MBUNGE TAUHIDA GALLOS NA UJENZI WA NYUMBA ZA MAKATIBU UWT MKOA WA MAGHARIBI NA WILAYA ZAKE
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Magharibi kichama, Mhe. Tauhida Cassian Gallos Nyimbo tarehe 11 Mei, 2025 alipokuwa akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya Mbunge amekabidhi fedha kwa ajili ya...
Hapa kuna baadhi ya faida:
1. Urembo wa Kipekee: Grafiti design inaweza kuleta urembo wa kipekee na wa kisasa kwenye nyumba. Inatoa nafasi ya kuonyesha ubunifu na mtindo wa kibinafsi.
2. Kuongeza Thamani ya Nyumba: Nyumba zenye grafiti nzuri zinaweza kuvutia wanunuzi zaidi, hivyo kuongeza...
Hio bajeti ya Hizo bati zilizo kimbia juu kama mt. Kilimanjaro si ndio ungetengeneza ka-study room kakiaina kenye mini -library mshenzi.
Ila nitaishia kuambiwa: " TAFUTA HELA WEWE MATEMBELE HAYANA LADHA YA NYAMA"
Habari za wakati huu.
Nimeona nichangie jambo moja kuhusu msamiati wa kipagani ulioingizwa katika midomo ya baadhi ya wafuasi wa dini za kiislamu na kinaswara (kikristo) kwa kusema kuwa kaburi ni nyumba au makazi ya milele!
Mara nyingi maneno haya yamekuwa yakitolewa na watangazaji...
Ni nyumba yenye vyumba 3 vya kulala
Hapo ni material na ufundi
Kama unataka tukujengee
Utuchek 0743 257 669
Raman
Mahesabu
Ujenzi
Tuchek
Ofisi zetu zipo banana ukonga
wa.me//255743257669
Wakuu si jambo la kushangaza kwa hiki kilichopo hapa nchini maandiko yanasema kuwa Mungu huwatumia watu wengine kuleta amani. Wakati taifa letu likiwa linapitia katika kipindi Cha majaribu makubwa ya haki, uongozi na utu jirani zetu Kenya wameonesha kuguswa na mateso yetu. Sina mambo mengi
Hilo...
WE DO DESIGN AND CONSTRUCTIONS SERVICES
KAZI YETU NI MOJA TU KILA MTANZANIA ANAANZA KUISHI KWAKE
CALL US +255624004650
TUNAPATIKANA SINZA DAR ES SALAAM
Wakuu Habari, naomba kwa mwenye ujuzi anisaidie, nyumba yangu wakati naanza ujenzi sikuwa na ufahamu wa badhi ya vitu hivyo sikuweka DPM au DPC kwaajili ya kuzuia unyevu usipande kwenye kuta.
Mafundi pia hawakunishauri lolote juu ya hilo ila kwasasa vipindi vya mvua naona athari yake kwani...
Tumetoka kwenye familia, zilizopanga kwenye nyumba iliyopewa jina la Muhimbili.
Korido ndefu kama Sgr, kila mtu kapanga ndoo mlangoni..
Kulia vyumba tisa, kushoto nane, mwenye nyumba yupo uani..
Mlango mkubwa wa mbele, haufungwi hata siku moja..
Kwa sababu kuna watu kazi zao wanatoka usiku...
Wanabodi,
Hii ni Makala yangu ya gazeti la Mwananchi.
Leo, naendelea na zile makala za Ijue Katiba ya JMT, nikijikita kwenye kitu kinachoitwa Sovereignty, huu ni uhuru wan chi, kutoingiliwa kwenye mambo yake ya ndani. Nimeileta mada hii baadab ya kusikia malalamiko ya baadhi ya Watanzania kuwa...
#salesalesale
NYUMBA MPYA NZURI NA YAKISASA INAUZWA INA HATI MILIKI
#INA VYUMBA VINNE VYOTE NI SELF CONTAINED FULL AC & HEATER, SEBULE KUBWA ,STUDYING ROOM, DINNING NA JIKO LAKISASA
#INA SERVANT KOTA, GARDENS, FENSI YA UMEME, GETI LA REMOTE NA PARVING
#UKUMBWA WA ENEO SQMT 700
#BEI...
Wakuu jamaa yangu aliuziwa nyumba, sasa aliyemuuzia amefariki jamaa akiwa bado hajabadili jina la hati ya nyumba hapo inakuaje Ili kuweza kupata haki yake wakuu au ndio atadhulumika?
Mwenye nyumba alimdanganya kwamba hati hajapata kumbe anayo ndani, watoto wa marehemu wameiona sasa inasemekana...
Nyumba inauzwa Goba, Dar es Salaam.
Mahali: Lilian Kibo kwa Mwakifulefule.
Sifa za Nyumba:
*Nyumba haijakamilika, imefikia kwenye hatua ya umaliziaji.
*Iko mita chache kutoka barabara ya Goba.
*Iko upande wa kushoto ukitokea mbezi beach, na upande wa kulia ukitokea mbezi stendi ya Magufuli...
Raman hizi zote unazoziona hapa zina vyumba 2 vya kulala
Nichek 0743 257 669
Natoa ofa kwa watu 10 tu niwape hizi raman
Nina stock ya raman zaidi ya 500 na nachora nyingine mpya kila siku niletee oda yako
Sitak Mtanzania ujenge bila raman ya nyumba
Sasa njoo whatsapp 0743 257 669 ili nikupe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.