Kuna kundi la wakristo wakisema waislam sio wapenda haki na kua wanatetea Samia, mara waseme tatiso ni elimu, hii yote ni kutokana na matamko ya BAKWATA, mkiendelea na utaratibu hii mtaifitinisha NO REFORMS NO ELECTION pakubwa sana.
Acheni kejeli kuniona nyie mmesoma na kuona wengine hawana...
Hii safari ya Boti kusafirishwa kutoka Mtwara hadi Mwanza naona inatangazwa sana mitandaoni
Cha ajabu sasa kwenye hiyo boti kuna bango limeandikwa UOKOZI ZIWA VICTORIA lakini kuna picha ya Samia na nembo ya CCM
Je hii ni kampeni dhidi ya CCM? Na Hii safari naona kama ina lengo la kuwatoa...
GT.
Katika Bunge lililovutia kuliko wakati wowote ule ni hilo la 2010/2015 Bunge lilikuwa la moto hatari hoja nzito znito zilikuwa zinatolewa.
CCM wakaona hayo yalikuwa ni makosa kuweka Wapinzani wengi bungeni Lakini kiukweli ndio bunge liliokonga nyoyo za watz wote na kuwaamusha hadi leo...
Jamaa ka-post video ya show zake watu wanatiririka na comments za NO REFORMS, NO ELECTIONS.
Viongozi wa dini kama kina Malasusa na wengineo wajiandae.
Tutaelewana tu.
Hii ndio Taarifa mpya ya Jioni sana iliyotufikia.
Mada ni ile ile wala hatuna haja ya kuirudia, Wananchi wote wamekubaliana na Hoja za Chadema kasoro Abood tu
Hali ndio kama unavyoona kwenye eneo la Kiwanja cha Ndege, Morogoro Mjini
Tone Tone nayo Yatikisa
Tuliapa Tangu Mapema sana kwamba, hakuna kijiji kitakachoachwa, na hoja yetu ni ile ile ya kuepusha mauaji kwa sababu za Uchaguzi, na kwamba bila Mabadiliko hakutakuwa na uchaguzi.
Ni heri wafanye watakavyo lakini uhai wa wananchi uwe salama.
Kampeni ya Chadema imekuwa Rahisi sana kwa sababu...
Hii ni kwa Mujibu wa Salum Mwalimu ambaye ni Katibu Mkuu wa Chama hicho, amedai kwamba kuonekana watu wachache kunatokana na wafuasi wao wengi kukaa pembeni ili kupisha vumbi la chopa ambayo ilitarajiwa kutua uwanjani hapo.
Ni bahati mbaya kwamba vibali vya chopa hiyo vimechelewa kutolewa...
What is Chopper? Ni kweli watu wa Mwanza watoke majumbani kwenda kuona chopper? Mmewaona ni wajinga kiasi Gani Hadi mrundikane kuwaringishia chopper? Watu wanataka sera na siyo taarabu na mipasho.
Mmepewa uwanja na halafu mnaishia kuongea mipasho tu. Wengine wazee wanaongea macho yamewatoka...
Kwamba wingi wa watu wanaohudhuria mikutano ya "No Reforms, No Elections" unaonyesha ukosefu wa imani katika mchakato wa uchaguzi, na hivyo kufanya uchaguzi ujao kuwa kazi bure bila mageuzi ya maana.
Hili linaweza kuashiria hisia za umma kwamba mifumo ya sasa ya uchaguzi haistahili kuaminika au...
Hii ndio Taarifa ya Jioni hii kutoka Tanga, ambako Baada ya Chadema kuingia ni kama Msiba wa Mzee Ally Kibao ulianza Upya, Kabla ya kuanza kwa Mkutano huo Ukimya wa dk 1 ulitawala ili kumkumbuka Mzee Ally Kibao aliyeuawa na watu Waliotumwa na Wakubwa, ukifuatiwa na dua za kumuombea.
Chadema...
Ushahidi Mwanana huu hapa
Wadau wakifuatilia Nondo na Spana zinazopigwa bila kujali mvua
Pichani ni Pedeshee Maranja Masese akiambiwa Waja leo waondoka mwakani
Huwezi kuamini kama hapa ndipo palipozalisha Mamluki Wengi waliojiita G55, lakini hali ndio kama mnavyoiona.
Kwa kifupi ni kwamba wale Mamluki Wamepuuzwa kabisa na watu wote zikiwemo hata familia zao.
Angalia mwenyewe Hapa ni Moshi Mjini
Ukilazimisha kutafsiri kienyeji kwamba maana yake ni Hakuna mabadiliko hakuna Uchaguzi unaweza kutiwa matatani kwa sababu kwenye Katiba hakuna kifungu cha kuzuia Uchaguzi
Kwahiyo No Reform No Election ni slogan ya kimombo tu ambayo kisiasa lazima itafsirike “ Uchaguzi hauwezekani bila...
Sasa ni dhahiri Wananchi wote hawataki Uchaguzi bila Reforms, na ndio maana wanaunga Mkono Kampeni hii ya Chadema.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea...
Huyu Hapa ni Dkt Slaa akifundisha wananchi somo la haki na Demokrasia.
Kwa Kauli moja wananchi wote wamekubaliana kwamba bila Reforms hakutakuwa na uchaguzi
Msanii mkongwe wa muziki wa 'HipHop' nchini Selemani Msindi Afande Sele amesema hivi karibuni amekutana na Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Jaji Francis Mutungi ambapo miongoni mwa mambo aliyomweleza ni mashaka yake ya uwepo wa namba ndogo ya wananchi inayoweza kujitokeza kupiga kura kutokana...
Binafsi naona hata Wana CCM wanataka sana reforms labda ni ujasiri tu wa kuziomba au kuzilazimisha.
Mfano tu mdogo. Mama Samia alikuwa Makamu wa Rais awamu ya tano. Kwa kudra za Mungu akawa Rais. Wengi walidhani anamalizia ile awamu yao ya tano waliyoianza na hayati Magufuli ghafla ikawa ni...
Ile Neema ya Mungu iliyoshushwa kwa ajili ya kuzuia Mauaji ya Watanzania yanayotokana na Uchaguzi usio huru wala haki, sasa inaingia Kanda ya Kaskazini.
Hii hapa ni Ratiba kamili
Kabla ya yote Baba Askofu Mwamakula akishirikiana na Mashehe wa Shinyanga(Siyo BAKWATA) akiomba Dua Kabambe ili kuondoa nuksi
Baada ya Kumtanguliza Mungu, Muumba wa Mbingu na Ardhi, kazi ya kufundisha Wananchi ikaanza
Kwa Kauli moja wananchi wamekubaliana na Hoja zote za Chadema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.