Naomba kushare, hivi urembo wa madirisha na kona vipo kwenye fashion au ni vimepitwa na wakati? Na kama vipo, vipi huko mbeleni?
Binafsi navutiwa na huo urembo ila nakuwa nakuwa nasita kuweka!
Nyumba Inauzwa Kimara.
Mahali: Kimara Temboni, Mtaa wa Mtakuja.
Sifa za Nyumba:
•Ipo km 1 kutoka barabara kuu ya Morogoro.
•Ina chumba chenye choo ndani, sebule na jiko.
•Ina mpangaji analipa kodi sh. 300,000 kwa Mwezi.
•Ina eneo kubwa mbele.
•Usafiri wa aina zote unafika mpaka kwenye nyumba...
Submita kata umeme inakuwezesha Kutumia umeme wako mwenyewe, Acha kuokota fundi mtaani. Ukihitaji Submita nitakuuzia na kukufungia.
Pia nitakupa Elimu namna yakuitumia Submita hiyo. Wengi wamekuwa wakipata changamoto namna ya kuitumia na wakati mwingine kutaka hata kuzifungua...
House For Sale.
Location: Temeke Chang'ombe.
-100 meters from National Stadium.
- Corner House.
Features:
-3 Bedrooms(1 Master Bedroom).
-1 Kitchen.
-1 Public Toilet.
-3 Medium Size Warehouse(Stoo).
-Large Parking.
-Borehole(Kisima).
Size: SQM 375.
Starting Price: Tzs 450 Million which is...
Ingawa wengi hupendelea mafundi wa karibu, kutumia fundi kutoka mbali kunaweza kuwa na faida maalum kulingana na mahitaji na mazingira ya mradi wako. Hapa kuna baadhi ya faida zake:
1. Utaalamu wa kipekee – Fundi kutoka mbali anaweza kuwa na maarifa au uzoefu wa kipekee ambao haumpati fundi wa...
Habari naitwa Eng James ni mtaalamu wa ujenzi wa nyumba za kisasa ,Ramani za nyumba ,BOQ N.K
Wewe endelea kufatilia maandiko yangu utajifunza mengi kuhusu ujenzi na kupata ubora mkubwa sambamba na kupunguza ghalama.
Njoo tukujengee tukukabidhi funguo 0743257669 ofisi tupo ukonga dsm
Kumtumia...
Nyumba Inauzwa Goba.
Mahali: Goba Kwa Robert.
Sifa za Nyumba:
*Ni nyumba mpya anakaa mlinzi tuu.
*Ina vyumba vinne vikubwa, kila chumba kina choo chake. *Ina Spanish tiles.
*Madirisha ni pvc.
*Ina fence(uzio).
*Ina vyoo(toilets)5.
*Umeme na maji yapo.
*The house is new, no one has lived in...
Halafu unakuja hapa kutubeza sisi tusiokuwa na gari ila tumejenga unaatuona ni malofa ila wewe unayeishi kwenye nyumba ya mwanaume mwenzio unajiona ni mwamba sana.
Kwanza hapo huna mamlaka hata ya kumgombeza mkeo mwenye nyumba anaweza kutoka kifua wazi na kukukoromea kuwa hapa sitaki ugomvi...
Nyumba inauzwa Goba, Dar es Salaam.
Mahali: Lilian Kibo kwa Mwakifulefule.
Sifa za Nyumba:
*Nyumba haijakamilika, imefikia kwenye hatua ya umaliziaji.
*Iko mita chache kutoka barabara ya Goba.
*Iko upande wa kushoto ukitokea mbezi beach, na upande wa kulia ukitokea mbezi stendi ya Magufuli...
Habari wakuu.
Nyumba inauzwa Argentina mkabala na ofisi Za Mabasi ya Shabibi Line.
Nyumba inatazama Morogoro Road
Eneo Lina ukubwa wa sqm 480
Hati Safi
Bei ni Milion 600
Maongezi ni wewe mnunuzi na mwenye nyumba.
Hakuna mgogoro wowote.
Unaweza kuvunja na kuweka uwekezaji mwingine.Maamuzi...
Wanabodi kama mada inavosema,nimepitia maoni mengi kuhusu uezekaji na gauge pendekezwa ni 28,lkn binafsi nataka kutumia gauge 26,naombeni ushauri wenu wa kitaalamu nipate elimu na kufanya maamuzi
Salamu matajiri.
Namba zangu hizo hapo dalali ambaye Sina mkuu lakini Kazi zangu zimenyooka.
Ukitaka nyumba ya kununua au kiwanja basi nahakikisha kila kitu Kipo Sawa.
Hakuna mgogoro wa kiserikali au kifamilia.
sikutozi Hela ya kukupeleka kuona eneo Ila utalipia usafiri WA kukupeleka sehemu...
Nyumba Inauzwa Goba.
Mahali: Goba Kwa Robert.
Sifa za Nyumba:
*Ni nyumba mpya anakaa mlinzi tuu.
*Ina vyumba vinne vikubwa, kila chumba kina choo chake. *Ina Spanish tiles.
*Madirisha ni pvc.
*Ina fence(uzio).
*Ina vyoo(toilets)5.
*Umeme na maji yapo.
*The house is new, no one has lived in...
Nyumba inauzwa Goba, Dar es Salaam.
Mahali: Lilian Kibo kwa Mwakifulefule.
Sifa za Nyumba:
*Nyumba haijakamilika, imefikia kwenye hatua ya umaliziaji.
*Iko mita chache kutoka barabara ya Goba.
*Iko upande wa kushoto ukitokea mbezi beach, na upande wa kulia ukitokea mbezi stendi ya Magufuli...
Hicho ndicho kilichotokea wakati wa Eid Al Adha huko Montreal Canada.
https://x.com/realMaalouf/status/1932453119792685440
Na bado Waziri Mkuu wa Canada katika salamu zake za Eid, alimwaga sifa kemkem kwa Waislamu. Swali jingine mtu anajiuliza je this love affair baina ya viongozi wa kisiasa wa...
Wataalamu msaada wenu tafadhali nimechoka kupanga nina kaeneo kangu ka miaka nenda rudi, na mimi nataka niamie kwangu. Bei gani hii nyumba nataka niamie ndani ya siku mbili hizi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.