nje

Nje (Њ њ; italics: Њ њ) is a letter of the Cyrillic script.
It is a ligature of the Cyrillic letters En ⟨н⟩ and Soft Sign ⟨ь⟩. It was invented by Vuk Stefanović Karadžić for use in his 1818 dictionary, replacing the earlier digraph ⟨нь⟩. It corresponds to the digraph ⟨nj⟩ in Gaj's Latin alphabet for Serbo-Croatian.It is today used in Macedonian, variants of Serbo-Croatian when written in Cyrillic (Bosnian, Montenegrin, and Serbian), Itelmen and Udege, where it represents a palatal nasal /ɲ/, similar to the ⟨ny⟩ in "canyon" (cf. Polish ⟨ń⟩, Czech and Slovak ⟨ň⟩, Galician and Spanish ⟨ñ⟩, Occitan, Portuguese and Vietnamese ⟨nh⟩, Catalan and Hungarian ⟨ny⟩, and Italian and French ⟨gn⟩).

View More On Wikipedia.org
  1. Kamanda Asiyechoka

    JamiiForums Tanzania Kwanini rais Samia havai barakoa akiwa nje ya nchi? Lakini akiwa ndani ya nchi anavaa?

    Nimemshuhudia akiwa huko Glasgow, Scotland na mwenyekiti wa mabenki ya standard chartered Lakini akiwa Tanzania anavaa kama kawaida
  2. M

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Safari za Rais Samia nje ya nchi ziwe za kimkakati zaidi kuhusu masuala ya Utalii

    Awali ya yote Mimi ni mojawapo ya Kijana ambaye nafarijika kuona Mhe.Rais wetu akisafiri nje za Nchi na kufungua Fursa za mambo mengi ikiwemo kuitangaza, Nchi yetu kimataifa pamoja na kuvutia wawekezaji wengi kuja Tanzania pia. Lakini Kuna kitu nakiona kama hakipo sawa,kwenye suala la Utalii...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Jinsi MBS anavyoipaisha Saudia kiuchumi nje ya Mafuta

    Inakuwaje wanajamvi! Bwana mdogo Mohammed Bin Salman mwana wa mfalme wa Saudi sasa hivi anaipaisha nchi yake kiuchumi nje ya Mafuta kwa kasi ya ajabu na hatarii haijawahi kuonekana. . Viwanda vinachipuka kama uyoga. Wa saudia sasa hivi bidhaa nyingi hawanunui au kuagiza kutoka nje zinazalishwa...
  4. sky soldier

    JamiiForums Tanzania Tujadiliane kuhusu mitihani ya "Sat" ambayo kwa muda mrefu imekuwa siri ya wachache

    Nilikuwa nataka kufatilia zaidi ila huyo mtu aliekuwa anajua hizi ishu na kufanikiwa kuvusha ng'ambo ndugu zake kadhaa aligeuka kunikatisha tamaa wazi wazi, ndipo nilipojua hii kitu wachache waaifanya iwe siri ili watu wao wa karibu pekee ndio wasome nje kirahisi kwa kuhofia ushindani wakijua...
  5. my name is my name

    JamiiForums Tanzania Mwanaume gani hujawai hata kutoka nje ya nchi?

    Unakuta mwanaume hana hata passport. Hajawai jata kutoka nje ya nchi hata Kenya tu awajawai kufika. Mwanaume hana exposure. Hivi mwanaume unakosaje passport? Mwanaume unakosaje kutoka nje ya nchi jamai?. Wanaume wa hivi wanakuaga wapo wapo tu hawajui hata dunia inavyokwenda. Wanakuaga na...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Balile: Magufuli katutenda, deni la nje lafikia shilingi Trillion 78

    Magufuli katutenda deni la taifa, trilioni 78 Samia msalabani Jamhuri October 26, 2021 Na Deodatus Balile Kazi hii ya uandishi wa habari moja ya majukumu yake ni kuanika ukweli minong’ono inapotawala katika jamii. Kwa sasa kuna minong’ono mingi. Minong’ono imeanza baada ya Rais Samia Suluhu...
  7. peno hasegawa

    JamiiForums Tanzania Handeni: Walimu wanaoga vichakani kwa kukosa bafu

    Walimu wanaofundisha Shule ya Msingi Gole iliyopo Kata ya Kang’ata wilayani Handeni mkoani Tanga, wameiomba Serikali kuwasaidia ujenzi wa vyoo vya walimu kwa kuwa wanajisaidia na kuoga kwenye vichaka kwa kukosa vyoo bora. Wakizungumza shuleni hapo juzi walisema kuna muda inabidi waingie...
  8. Zanzibar-ASP

    JamiiForums Tanzania Unawezaje kumtoa machinga katikati ya mji halafu akakae nje ya mji?

    Nimekuwa nikifuatilia sakata la kuondolewa wamachinga katikati ya miji ili kuwapeleka maeneo maalum pembezoni ya mji. Ni hadithi inayonifanya kucheka sana kila nikiisikia. Kwanza ni jambo lisilowezekana kwa 90% na pili ni hadithi inayojirudia mara kwa mara. Serikali inaweza kuwaondoa wamachinga...
  9. Zanzibar-ASP

    JamiiForums Tanzania Zifahamu sera za kudumu za CHADEMA za mambo ya nchi za nje zinazowagusa Diaspora

    Kwa uchache hapa nitaweka baadhi ya sera za kudumu za CHADEMA ambazo zinawagusa Diaspora moja kwa moja. Sera hizi zimekuwepo wakati wote toka CHADEMA ishike kasi hapa Tanzania na zilikuwa sehemu ya ilani ya CHADEMA kwenye uchaguzi wa 2005, 2010, 2015 na 2020. 1. URAIA PACHA Chadema itaruhusu...
  10. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Tukitumia maexpert kutoka nje inaweza kusaidia kuendesha mashirika kama TAZARA?

    Zamani kuna historia kuwa Mobutu alipoona uchumi unaenda hovyo akaajili mbobezi kutoka Ulaya kuwa gavana wa benki kuu. Jamaa akaja na mipango mizuri sana ya kuokoa uchumi. lakini alikuta vikwazo kibao, Mobutu alikuwa anaifanya benki kuu kama kibubu chake. Wakashindwana jamaa akasepa. Mkapa...
  11. sinza pazuri

    JamiiForums Tanzania Hanstone atatoboa nje ya WCB?

    Kwanza lazima tukubaliane huyu dogo ana kipaji kikubwa sana. Ndio maana wengi walikuwa wanasubiri ujio wake akiwa chini ya WCB. Na ilitegemewa ujio wake ungekuwa na kishindo. Lakini bahati mbaya amezinguana na uongozi wa Wasafi na baada ya hapo akaachia ep yake ya Amazing. EP yake japo...
  12. K

    JamiiForums Tanzania Rais Samia amteue Tundu Lissu kuwa Waziri wa mambo ya nje & ushirikiano wa kimataifa

    Hii nafasi naona itamfwaa sana huyu baba maana kila sifa anayo Kuanzia uwezo wa kuzungumza vizuri lugha ya wazungu,ufahamu mzuri wa sheria za kimataifa,kuielewa dunia,kufahamiana na wakubwa & ujasiri wa kukabiliana na mtawala katili kuliko wote kwenye historian ya Tz
  13. CM 1774858

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Suluhu aongeza bajeti kwa asilimia 230 Ujenzi wa JN-HPP

    Ujenzi wa bwawa la JN-HPP pamoja na Usambazaji wa umeme vijijini Rais Samia ameongeza bajeti kwa 230% kutoka TZS 1.01T FY2020|21 hadi TZS 2.34T FY2021|22, === Tufahamu lengo la Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan ni ifikapo mwaka 2026 Tanzania iwe na umeme wa Uhakika unaofikia...
  14. Teleskopu

    JamiiForums Tanzania Karibu kwenye elimu nje ya darasa

    Kusema kweli kabisa, yapo mengi SANA ya kujifunza baada ya kuwa tumemaliza elimu ya kufanyia mitihani na kupatia vyeti. Hata kama utasoma ukurasa mmoja kwa wiki, Hakuna tatizo. Lakini iko faida kubwa kuliko kutosoma kabisa. Kwa miaka karibia 40 sasa, tumeambiwa: Ukimwi unasababishwa na HIV...
  15. Teleskopu

    JamiiForums Tanzania Elimu nje ya darasa mbali na walimu

    Ni jambo jema sana kujisomea. Kipengele muhimu sana cha elimu Ni kujisomea baada ya kumaliza shule Nje ya darasa Mbali na walimu Bila kutarajia cheti Bali kwa 'interest' tu Sawasawa na apendavyo mtu. Kuna wanaopenda hadithi Kuna wanaopenda biashara Kuna wanaopenda teknolijia Kuna wanaopenda...
  16. K

    JamiiForums Tanzania Kwa albam hii, Ali Kiba ndio king kweli wa bongo fleva

    Wakuu Alikiba hapewi sifa anazostahili. Kibongobongo mpaka sasa hana mpinzani maana wengine wote wanacopy & paste. Albam zao huboa sana kwani hukusanya nyimbo zao tu zilizotolewa huko nyuma na kusema ni album. Alikiba only king ameitendea haki bongo fleva. Tunapata ladha ya mziki wa Tanzania...
  17. sinza pazuri

    JamiiForums Tanzania Hanstone aachia EP nje ya WCB.....aacha maswali mengi

    Wakati watu wanasubiria msanii anaefatia kutambulishwa WCB ni Hanstone yule wa kwenye Iokote. Muda sio mrefu ameachia EP yake bila kuwa chini ya management ya WCB Wasafi. Maswali yamekuwa ni mengi sana. Je ameshindwa kuvumilia msoto wa benchi kama mwenzie Zuchu? Au WCB walichoka matukio yake...
  18. Superbug

    JamiiForums Tanzania Naomba serikali ituruhusu tulime bangi Ila tuuze nje na kuwe na udhibiti

    Naiomba serikali ituruhusu tulime bangi Ila tuuze nje Mimi ni mkulima wa mahindi na mpunga Nina jumla ya hekta 290 Ila za mahindi ni 150. Kilimo cha mahindi kimenitia hasara Sana na kwa mwaka huu mbolea imepanda mno mfuko wa kilo 50 unauzwa laki na ishirini nahisi naenda kufilisika. Ila...
  19. C

    JamiiForums Tanzania Wachezaji wa Simba wajilinde nje ya uwanja soon wanakodisha vibaka kuwadhuru

    Ujumbe uwafikie nyie wachezaji wetu kuweni makini sana watu wameumia miaka 4 wkajiaminisha kwamba baada ya usajili wa lopolopo anayeogopa jua kwamba wanaenda nusu fanali ya CAF maana wanaamini ndiye aliyekuwa anaifikisha simba mbali huko CAf. Hizi milioni 15 ni rasharasha tu na rafu zile...
  20. R

    JamiiForums Tanzania Albert Einstein: His boundless curiosity, creativity and imagination are beyond the realm of science to include the world and humanity more generally

    Father of modern physics. Nobel Prize winner. Moustache-touting deep thinker. Albert Einstein was many things. The German-born theoretical physicist is probably the world’s most recognised scientist. His formula expressing the relationship between mass and energy – E = mc2 – is well-known, if...
Back
Top Bottom