Andrew Nyerere ile miaka ya 1990s akiwa kijana wa ku party kwenye clubs, alikuwa akifanya fujo halafu police wakianza kumtafuta alikuwa anakwenda nyumbani kwa RPC wa Dar miaka ile yaani RPC Tryphon Maji pale A. H. Mwinyi Rd jirani na Kaunda Drive. Basi police wanakuwa wa pole tu.
Aliona vema...
Pamoja na Mapungufu ya mwalimu Nyerere lakini yeye alikua ni mtu wa kupenda hoja kinzani. Nyerere wote tunajau hakua fisadi watoto wake hawakua na kashfa za kifisadi.
Nyerere alipenda watanzania na alipenda watanzania tufaidike wote na rasilmali za nchi. Nyerere alichukia rushwa na Ufisadi...
Wakuu ama kweli Mtoto wa Nyerere Andrew Nyerere amekua kuyakomesha haya matapeli , manyonyaji , madhulumati ya Haki za Watu na Mafujaji ya Rasilimali za Nchi !!.
Mpaka Sasa Hamna Mtoto wa Nyerere ambaye ametoka hadharani kupinga au kukosoa maamuzi ya Kaka Yao Mkubwa Andrew Nyerere juu ya...
ANDREW NYERERE NI MGONJWA WA AFYA YA AKILI , ASAIDIWE MAOMBI.
Familia ya mwalimu Nyerere ilipata bahati mbaya sana na haikuwa bahati kwa huyu mtoto wake Andrew Nyerere ambaye ni mtoto mkubwa wa Baba wa Taifa ana matatizo ya akili na wendawazimu ambao kwa kweli anatakiwa apewe matibabu na...
Yani kilichofanyika ni kama kumlazimisha mtoto akubali kua mama wa kambo ndio mama yake mzazi hali yakua mtoto anamjua aliyemzaa ni nani.
Yani ni kama umemfunga mpinzani wako mikono halafu unasubiri ipigwe kengele utangzwe mshindi.
Sijawahi kuona upuuzi kama huu hapa duniani.
Huu wimbo ulitoka kuelekea kipindi cha uchaguzi wa J.K Kikwete mwaka 2004 na hayo aliyoyaimba hayakutokea. Ni miaka takribani 22 toka wimbo utoke na leo yote yaliyoimbwa yanaelekea kuwa dhahiri shahiri. Mzee wa watu alifanya unabii bila hata kujua utakuja kutokea lini na leo tunayaona...
Naamini hilo bila shaka Mtwara ndiyo ilipaswa kuwa makao makuu ya nchi hii na business center kwa nchi hii ila tu uroho,ubinafsi na chuki ya viongozi wa nchii hii kutokana na ukanda wao tu hivi kitu gani ambacho kwenye nchii hii Mtwara hakuna madini mtwara yapo,eneo la Bahari lenye kina kirefu...
Ukinzisha biashara ya kuuza maji na kuyaita uhayani water utauza sana
Najiuliza Proffesa Kabudi alirogwa na nani?
Yaani anamfananisha Samia na Nyerere kama ulivyomfananisha Magu na Mungu na baadae Mungu kukuonesha hafananishwi akamtwaa.
"Dkt. Samia Suluhu Hassan ametimiza mambo makubwa ambayo Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere aliyatamani lakini hakuweza kuyafanya." - Profesa Palamagamba Kabudi kwenye kampeni za CCM mkoani Mbeya.
Habari wanaJF wenzang
Mwl Julius K. Nyerere aliwapenda na kuwaheshimu wapigania Uhuru wote wa Bara letu la Africa.
Katika kuonesha heshima na upendo huo kwao, mwl Nyerere aliamua baadhi ya barabara na mitaa ya nchi yetu kuipa majina ya wapigania Uhuru hao wa nchi zetu za Africa.
Hapo chini ni...
eneo hili ni mojawapo ya mipango bora kabisa ya iliyokuwa mamlaka ya uendelezaji mji. CDA. wali plan vizur sana miaka hio ya 1970s kwa kuweka bustan ya kupumzika.
jembe mwamba alivokuja akapaboresha sana sambamba na kuhamishia makao makuu
kwa hali ilivo sasa ni kama laiti pangetengewa hata 1% tu...
Sifa ya Serikali corrupt, sio maneno yangu nimecopy and paste kwa mwl mzee wetu Julius Nyerere Enzi za uhai wake but still Bado anaishi hata sas
1: haikusanyi Kodi
2: inamzigo wa madeni (i.e deni la taifa)
3: inatumwa na wenye mali
4: inawafanyia kazi wenye mali
5: inafukuzana na vijitu...
Hakuna mtu ambaye alikutana na hoja za mstaafu kama Ali Hassan Mwinyi, au kwa sababu aliyetoa ushauri alikuwa wa Vatican?
Warioba mpaka juzi alikuwa anatoa ushauri, haisemwi na maaskofu kwa kuwa ana reference ya ukristo?
Ni udini ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.