Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 2,591
- 4,278
Napendekeza kuwa, NIDA waje na mpango mkakati wa kuwapatia vitambulisho vya NIDA wanafunzi wote wa kidato cha nne wenye sifa.
Kama taarifa zao zitachukuliwa mapema, inamaana kabla ya maliza kidato cha nne wote watakuwa wamepata vitambulisho vyao na kuepuka usumbufu usio kuwa wa lazima.
Tukumbuke kuwa, hili ndilo kundi lenye uhitaji mkubwa na wa haraka wa kupata vitambulisho kuliko wengine kulingana na majukumu yao mtambuka baada ya kidato cha nne.
Kama taarifa zao zitachukuliwa mapema, inamaana kabla ya maliza kidato cha nne wote watakuwa wamepata vitambulisho vyao na kuepuka usumbufu usio kuwa wa lazima.
Tukumbuke kuwa, hili ndilo kundi lenye uhitaji mkubwa na wa haraka wa kupata vitambulisho kuliko wengine kulingana na majukumu yao mtambuka baada ya kidato cha nne.