Wala haikuwa kazi ngumu kuwaelimisha watu wa Bariadi kuhusu Mpango huu, hii ni kwa sababu hakuna Mahali popote kwenye Nchi hii ambako hakuna Makaburi ya wanachadema waliouawa kwa sababu ya Uchaguzi.
Kwahiyo kilichofanyika ni kuwaonyesha tu Makaburi hayo na watu wakaelewa kwamba kumbe mpango huu...
Musoma wa Unga: "No Reforms, No Elections" - Msimamo wa Nchi
Hali ya kisiasa Tanzania inazidi kuwa ya mvutano huku chama cha upinzani cha CHADEMA, hasa Musoma, Mara, kikichukua msimamo thabiti wa "No Reforms, No Elections." Kauli hii inamaanisha kwamba bila marekebisho ya katiba na sheria za...
Wanabodi
Angalizo la Uchangiaji
Naomba kuianza hii mada kwa angalizo la uchangiaji,
JF ilipoanzishwa,it was ment to be the home for great thinkers。
Simple mind discuss people
Ordinary mind discuss events
Great mind discuss idea
Mada iliyopo mezani ni NRNE,ya Chadema ,hii ni mada ya ideas ya...
Huyu hapa ni Mtu mwenye Ulemavu aliyepambana kusogea hadi Jukwaa Kuu ili Kuchangia Tone Tone ya Chadema, Michango ya Tone tone inawezesha Chama hicho kujiendesha, kununulia mafuta ya magari ili Viongozi waweze kufika kila kijiji
Imezoeleka kwamba Mara zote Walemavu wamekuwa watu wa kupewa...
Sijajua mwisho wake nini Maana CCM na vyama vingine vinasema tuanaendelea na uchaguzi ,CHADEMA pekee inasema no reform no election.
Kibaya zaidi CHADEMA iko disquualified kushiriki uchaguzi.lakini wanaendelea na campain yao kwamba no reform no election.kwa maana hiyo siku tume huru ya uchaguzi...
Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba, Ile Kampeni Tukufu ya Chadema imeingia Sengerema, na bila kupoteza muda ikatua Jimbo la Buchosa, Ambako kazi kubwa ya Mbunge wake anayeitwa Shigongo ni kuhudhuria Misiba na kusaidia wananchi wake vifaa vya kuchimbia Makaburi kama machepeo na sululu.
Kupata...
Hii inahusu upatikanaji wa wawakilishi/viongozi wetu hasa katika vyombo wa Bunge, Madiwani na Urais.
Katiba yetu inaelekeza kwamba kutakuwa na Bunge kwaajili ya kuwakilisha wananchi katika ngazi ya Taifa (Bunge)na Baraza la madiwani ktk Halmashauri na Rais.
Na kwamba wawakilishi wetu hawa...
Dkt. Lwaitama awapiga za uso G55, awapa elimu nzito ya utofauti kati ya cheo cha kuteuliwa na kuchaguliwa, asisitiza 'no reforms, no election'
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania...
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba Chadema bado iko Bukoba, ambako leo walikuwa na Mkutano kabambe Bukoba Mjini, Wakanyimwa Uwanja na kupelekwa mbali Pembezoni mwa Mji.
Eneo walilopewa lilijaa madimbwi, hata hivyo wananchi wakajaa na kusimama ndani ya madimbwi hayo hadi yalikauka yenyewe.
Ushahidi...
“Kwa masikitiko sana wako watu wanaozunguka huko mataani kuwadanganya Watanzania na wanawaambia kama hakuna mabadiliko hakuna uchaguzi, kimsingi Naibu Spika ukiangalia mabadiliko wanayoyasema ni mabadiliko ambayo mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa utashi wake mkubwa wa kisiasa aliamua...
"Tusipotoshe umma kutaka kutekeleza jambo ambalo tunajua hata wale wanaopendekeza hawajatekeleza wajibu wao. Utaratibu wa utunzi wa sheria unasema mtu binafsi, Mbunge au Wizara yenye dhamana wanaweza kupeleka mapendekezo ya mabadiliko ya sheria serikalini na ukipeleka serikalini mapendekezo yale...
Taarifa kutoka Chadema Makao Makuu zinaeleza kwamba, Maandalizi ya ile kampeni Takatifu ya No Reforms No Election Kanda ya Kati yamekamilika.
Taarifa iliyonaswa na Mleta Mada huyu hii hapa.
▪︎Back to the roots
Tanzania's main opposition party CHADEMA bore the 'No reforms, No election' campaign with the said aim of sabotaging the calendered elections expected to be held in October this year.
With the party's newly elected cream of leadership led by party's now chairman Mr. Tundu...
Wanabodi,
Harakati ya no reforms, no elections imepamba moto katika kipindi ambacho vyombo vya usalama vinaendelea kuwathibiti viongozi wa Chama cha demokrasia na maendeleo. Jitihada za viongozi hawa kuzuia uchaguzi zinaweza kuwaletea athari kubwa kwasababu harakati hii itahusisha ushawishi wa...
Ndugu Watanzania, nianze kwa kuwasalimia kwa salamu ya chama changu pendwa Chama cha Mapinduzi (CCM).
Kidumu Chama cha Mapinduzi ..........................!
Awali ya yote nitaomba radhi kwa kila Mwanachama wa CCM atakayekwazika kwa hiki ninachoenda kukifanyia uchambuzi.
SIKU ZA HIVI KARIBUNI...
Chadema wanataka kupika ugali kabla maji hayajachemka. Kesi ya Lissu leo ni kipimo tosha kwamba ajenda yao si ajenda ya wananchi.
Hata ukifuatilia mikoani, wanaolia na no reform-no election ni watu watatu tu, Liasu, Heche na Lemma. Viongozi wengine mikoani na wilayani na vijijini walaaaa...
To the point.
Japo tupo busy Sana na NRNE Ila ni muhim tungefikiri kuhusu Mambo flan ambayo hutukwamisha katika mabadiriko ikiwa marekebisho yatafanyika na uchaguzi utafanyika kwa uwepo wa CHADEMA.
Hapo nyuma nilijaribu kufanya research ndogo kwa vijana wanaoshinda vijiwe tofaut tofaut pale...
Siku Moja katika nchi ya kusadikika kulikuwa na Kundi la kondoo na chui .
Makundi haya mawili yalikuwa yanataka UONGOZI wa mji wa kusadikika . Kundi la Chui lilikuwa linaelekea kushindwa kihoja. Kondoo waliona wajiongoze wenyewe bila kushirikiana na chui.
Chui alikuja na Hoja , akisema...
Dakika 45 leo!
Mzee Butiku aunga mkono Reforms na kusema wazi kuna wizi wa kura, rushwa, kufuta wagombea wengine ( ambao hapa ni wa upinzani) na Polisi kupewa maelekezo yaliyo kinyume na Sheria.
Mungu wetu ni Mkuu sana. Sasa kunaanza kukucha.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.