKE HAITOSHI KUWA NA NYUMBA NZURI UNAHITAJI PIA WATAALAMU WABOBEVU KAMA SISI CALL US 0624004650

    TUNAHUSIKA NA HUDUMA YA DESIGN NA UJENZI TUNAPATIKANA DAR ES SALAAM SINZA CALL/WHATSAP US +255624004650
  20. stabilityman

    Nahitaji watu 10 niwauzie raman za nyumba kwa bei rahisi tu hamna haja ya kuumizana wote tujenge kwa ramani

    Raman hizi zote unazoziona hapa zina vyumba 2 vya kulala Nichek 0743 257 669 Natoa ofa kwa watu 10 tu niwape hizi raman Nina stock ya raman zaidi ya 500 na nachora nyingine mpya kila siku niletee oda yako Sitak Mtanzania ujenge bila raman ya nyumba Sasa njoo whatsapp 0743 257 669 ili nikupe...
Back
Top Bottom