Waziri wa Afya, tunakuomba usiishie kwa Lightness tu. Tupo lukuki ambao vitambulisho vyetu vya NIDA vimeshikiliwa Mloganzila Hospitali

Nobunaga

JF-Expert Member
Mar 22, 2019
1,169
4,986
Kwanza nakushukuru Mh. Waziri wa Afya Ummy Mwalimu kwa kulivalia njuga hili jambo la mwanafunzi Lightness Shirima (22) ambaye baba yake Priscus Shirima alifariki Hospitali ya Mloganzila kisha wakakishikilia kitambulisho chake cha NIDA mpaka hapo atakapomaliza deni lake la milioni 9.

Labda kitu ambacho hujui ni kwamba ambao vitambulisho vyetu vimeshikiliwa pale tuko mamia kwa mamia, yani ukienda ile ofisi yao ya uhasibu utajihakikishia mwenyewe. Huu utaratibu unawaumiza wengine ambao wanahitaji kuvitumia vitambulisho vyao kwenye mambo mbalimbali ikiwemo kutafuta ajira, maombi ya kwenda masomoni nk.

Tunashauri uongozi wa Mloganzila utafute utaratibu mwingine ikiwamo wenyeviti wa mitaa na vijiji wahusishwe kwenye kuwatambua wadaiwa na wawe kama wadhamini wao ila sio kushikilia NIDA za watu kisha kupelekea kuwakwamisha kwenye mambo yao mengine ya kimaendeleo.

Hivyo Mh. Waziri tunaomba na wengine ambao vitambulisho vyao vimeshikiliwa pale Mloganzila hospitali warudishiwe vitambulisho vyao kisha utaratibu mwingine mzuri wa wadaiwa kulipa deni uandaliwe.
IMG_20220809_121452.jpg


IMG_20220809_115759.jpg


IMG_20220809_121341.jpg
 
Niliwaza hivyo hivyo, watu wengi vitambulisho vya nida vimezuiwa.

Kuna mtu mwingine kupata laki tatu atatumia nguvu na asiipate asilani.
 
Niliwaza hivyo hivyo, watu wengi vitambulisho vya nida vimezuiwa.

Kuna mtu mwingine kupata laki tatu atatumia nguvu na asiipate asilani.
Wengi sana... Tamko lisiishie kwa Lightness tuu, waachie vitambulisho vya wengine pia.
 
Kwanza nakushukuru Mh. Waziri wa Afya Ummy Mwalimu kwa kulivalia njuga hili jambo la mwanafunzi Lightness Shirima (22) ambaye baba yake Priscus Shirima alifariki Hospitali ya Mloganzila kisha wakakishikilia kitambulisho chake cha NIDA mpaka hapo atakapomaliza deni lake la milioni 9.

Labda kitu ambacho hujui ni kwamba ambao vitambulisho vyetu vimeshikiliwa pale tuko mamia kwa mamia, yani ukienda ile ofisi yao ya uhasibu utajihakikishia mwenyewe. Huu utaratibu unawaumiza wengine ambao wanahitaji kuvitumia vitambulisho vyao kwenye mambo mbalimbali ikiwemo kutafuta ajira, maombi ya kwenda masomoni nk.

Tunashauri uongozi wa Mloganzila utafute utaratibu mwingine ikiwamo wenyeviti wa mitaa na vijiji wahusishwe kwenye kuwatambua wadaiwa na wawe kama wadhamini wao ila sio kushikilia NIDA za watu kisha kupelekea kuwakwamisha kwenye mambo yao mengine ya kimaendeleo.

Hivyo Mh. Waziri tunaomba na wengine ambao vitambulisho vyao vimeshikiliwa pale Mloganzila hospitali warudishiwe vitambulisho vyao kisha utaratibu mwingine mzuri wa wadaiwa kulipa deni uandaliwe.
View attachment 2318968

View attachment 2318966

View attachment 2318969
Lightness Alijitangaza Magazetini nyie mnajitangaza facebook
 
Kwanza nakushukuru Mh. Waziri wa Afya Ummy Mwalimu kwa kulivalia njuga hili jambo la mwanafunzi Lightness Shirima (22) ambaye baba yake Priscus Shirima alifariki Hospitali ya Mloganzila kisha wakakishikilia kitambulisho chake cha NIDA mpaka hapo atakapomaliza deni lake la milioni 9.

Labda kitu ambacho hujui ni kwamba ambao vitambulisho vyetu vimeshikiliwa pale tuko mamia kwa mamia, yani ukienda ile ofisi yao ya uhasibu utajihakikishia mwenyewe. Huu utaratibu unawaumiza wengine ambao wanahitaji kuvitumia vitambulisho vyao kwenye mambo mbalimbali ikiwemo kutafuta ajira, maombi ya kwenda masomoni nk.

Tunashauri uongozi wa Mloganzila utafute utaratibu mwingine ikiwamo wenyeviti wa mitaa na vijiji wahusishwe kwenye kuwatambua wadaiwa na wawe kama wadhamini wao ila sio kushikilia NIDA za watu kisha kupelekea kuwakwamisha kwenye mambo yao mengine ya kimaendeleo.

Hivyo Mh. Waziri tunaomba na wengine ambao vitambulisho vyao vimeshikiliwa pale Mloganzila hospitali warudishiwe vitambulisho vyao kisha utaratibu mwingine mzuri wa wadaiwa kulipa deni uandaliwe.
View attachment 2318968

View attachment 2318966

View attachment 2318969
Wahusishwe viongozi wa mtaa! Ukihama nyumba?Fafanua hela yao wataipataje maana hata wansopangisha nyumba wapangaji hutoweka na kodi.
 
Wahusishwe viongozi wa mtaa! Ukihama nyumba?Fafanua hela yao wataipataje maana hata wansopangisha nyumba wapangaji hutoweka na kodi.
Huwezi kuhama mtaa eti watu wote wasijue umeenda wapi..... Na ikitokea hivyo.basi utakuwa umefanya kosa la jinai, utafutwe kwa njia zingine kisha ukajibu mashtaka..
 
Niliwaza hivyo hivyo, watu wengi vitambulisho vya nida vimezuiwa.

Kuna mtu mwingine kupata laki tatu atatumia nguvu na asiipate asilani.
Niache kununua kirkuu! nikapige misele ya Abiria/mizigo! kabisaaa nikalipe deni la Mzazi ambaye amekufa?? ...bora wangemponesha lkn sasa kafa?...wakae nacho tu!

Idara itakayo kihitaji kwa dharula nitakwenda hapo kukitoa fotocopi nakuwapa...then nakirudisha..au watakikatalia!
 
Niache kununua kirkuu! nikapige misele ya Abiria/mizigo! kabisaaa nikalipe deni la Mzazi ambaye amekufa?? ...bora wangemponesha lkn sasa kafa?...wakae nacho tu!

Idara itakayo kihitaji kwa dharula nitakwenda hapo kukitoa fotocopi nakuwapa...then nakirudisha..au watakikatalia!
Hahaaaaa
giphy.gif
 
Back
Top Bottom