no refom no election

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Consigliere

    Waliokuwa wakilalamikia mifumo kandamizi, sasa ni sehemu ya mifumo hiyo wakiwashangaa wanaolalamika

    Wale waliolalamikia mifumo mibovu ya wizi, uchafuzi, uhujumu na kukandamiza wengine hawakuwa na nia ya mabadiliko, lengo lao ilikuwa ni wawe sehemu ya watakao kula keki. Walipoona ugumu wa kupigania watakacho, wakajiunga na upande kandamizi, sasa ni sehemu ya wakandamizaji wakiendeleza uchafuzi...
  2. sammosses

    GE2025 Nchi inahitaji reforms kubwa kuliko kutiki tu Oktoba 2025, tutafakari kwa kina

    Toka kuasisiwa kwa kauli mbiu ya No reforms no election(NRNE) iliyopitishwa na kuazimiwa na mkutano mkuu wa CHADEMA huenda ikawa ndiyo operation iliyopokelewa kwa kishindo katika operations zote zilizowahi kupokelewa na jamii ya Watanzania. Mapokeo yake yamejadiliwa kwa impact hasi/chanya...
  3. Prof_Adventure_guide

    GE2025 ACT Wanatuambia Linda kura! Na sisi tunasema Linda Kura’ Bila Reforms ni Utapeli wa Kisiasa na Usaliti kwa Demokrasia ya Taifa Letu

    Katika wakati ambapo wananchi walioamka wanapaza sauti kwa umoja na msimamo thabiti wakisema NO REFORMS NO ELECTION – yaani bila mabadiliko ya kweli ya mfumo wa uchaguzi hakuna sababu ya kushiriki uchaguzi wa maigizo – chama cha ACT-Wazalendo kinakuja na kauli isiyokubalika ya "Linda kura"...
  4. Erythrocyte

    PreGE2025 No Reforms No Election yatawala kwa Mkapa kwenye mechi ya Derby, Mashabiki waripuka kwa Shangwe

    Hii ndio Taarifa mpya na ya sasa ambayo tungependa uitambue Unaambiwa baada ya Bendera hiyo kupeperushwa Uwanja wote ulilipuka kwa shangwe na makelele ya No Reforms No Election, Kiasi cha kuwachanganya Waamuzi wa Kigeni waliokuja kuchezesha mchezo huo. Nachukua nafasi hii kuwapongeza vijana...
  5. Carlos The Jackal

    PreGE2025 CHADEMA inapambania Mfumo mpya wa UCHAGUZI ambao Vijana wenye Akili na Wazalendo, watashinda na kutangazwa hata kama hawana PESA

    Kwa hali ilivyo, Vijana Wasomi ,Wazalendo, Wenye Maono na Uthubutu, ni ngumu sana kwao kua Viongozi kupitia Sanduku la Kura !!. Ndio sababu unaona Hata hao viti Maalum wanasuguliwa sana Mbunye, yaan ili ateuliwe viti maalumu analazimika Kuchanua mapaja. Kijana wa Kitanzania Masikini, ni ngumu...
  6. Manyanza

    Historia fupi ya maisha ya shule ya Tundu Lissu

    Tundu Lissu alizaliwa tarehe 20 Januari 1968 na alisoma shule ya msingi Mahambe, Singida. Katika miaka yake yote saba shuleni hapo, Lissu hakukubali hata mara moja kuamka alfajiri saa 11 kuwahi namba na daima aligomea kulima mashamba ya walimu, kuwachotea maji na kazi za namna hiyo kwani kwake...
  7. DuaZaMama

    AMIR: Rais Samia ametekeleza Katavi. Oktoba tunatiki'

    wakuu Ni kama October Tunatiki imeanza kupenya na No Reforms No election inasahaulika ===== Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Katavi Ndg. Amir Said Katalambula amewasihi Wananchi wa Mkoa wa Katavi kupiga kura za kishindo Kwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 kutokana na...
  8. Dr Adam Francis

    PreGE2025 Mkitaka reforms mkapige kura

    Katika siasa, kaulimbiu na propaganda ndizo karata zinazounogesha mchezo wa uchaguzi. Kila mshindani wako anapochanga karata zake, timu yako lazime ichange karata zako. Hiki ndicho kilichotokea kuelekea October 2025. Wakati CHADEMA wanaendelea na campaign ya No reform no election, CCM wamekuja...
  9. Tawfiq 77

    Nguvu ya CHADEMA kwa wananchi ni kubwa mno zaidi ya viongozi wanavyofahamu

    Baada ya hii mikutano ya No reforms No election inayoendelea nchi nzima nilichogundua uungwaji mkono kwa CHADEMA ni mkubwa mno zaidi ya uongozi unavyolichukulia.. Kwa maoni yangu kama chama kitajiwekea mikakati madhubuti ya ukweli na uwazi hiki chama kina uwezo wa kujiendesha bila pesa ya...
  10. Erythrocyte

    PreGE2025 Tabora: No Reforms No Election yafunga kazi, Wananchi wote wahudhuria, Wasema bila Reforms hakuna Uchaguzi

    Hii ndio Taarifa mpya iliyotufikia jioni hii. Kwamba Baada ya Tangazo la Shetani la kuzuia Shughuli za Chadema kwa Wiki 2, Watu wengi mno wakaamua Kujazana Tabora Mjini. Unalopaswa kujua ni hili miongoni mwa Waasisi wa kesi ya kuzuia shughuli za Chadema yumo anayeitwa Salum Mwalimu, Ambaye...
  11. DuaZaMama

    CHADEMA: Haki haiombwi, haki inapiganiwa

    No Tundu Lisu No problem makamu mwenyekiti wa Chama Cha demokrasia na maendeleo John Heche, anaendelea kuonesha kuwa yeye sio makamu kivuli wa Chama ni mtu wa mabadiliko. Wakuu Manaenda naye?
  12. Erythrocyte

    PreGE2025 Nzega: No Reforms No Election yavunja Rekodi ya Mahudhurio

    Hivi ndivyo ilivyokuwa Mchana wa Leo Wananchi wote wa Nzega wamekubaliana na Hoja zote za Chadema na Wameapa kwamba bila Reforns hakutakuwa na Uchaguzi
  13. Erythrocyte

    PreGE2025 Singida: Wananchi Wakubaliana na hoja zote za Chadema, wasema Uchaguzi hautakuwepo

    Pichani ni Wananchi wa Singida Mjini wakishangilia Spana za Chadema zilizojaa Ushahidi kuhusu Wizi wa kura Hii ni baada ya Elimu kabambe kutoka kwa Baba Askofu Mwamakula Baadaye John Heche akaingia ulingoni Kama hali ni hii ni nani atashiriki uchaguzi?
  14. Joshua Mbezi

    Je No reforms No election ni kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania au ni kwa ajili ya Tanzania Bara?

    Sasa hivi kila Kona ya nchi wimbo ni No reforms No election nimekaa nikawaza yakatokea maswali haya hapa 1;Je No reforms No election ni kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania au ni kwa ajili ya Tanzania Bara? 2; Kwa mujibu wa Tume huru ya Uchaguzi Chadema imekosa sifa ya kushiriki uchaguzi je...
  15. peno hasegawa

    No Reform, No Election: Athari za Kunyimwa Misaada na Mikopo kwa Tanzania

    Katika muktadha wa kisiasa wa Tanzania, msemo "No Reform, No Election" unajitokeza kama kielelezo cha hali ya sasa ya nchi. Kukosekana kwa mageuzi ya kisiasa na uchaguzi wa haki kunaweza kuwa na madhara makubwa, ikiwa ni pamoja na kunyimwa misaada na mikopo kutoka kwa jamii ya kimataifa. Hali...
  16. M

    Mpaka sasa No Reforms No Elections 10 tunatiki 0

    Mtanange bado unaendelea katika mitandao ya kijamii pamoja na kwamba tunatiki oktoba wamepewa bando la bure kuhakikisha wanashindana na wananchi wanaotumia bando lao wenyewe wa No reforms No Elections ubao unasoma tunatiki wamekufa kwa bao 10 kwa 0 Pamoja na serikali nzima kuamia kuhakikisha...
  17. Carlos The Jackal

    PreGE2025 Niwaonye CCM, msitume UVCCM kwenye mikutano ya CHADEMA kupiga kelele za 'Oktoba Tunatiki'

    Kuwapa Vijana wa CCM Hela, na kuwatuma kufanya Uhuni kwenye mikutano ya CHADEMA ni kosa linalohatarisha Uhai wa Watu !!. NAWAONYA, muache tabia hiyo mara Moja.!!. Mikutano ya CHADEMA ni mikutano ilojaa Wananchi wenye Hisia za majonzi, Mateso na maumivu, Kwa kutekewa Watu wao, kuuliwa watu...
  18. Dr Adam Francis

    PreGE2025 CCM: No reform, No election, ni matokeo ya matendo yetu, Tujisahihishe!

    Mwaka 1962, Mwalimu Nyerere aliandika kitabu kidogo cha kurasa 20 kinaitwa TUJISAHIHISHE. Kwa maoni yangu wana CCM ni vema tukajikumbusha maudhui yake ili tulisaidie taifa. Katika kitabu hiki Mwalimu Nyerere anasema "Ukiondoa matatizo wayapatayo binadamu kwa sababu ya mambo kama mafuriko...
  19. Tindo

    Kelele ya No Reform no Election inatakiwa iwe kubwa zaidi, tuanze kuprint vipande vidogovidogo vya karatasi na kuvisambaza nchi nzima

    Inatakiwa hii kelele ya NRNE iwe kubwa zaidi ya hii. Na inatakiwa tuanza kuprint karatasi nyingi za NRNE na kuanza kusambazwa mitaani, masokoni, mashuleni, kwenye nyumba za ibada, kwenye kumbi za starehe, na kwenye balozi za kimataifa nk. Inatakiwa iwe ni kelele itakayoenea nchi nzima kila mtu...
Back
Top Bottom