Anaandika Idris,
Uzuri ni kwamba nimesoma fiqh.
Tuanzie maana ya neno “Jihad”, muhimu sana kuelewa kuwa Jihad sio vita ila ni mapambano.
Jihad inayozungumziwa na Quran kwa bahati mbaya imetafsiriwa vibaya na wengi kwa sababu zao binafsi. Hata ukipambana na ugonjwa, umaskini n.k ni Jihad na...