Miaka ya 1970 - 1990. Enzi za utawala wa Nyerere hadi alipoachia 1985 hadi awamu ya kwanza ya utawala wa awamu ya pili, wa Rais Mwinyi, Tanzania ilikuwa, moja imara, na yenye upendo mkubwa.
Kila mtu alijivunia utanzania, uzalendo, na kuona fahari kuitwa Mtanzania.
Nitatoa mifano miwili ya...