Vitambulisho vya NIDA ni usumbufu usio na lazima

BARADIGE

Member
May 22, 2014
64
30
Habari za muda huu wanajamvi......
Matumizi ya VITAMBULISHO vya NIDA dhumuni lake lilikuwa zuri ila Sasa limekuwa ni hangs linalo sumbua watu Kila uchao.

Mimi nilifanikiwa kupata kitambulisho hiki tangu 2016, lakini kitambulisho hiki kilikuja kikiwa kimekoseaanilifatilia kwakuwa kitambulisho lilikuwa kinatofautisha jina la TATU yaani majina matatu ya vyeti vya taaluma yalikuha kutofautina jina Moja la mwisho katika NIDA.

Jambo hili lilinisumbua kwani nilifatilia toka kipindi kile lakin Majibu yao Yana ukakasi kwani utaambiwa ujaze fomu na ulipie kiasi Cha 20,000/= ili data zibadilike lakini toka muda huo ni miaka Sasa bila mabadiliko hii ilipelekea nifatilie affidavit ili kuidhinisha jina la TATU ili nisipate shida Lakini huu utaratibu cyo mzuri maana Academic issues zinakuhitaji ufanye mambo yasiyo na ukakasi Kwan Kama ni ku apply online hutapata sehemu ya ku attach affidavit.

Pamoja na hivyo shughuli nyingi zinahitaj scanned documents utaratibu wao huu wa kutoa namba Bado ni changamoto sana maana huwez pata huduma nyingi kutokana huduma za Sasa nyingi zinatak uweke scanned documents.

NIDA mjirekebishe huu utaratibu unatuchelewesha sana
 
Hivi makao makuu ya Nida yapo wapi? Na mtu akitaka kufuatilia kitambulisho chake akifuate wapi alipojiandikishia au makao makuu?
 
Katika vitu vya hovyo Tanzania ni NIDA na RITA.Sijui nani atawasaidia watanzania katika hili.Yani ni hovyo hovyo hovyoooo
 
  • Thanks
Reactions: _ID
NIDA imeshafeli maana hii project ni project ya miaka 10+ iliyopita, walivyoirudisha kwa kasi 2016 nikajua tayari mambo safi, kinachotokea sasa hivi ni uhuni na nimechoka zaidi napoona wale wazee wa "ile tuma kwa namba hii" ambao nao wana NIDA lakini hawakamatiki
 
Katika vitu vya hovyo Tanzania ni NIDA na RITA.Sijui nani atawasaidia watanzania katika hili.Yani ni hovyo hovyo hovyoooo
Miaka imepita unaambiwa namba ndo ipo wakat hata ukitaka kufatilia VISA online unatackiwa u attach kopy ya kitambulisho cjui hawaoni Wana wasumbua watu
Huu ni usumbufu sana
 
NIDA imeshafeli maana hii project ni project ya miaka 10+ iliyopita, walivyoirudisha kwa kasi 2016 nikajua tayari mambo safi, kinachotokea sasa hivi ni uhuni na nimechoka zaidi napoona wale wazee wa "ile tuma kwa namba hii" ambao nao wana NIDA lakini hawakamatiki
😂😂😂😆😆😆😆
 
Habari za muda huu wanajamvi......
Matumizi ya VITAMBULISHO vya NIDA dhumuni lake lilikuwa zuri ila Sasa limekuwa ni hangs linalo sumbua watu Kila uchao.

Mimi nilifanikiwa kupata kitambulisho hiki tangu 2016, lakini kitambulisho hiki kilikuja kikiwa kimekoseaanilifatilia kwakuwa kitambulisho lilikuwa kinatofautisha jina la TATU yaani majina matatu ya vyeti vya taaluma yalikuha kutofautina jina Moja la mwisho katika NIDA.

Jambo hili lilinisumbua kwani nilifatilia toka kipindi kile lakin Majibu yao Yana ukakasi kwani utaambiwa ujaze fomu na ulipie kiasi Cha 20,000/= ili data zibadilike lakini toka muda huo ni miaka Sasa bila mabadiliko hii ilipelekea nifatilie affidavit ili kuidhinisha jina la TATU ili nisipate shida Lakini huu utaratibu cyo mzuri maana Academic issues zinakuhitaji ufanye mambo yasiyo na ukakasi Kwan Kama ni ku apply online hutapata sehemu ya ku attach affidavit.

Pamoja na hivyo shughuli nyingi zinahitaj scanned documents utaratibu wao huu wa kutoa namba Bado ni changamoto sana maana huwez pata huduma nyingi kutokana huduma za Sasa nyingi zinatak uweke scanned documents.

NIDA mjirekebishe huu utaratibu unatuchelewesha sana
Hii changamoto imenikuta Leo.
 
Habari za muda huu wanajamvi......
Matumizi ya VITAMBULISHO vya NIDA dhumuni lake lilikuwa zuri ila Sasa limekuwa ni hangs linalo sumbua watu Kila uchao.

Mimi nilifanikiwa kupata kitambulisho hiki tangu 2016, lakini kitambulisho hiki kilikuja kikiwa kimekoseaanilifatilia kwakuwa kitambulisho lilikuwa kinatofautisha jina la TATU yaani majina matatu ya vyeti vya taaluma yalikuha kutofautina jina Moja la mwisho katika NIDA.

Jambo hili lilinisumbua kwani nilifatilia toka kipindi kile lakin Majibu yao Yana ukakasi kwani utaambiwa ujaze fomu na ulipie kiasi Cha 20,000/= ili data zibadilike lakini toka muda huo ni miaka Sasa bila mabadiliko hii ilipelekea nifatilie affidavit ili kuidhinisha jina la TATU ili nisipate shida Lakini huu utaratibu cyo mzuri maana Academic issues zinakuhitaji ufanye mambo yasiyo na ukakasi Kwan Kama ni ku apply online hutapata sehemu ya ku attach affidavit.

Pamoja na hivyo shughuli nyingi zinahitaj scanned documents utaratibu wao huu wa kutoa namba Bado ni changamoto sana maana huwez pata huduma nyingi kutokana huduma za Sasa nyingi zinatak uweke scanned documents.

NIDA mjirekebishe huu utaratibu unatuchelewesha sana
Affidavit kuipata ilikugharim Kia's gan
 
Tunahitaji Katiba mpya,NIDA itafutiliwa mbali, home affairs itagawanywa wizara mbili,police (ulinzi wa raia n mali zao)na home affairs (uraia na immigrations),ni wajibu wa home affairs kutunza kumbukumbu za raia sio uchafu wa nida, I'd number itakuwa inatolewa kwa mtoto straight baada ya kuzaliwa na namba hiyo ataishi na kufa nayo, I'd hazina ukomo,why nida yangu ina ukomo?,muda ukiisha mimi sio mtanzania tena!huu ni upuuzi
 
Back
Top Bottom