Ni jambo lenye ukakasi ila sinabudi kulizungumza. Naomba mniwie radhi.
Nilisafiri sehemu nikakaa siku moja, yapili nikarudi, naweza sema nimekaa siku mbili, lakini zaidi ya haja dogo, sijaenda haja kubwa hata maramoja.
Niliporudi ninapoishi siku ya kwanza nikapata choo kigumu, siku ya pili...