NO REFORMS NO ELECTION Si Siasa, Ni Falsafa ya Uasi Halali – Hii Ndio Siri Watawala Hawataki Uijue!"
Na
Maleko GJ
Watanzania wanaamka. Kauli ya ‘No Reforms No Election’ ya CHADEMA siyo malalamiko ya kisiasa bali ni kilio cha kizazi kinachotaka haki, usawa na uwajibikaji. Lakini je, kauli hii...
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba pamoja na Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu kukamatwa na Polisi wanaotumikishwa, Ratiba ya Mikutano ya Chama hicho Kanda ya Kusini itaendelea kama ilivyopangwa.
Kwahiyo kama walidhani kukamata Lissu ndio mwisho wa Neema hii basi wamechemsha
Shetani Hajawahi...
Mwenyekiti wa BAWACHA Kanda ya Nyasa, amesema kuwa kampeni ya No Reform No Election ni kauli iliyokuwepo tangu siku nyingi hata kabla ya Mwenyekiti Lissu kuingia madarakani, na amelitaka kundi la G55 kujitafakari kwani kwenda kinyume na Chama ni kukosa nidhamu
Katibu wa BAWACHA Mkoa wa Songwe Pendo Willium ameungana na Mkoa juu ya kauli mbiu ya "No Reforms No Election" katika kuhakikisha uchaguzi mkuu Octoba 2025 haufanyiki, kwani chaguzi mbalimbali zilizopita zimewaumiza hasa kwa vyama vya upinzani, ambapo vimeshindwa kupata haki yao ya msingi...
Sababu nyingine kwanini no reforms, no election
Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 mimi nilikuwa mratibu kampeni (campaign manager) kampeni za mgombea ubunge (CHADEMA) Bunda Mjini, Esther Amos Bulaya.
Mambo ya hovyo sana yalitokea katika uchaguzi ule na yanakera. Mfumo wa wetu wa uchaguzi bado ni...
Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Kati, Ashura Masoud, amewataka wanachama wa CHADEMA wenye maumivu ya uchaguzi kujenga mshikamano badala ya kujitenga au kupinga msimamo wa chama, akibainisha kuwa hatua ya kujitenga ni sawa na kuunga mkono Chama cha Mapinduzi (CCM)...
Nimeona nitoe maoni yangu kuhusu hii fukuza fukuza iliyoanza huko CHADEMA chini ya Tundu Lissu. Ni jambo limeshangaza wengi kwa chama cha demokrasia kukataa maoni tofauti na kutotaka kabisa mjadala kuhusu maamuzi yaliyofanyika.
Kwa upande wangu naona Lissu na genge lake la kamati kuu wako...
Wataalamu wa mambo wanasema unapokutana na shetani wawili mbele yako chagua shetani mwenye nafuu, kwa kizungu "choose the lesser evil".
Kama CHADEMA ingekubali kushiriki uchaguzi ingeenda kukumbana na mpasuko mkubwa zaidi. Watu hawajui hili baada ya Lissu kushinda uenyekiti wa CHADEMA...
Arusha
Mara
Mwanza
Shinyanga
Mbeya
Iringa
Dar es salaam
Tabora
Tanga
Bila Mabadiliko Mfumo wa Uchaguzi , Hii Mikoa ikishakinukisha tu, itasambaza matokeo yake Kwa Mikoa mingine.
Miezi hii Mitatu ijayo kuanzia Huu wa 4-7 kazi kubwa ifanyike kwelikweli .
No election no reform ni idea haitekelezeki. Je Lissu halijui hili, Je ameshindwa kutumia kutumia busara kuondoa huu mtanziko.
Hivi lissu kiakili za uongozi anazo kweli, akisusia uchaguzi atapata nini?
Ukimsikiliza Mrema ana hoja utazuiaje uchaguzi wakati Huna hiya mass. Watanzania wenyewe...
Wakuu,
Mambo yanazidi kunoga huko, mtifuano juu ya mtifuano😂😂.
Leo kwenye press ya CCM B a.k.a G55 Mrema alisema kaulimbiu ya No Reforms ilianza toka 2020 lakini haikuwa na kipengele cha No Election. Akisema haya ni mambo ya dikteta Lissu anayewanyima na kuwatishia uhuru wao wa kujieleza...
Mbunge huyo ambaye hakufahamika Jina lake, Anatajwa kuwa ni miongoni mwa Wabunge wa CCM waliopita bila kupingwa kwenye ulioitwa Uchaguzi Mkuu wa 2020.
Mbunge huyo anayetajwa kama Kigogo wa Serikali, leo Amepewa za Uso nyumbani kwake kutokana na namna Wagombea wa Upinzani walivyoteswa kwenye...
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema John Heche amekosoa namna ambavyo serikali imekuwa ikitoa tenda mbalimbali kwa Raia wa nje ya nchi na kuwaacha watanzania bila ajira, akikosoa pia usafirishaji mkubwa wa malighafi kilimo ikiwemo Korosho zinazosafirishwa kwenda nje ya...
Wanabodi,
Hata kusipofanyika reforms, uchaguzi wa 2025 CHADEMA ina bonge la fursa!, ila masikini Chadema, they are just too blind to see!, hawajitambui! No election ni utopia!, acheni kucheza makida makida, na kuchezea shilingi chooni!, please wake up my friend!.
Haya ninayoyaandika hapa...
" Miaka kumi na mbili iliyopita Lindi hii na Mtwara waliambiwa mnaletewa utajiri wa gesi, Miaka kumi na mbili iliyopita walichukuliwa Masheikh hapa, Viongozi wa dini na Maaskofu, wakati ule mimi nilikuwa sijaenda Bungeni.
Wakapelekwa Norway, wakapelekwa Malaysia, wakapelekwa na nchi nyingine...
Hii ndio point aliyofikia Liisu na Heche na pia anafanya jitihada kuwaandaa kisaikolojia wanachama na wafuasi wa CHADEMA nchi nzima juu ya hatari inayowakabili katkika kufanikisha agenda ya "no reforms, no election."
Liissu anafahama kabisa ili kuiondoa CCM madarakani, ni lazima wawe tayari...
Kuna watu wanajiuliza kwanini CHADEMA wanataka kuzuia uchaguzi wakati hawataki kushiriki huo uchaguzi?
Wanajiuliza: Kwanini wasikae pembeni tu wakawaacha wafanye huo uchaguzi?
Jibu:Kitendo tu cha kufanya uchaguzi, maana yake ni kuipa CCM uhalali wa kurudi madarakani na kuunda serikali...
Kuna DHULUMA kubwa sana CCM wamewatendea wananchi.
Msikilizeni alichokisema huyu Shekhe wa Kilwa Kivinje ktk mkutano wa Chadema.
Kwa kweli Reforms,haswa katika masuala ya uchaguzi, haziepukiki.
https://www.youtube.com/watch?v=KT79ZLXBHi4
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.