Rebranding Tanzania! Ikulu Mawasiliano, Je mnajua ziara ya jana ya Rais Samia nchini Msumbiji ilikuwa moja ya Fursa ya kui-brand Tanzania Nje?

Lord denning

JF-Expert Member
Jun 3, 2015
13,226
26,048
Mwezi Novemba 2003, Baada ya vita kufukuta nchini Iraq, Rais wa Marekani alifanya ziara ya kushtukiza kwenye eneo la vita Yaani nchini Iraq

Kwa Wamarekani ile ilikuwa sehemu ya fursa ya kuitangazia Dunia kuwa ni kwa Jinsi gani wana uwezo wa kijeshi na kiulinzi wa kumsafirisha Rais wao hadi eneo la vita na akarudi salama hadi Marekani.

Jambo lile liliipa sifa Marekani ulimwenguni, wana habari wa Rais walikuja kutoa taarifa ile Rais Bush akiwa njiani kurudi Marekani na walionesha kwa Jinsi gani mbinu mbalimbali za kiulinzi zilitumika kurusha ile ndege hadi Iraq

Huku Tanzania jana Rais Samia kafanya ziara naweza sema ya ghafla nchini Msumbiji tena katika moja ya eneo korofi nchini mle yani jimbo la Pemba. Ziara hii haikutangazwa Kwa sababu wengi tumeshuhudia Rais akiwa anapokelewa nchini Msumbiji. Hii ilikuwa fursa katika mkakati wa Rebranding Tanzania.

Kama nchi ya Afrika inayojiinua na kutaka kuonekana duniani lazima tuioneshe dunia kuwa tuna uwezo mkubwa wa kiulinzi hadi kuweza kumsafirisha kiongozi wetu hadi eneo la vita.

Lile tukio lingeandaliwa hata makala kuonesha kwa Jinsi gani Rais alisafirishwa na hata mngeweza kuandaa kikao kifupi cha Mhe Rais na wanajeshi wetu walioko kule akizungumza nao. Tena hata yeye mngempiga kombati

Mnaweza dhani kuwa hizi zingekuwa ni mbwembwe tu ila amini nawaambia kwenye kujibrand ili kuionesha dunia nyie ni kina nani na mna uwezo gani, ni lazima mfanye vitu kama hivi ili kujitengeneza huko nje na kuvutia watu wa maana kuja kwenu

Muwe na weekend njema!

Zaidi soma: Rais Samia amefanya ziara ya kikazi ya siku moja Nchini Msumbiji (28/01/2022)
 
Ukitaka kujibranda vizuri ondoa umasikini kwa wananchi walio wengi, hakikisha umeme ni wa uhakika, kesi za michongo zisiwepo n.k nyingine ni mbwembwe tu.
Happa umeongea point kubwa sana, unavrand vipi nchi iliyojaa umaskini wa kila namna kwa watu wake
 
Mwezi Novemba 2003, Baada ya vita kufukuta nchini Iraq, Rais wa Marekani alifanya ziara ya kushtukiza kwenye eneo la vita Yaani nchini Iraq...
Yaani Mataga mnatafuta teuzi kwa NGUVU, kwani Leo ndiyo tumepa Uhuru?
 
Ukitaka kujibranda vizuri ondoa umasikini kwa wananchi walio wengi, hakikisha umeme ni wa uhakika, kesi za michongo zisiwepo n.k nyingine ni mbwembwe tu.
Ni vizuri kuondoa chuki maana zinakupofusha
 
Sawa mtoa hoja ila in reality we need more than that(to rebrand)yanayotokea eneo lile la vita ni complicated mkuu,elewa Rwandan army(limeletwa na Mozambique bila kushirikisha SADC )na SADC army hawaongei lugha moja ingawa wote wanadai adui yao ni mmoja!!kushinda ile vita kunahitajika mkakati mkubwa zaidi na tuelewe Mozambique anatoa ushirikiano zaidi kwa Rwanda kuliko SADC.
 
Happa umeongea point kubwa sana, unavrand vipi nchi iliyojaa umaskini wa kila namna kwa watu wake
Wapi duniani hakuna masikini? Hujui pia kujibrand kunakuwezesha kupata uwekezaji na fursa zitakuwezesha kuondoa huo umaskini?
 
Sawa mtoa hoja ila in reality we need more than that(to rebrand)yanayotokea eneo lile la vita ni complicated mkuu,elewa Rwandan army(limeletwa na Mozambique bila kushirikisha SADC)na SADC army hawaongei lugha moja ingawa wote wanadai adui yao ni mmoja!!kushinda ile vita kunahitajika mkakati mkubwa zaidi,na tuelewe Mozambique anatoa ushirikiano zaidi kwa Rwanda kuliko SADC.
5DA24D34-C1CE-47CB-89A1-235BBAD8992D.jpeg

Mpaka BBC wanaonesha namna gani hii ziara ilikuwa hot though ilikuwa fupi.

Kwa sisi ndo tulitakiwa kuandaa hata makala ( Documentary kuonesha how special and sensitive ilivyokuwa) kujipamba Pia kwa Dunia kuonesha mbinu mbalimbali zilivyotumika kumsafirisha Rais kwa Siri Hadi eneo Hilo.

Hili linaleta confidence kwa watu kuleta mitaji yao mikubwa nchini Kwa kuamini kuwa itakuwa salama sana chini ya vikosi imara.

Ikulu Mawasiliano inabidi waamke
 
Mwezi Novemba 2003, Baada ya vita kufukuta nchini Iraq, Rais wa Marekani alifanya ziara ya kushtukiza kwenye eneo la vita Yaani nchini Iraq

Kwa Wamarekani ile ilikuwa sehemu ya fursa ya kuitangazia Dunia kuwa ni kwa Jinsi gani wana uwezo wa kijeshi na kiulinzi wa kumsafirisha Rais wao hadi eneo la vita na akarudi salama hadi Marekani.

Jambo lile liliipa sifa Marekani ulimwenguni, wana habari wa Rais walikuja kutoa taarifa ile Rais Bush akiwa njiani kurudi Marekani na walionesha kwa Jinsi gani mbinu mbalimbali za kiulinzi zilitumika kurusha ile ndege hadi Iraq

Huku Tanzania jana Rais Samia kafanya ziara naweza sema ya ghafla nchini Msumbiji tena katika moja ya eneo korofi nchini mle yani jimbo la Pemba. Ziara hii haikutangazwa Kwa sababu wengi tumeshuhudia Rais akiwa anapokelewa nchini Msumbiji. Hii ilikuwa fursa katika mkakati wa Rebranding Tanzania.

Kama nchi ya Afrika inayojiinua na kutaka kuonekana duniani lazima tuioneshe dunia kuwa tuna uwezo mkubwa wa kiulinzi hadi kuweza kumsafirisha kiongozi wetu hadi eneo la vita.

Lile tukio lingeandaliwa hata makala kuonesha kwa Jinsi gani Rais alisafirishwa na hata mngeweza kuandaa kikao kifupi cha Mhe Rais na wanajeshi wetu walioko kule akizungumza nao. Tena hata yeye mngempiga kombati

Mnaweza dhani kuwa hizi zingekuwa ni mbwembwe tu ila amini nawaambia kwenye kujibrand ili kuionesha dunia nyie ni kina nani na mna uwezo gani, ni lazima mfanye vitu kama hivi ili kujitengeneza huko nje na kuvutia watu wa maana kuja kwenu

Muwe na weekend njema!

Zaidi soma:Rais Samia amefanya ziara ya kikazi ya siku moja Nchini Msumbiji
Hakuna rebranding wala nini kule Msumbiji.
Wananchi wa Msumbji wanatujua fika kwa kila kitu.
Ziara ya mama ilikuwa jinsi ya kukabiliana na magaidi waaoelta fujo kule Msumbiji.
Lazima kubadilishana mbinu, maana walikuwa kwetu hapa MKIRU, kisago walichokula kimewakimbizia Msumbiji.
Msumbiji ni lazim wanaomba mbinu za wembe ule ule uliotumika.
 
Mwezi Novemba 2003, Baada ya vita kufukuta nchini Iraq, Rais wa Marekani alifanya ziara ya kushtukiza kwenye eneo la vita Yaani nchini Iraq

Kwa Wamarekani ile ilikuwa sehemu ya fursa ya kuitangazia Dunia kuwa ni kwa Jinsi gani wana uwezo wa kijeshi na kiulinzi wa kumsafirisha Rais wao hadi eneo la vita na akarudi salama hadi Marekani.

Jambo lile liliipa sifa Marekani ulimwenguni, wana habari wa Rais walikuja kutoa taarifa ile Rais Bush akiwa njiani kurudi Marekani na walionesha kwa Jinsi gani mbinu mbalimbali za kiulinzi zilitumika kurusha ile ndege hadi Iraq

Huku Tanzania jana Rais Samia kafanya ziara naweza sema ya ghafla nchini Msumbiji tena katika moja ya eneo korofi nchini mle yani jimbo la Pemba. Ziara hii haikutangazwa Kwa sababu wengi tumeshuhudia Rais akiwa anapokelewa nchini Msumbiji. Hii ilikuwa fursa katika mkakati wa Rebranding Tanzania.

Kama nchi ya Afrika inayojiinua na kutaka kuonekana duniani lazima tuioneshe dunia kuwa tuna uwezo mkubwa wa kiulinzi hadi kuweza kumsafirisha kiongozi wetu hadi eneo la vita.

Lile tukio lingeandaliwa hata nakala kuonesha kwa Jinsi gani Rais alisafirishwa na hata mngeweza kuandaa kikao kifupi cha Mhe Rais na wanajeshi wetu walioko kule akizungumza nao. Tena hata yeye mngempiga kombati

Mnaweza dhani kuwa hizi zingekuwa ni mbwembwe tu ila amini nawaambia kwenye kujibrand ili kuionesha dunia nyie ni kina nani na mna uwezo gani, ni lazima mfanye vitu kama hivi ili kujitengeneza huko nje na kuvutia watu wa maana kuja kwenu

Muwe na weekend njema!

Zaidi soma:Rais Samia amefanya ziara ya kikazi ya siku moja Nchini Msumbiji

Unarudia kosa lie lile la awamu ya 5 kutaka kuiaminisha dunia (au kuwaghilibu watanzania) kuwa Tanzania ni nchi tajiri sana tunaweza hata kuwa “a donor country” tukatoa misaada hata kwa US na Europe!

Dunia inaifahamu Tanzania na capabilities zake vizuri sana. Bado ni LDC tena yenye utawala confused sana. Majuzi tulimaliza Covid 19 kwa maombi ya siku 3. Leo tunaendesha kampeni nzito ya chanjo na kupokea misaada kama kawa. Hatuna kipya cha kuwakosha walimwengu.

Ndio maana tuna idadi kubwa ya vijana bado wanaamini kuwa hatuhitaji misaada wala mikopo lakini hawataki kujua wala kupambana na ufujaji mkubwa unaofanywa serikalini ili tu wabaki kuwa “wazalendo” wanaoipenda serikali yao. Total confusion.
 
Hakuna rebranding wala nini kule Msumbiji.
Wananchi wa Msumbji wanatujua fika kwa kila kitu.
Ziara ya mama ilikuwa jinsi ya kukabiliana na magaidi waaoelta fujo kule Msumbiji.
Lazima kubadilishana mbinu, maana walikuwa kwetu hapa MKIRU, kisago walichokula kimewakimbizia Msumbiji.
Msumbiji ni lazim wanaomba mbinu za wembe ule ule uliotumika.
Kwani rebranding inafanywa kwa ajiri ya msumbiji tu?
 
Sasa kwa akili yaki kweli rebranding unafanya ukielekea uwanja wa mapambano na magaidi ili kuwa impress wawekezaji?
Kuonesha kwa Jinsi gani umeimalika kiulinzi na kiusalama ni moja ya njia ya kuweka confidence Kwa wawekezaji kuja kuwekeza mitaji mikubwa kwako
 
Back
Top Bottom