Je wewe ni mwajiriwa lakini mshahara unaoupata hautoshelezi kuyaendesha maisha yako?
Je umekuwa kwenye ajira kwa miaka mingi, lakini kikubwa ulicho nacho ni madeni na mishahara haikutani?
Je mwajiri wako amekuwa hakuongezi mshahara licha ya gharama za maisha kupanda?
Na je ungependa kuwa na...
Baada ya pesa za sherehe za Muungano kutumika kuitanua barabara hiyo toka njia 3 hadi 5, kuna ujenzi mwingime wa kimiujiza sana naona umetokea hapo.
Baada ya mabilioni ya kutosha kumwagwa hapo kuitanua barabara hiyo, sasa njia za magari zimepungua toka njia 5 hadi 4, muujiza gani huu...
Tulionya Mapema sana kwamba Shetani hajawahi kumshinda Mungu katika lolote , na nadhani hata nyinyi wenyewe ni mashahidi, wote waliojipa uungu Mtu na kujimwambafai wanazidi kupukutika huku wengine wakiwa njiani.
Video hii inaonyesha umati wa watu wa Bukoba wakishangilia baada ya aliyekuwa...
Natanguliza salamu ya Amani na upendo wangu kwenu wote pia nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Baadhi ya viongozi wamekuwa wakisema vijana waliosoma wachangamkie fursa za kujiajiri kwa kulima ,kufuga kuku,kuuza machungwa na biashara nyinginezo ili waweze kujiajiri na...
Dar es Salaam. Rais wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete amesema gavana wa zamani wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Benno Ndulu ndiye aliyetoa fursa kwa mitandao ya simu kuanza kutoa huduma za kifedha hapa nchini.
Kikwete aliyasema hayo Aprili 22 nchini Marekani wakati wa majadiliano maalumu...
Gazeti la Financial Times la Uingereza limetoa makala likilitilia mashaka Pendekezo la “Ukanda Mmoja, Njia Moja” BRI na kusema uwekezaji wa China katika sekta ya miundombinu barani Afrika “unakaribia kukauka”. Makala hiyo pia imemnukuu afisa mmoja wa Afrika Kusini akisema nchi za Afrika...
Heri ya sikukuu ya Muungano,
Nimewaza namna ya kila mwananchi kulipa kodi bila shurti.
Yani ni hivi.Ondoa cash mitaani then kila mwananchi alipie bidhaa kwa mitandao ya simu ( M pesa,halopesa,Tigo pesa,aitel money, ttcl pesa,nk) na mitandao ya bank ( simbaking).
I tell this is the only...
Kwa kipindi cha miaka mitano asilimia kubwa ya watanzania katika ngazi mbalimbali yaani kuanzia ngazi ya wafanyakazi wa sekta binafsi , wamiliki wa sekta binafsi, wafanyabiashara, watumishi wa umma, wajasiriamali mpaka wanafunzi wa vyuo vya Juu makundi yote haya ilikuwa kila kukicha kauli kubwa...
UKIWEZA TOFAUTISHA HAYA BASI UMEKOMAA NA UTAKUWA UMEFANIKIWA
Kwa Mkono wa, Robert Heriel
1. UHAI Vs Uzima
Uhai independent Variable
Uzima ni dependent Variable
Unaweza ukawa hai lakini usiwe Mzima
Lakini huwezi kuwa Mzima bila uhai.
Uhai unahusu kuishi kwa ujumla, uzima ni mahususi kwa kuwa...
Katika kuongeza thamani ya zao la Korosho na ufuta hapa nchini serikali imesema katika msimu ujao wa uuzaji wa mazao hayo minada yake itafanyika kwa njia ya kieletroniki ambayo itaaanza mapema kabla ya minada kuanza.
Naibu Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe ameyasema hayo bungeni jijini Dodoma...
Nawasalimu nyote kwa amani..
Wataalam wa afya nna swali kidogo kwenu, hivii hakuna njia nyingine tofauti ya kumpima mama mjamzito njia mpaka kumuingiza vidole/mkono..!??
Ni hilo tuu maana nimetoka kumuona shosti yuko hatua za mwisho mwisho kujifungua yuko hooi ananiambia kupima njia kusikie...
Njia hizi zitakurahisishia usafi jikoni na kuweka jiko lako safi bila bacteria
1. Tumia chumvi na ndim kusafisha ubao wa mbao wa kukatia vitu jikoni. Mwagia chumvi kwenye ubao halafu sugua na ndimu.
2. Safisha tray zako za kuchoma kwenye oven kwa kuchanganya nusu kikombe maji na nusu kikombe...
Hivi ni nani anaweza kutueleza tulitoka wapi? Tupo wapi na tunakwenda wapi?
- Sababu mpaka sasa nimeshindwa kutambua ni nini kinaendelea na ni nini kilitokea. Nani yupo sahihi na nani hayupo sahihi?
Fumbo ili litapata majibu pale wausika wote watakapo fikishwa katika vyombo vya dola, utetezi...
Habiri wana jamii
Je ni ipi njia nzuri ya kukufanya stoko dukani na njia rahisi maana kuna njia moja ninayo tumia ya kutumia daftari kilicho toka na kilicho ingia na kubaki imenishinda mimi kama mfanyakazi.
Habari za leo wakuu,
Naomba leo tujadiri mambo ya msingi sana, mambo ya biashara.
Ni njia zipi mnazotumia kutuma mizigo ya biashara kutoka China kuja hapa Tanzania.
Mfano mzigo wa nguo, simu au mzigo mwingine wowote wa baishara mnatumia njia zipi kutuma.
Njia ambazo ni haraka, za bei rahisi...
Tatizo la kukosa mtaji limekuwa kubwa mno, watu wengi wanandoto za kufanya biashara ili kujikwamua kiuchumi, kila mtu anatamani walau afanye kitu kwaajili ya kupata rizki ila wanashindwa namna ya kuanza kufanya yote kwasababu ya kukosa fedha.
Hizi apa njia kazaa ambazo unaweza tumia ili kupata...
Vijana wengi tumekuwa wavivu na waoga hasa linapokuja suala lautafutaji watu wengi wanaamini kufanikiwa kupitia njia za ndugu zao au walizotumia jamaa zao
Kuna kitu nataka nikushauri kijana mwenzangu japo kwa uchache tu.
Binadamu tumeletwa duniani ili tuishi na tufurahie maisha lakini huwezi...
Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani ameeleza kuridhishwa kwake na kazi ya ujenzi wa miundombinu ya kusafirisha Umeme wa msongo wa kV 33 inayojengwa kuelekea eneo litakalotumika kuzalisha Umeme kwa kutumia maporomoko ya maji ya Mto Rufiji (Stiegler’s Gorge).
Dkt. Kalemani aliyasema hayo...
Je, imetokea kwa bahati mbaya umetegeka na mwanafunzi na ukamwaga ndani? Au umemwagia dada ambae unahisi huwezi kuzaa nae au hauko tayari, vivyo hivyo kwa mwanamke umetembea na mwanaume usingependa uzae nae au hauko tayari kuzaa nae.
Embu tusubiri wataalamu watupe majibu, mwenyewe sijui.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.