uvugizi
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,351
- 1,099
Siku Moja katika nchi ya kusadikika kulikuwa na Kundi la kondoo na chui .
Makundi haya mawili yalikuwa yanataka UONGOZI wa mji wa kusadikika . Kundi la Chui lilikuwa linaelekea kushindwa kihoja. Kondoo waliona wajiongoze wenyewe bila kushirikiana na chui.
Chui alikuja na Hoja , akisema naomba mnichague . Mkinichagua tu Mimi sitakula nyama nitakuwa nakula majani tu kama Ninyi
Kondoo wakafurahi Sana na wakamuamini chui na kumchagua .
Kilichofuata ni Kila siku kondoo wanajiona wanapungua na kudhoofu !
Secret code !
Makundi haya mawili yalikuwa yanataka UONGOZI wa mji wa kusadikika . Kundi la Chui lilikuwa linaelekea kushindwa kihoja. Kondoo waliona wajiongoze wenyewe bila kushirikiana na chui.
Chui alikuja na Hoja , akisema naomba mnichague . Mkinichagua tu Mimi sitakula nyama nitakuwa nakula majani tu kama Ninyi
Kondoo wakafurahi Sana na wakamuamini chui na kumchagua .
Kilichofuata ni Kila siku kondoo wanajiona wanapungua na kudhoofu !
Secret code !