Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Shida zako zilikuwa za familia, ukoo na jamii nzima.
Furaha yako, ilikuwa ya familia, ukoo na jamii nzima.
Mtoto wako alikuwa wa familia, ukoo na jamii nzima.
Maadili yako yalikuwa ya familia, ukoo na jamii nzima.
Huko ndiko tulipotoka, tumefika hapa ndiko...