Raha za Peponi

Raha za Peponi

Status
Not open for further replies.

Mtaachana

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2025
Posts
1,465
Reaction score
5,262
Raha Za Peponi

(hedhi) wala nifasi, hawaendi choo kama ilivyo kwa hali Nao wake hao hawatakuwa wakiingia katika siku za huku duniani, Wala hawatazaa, wala hawatatokwa na manii.

Anasema MWENYEZI MUNGU (Subhaanahu Wata'ala):

وَلَهُمْ فِيهَا أَزْوَاجٌ مُّطَهَّرَةٌ

"NA HUMO WATAPATA WAKE WALIOTAKASIKA (NA KILA MABAYA NA MACHAFU)..." (Quran 2:25)

Na kila watakapoingiliwa na waume zao watakutwa ni mabikra. Bikra hii haishi kwa kuingiliwa, isipokuwa inakuwa mpya, hatoki damu wala kusikia maumivu yoyote.

Mtu atapewa nguvu za watu 100 katika unywaji, ulaji na uingiliaji; kisha ataongezewa nguvu zingine zaidi. Mme atamwingilia mke wake kama alivyokuwa akimwingilia huku duniani, lakini Peponi ni kwa muda mrefu, ni miaka 80 ya huko Akhera, bila kufika kileleni!

Ifahamike, siku moja ya Akhera ni sawa na miaka 1000 ya huku duniani. Kwa hesabu ya huku duniani, hiyo ni miaka 28,800,000. Miaka milioni 28! Wakati wote huo, wanasikia ladha nzuri mno na raha kubwa ajabu! Hizo ndizo neema za Peponi! Basi, hakika tutafute Radhi za ALLAH na kila mara tumuombe ALLAH Atujalie tuwe miongoni mwa watu wema, AMIN.

Wala hakutakuwa na janaba inayowasababisha wahitaji kujitwaharisha; wala hawatapatwa na ulegevu (baada ya tendo); wala upungufu wa nguvu za kiume. Bali kuingiliana kwao, ni kwa sababu ya kupata ladha na neema ambayo haina mapungufu ndani yake.
FB_IMG_1777832968665.jpg
FB_IMG_1777832960344.jpg
 
kwamba mwanaume wa kiislamu atamwingilia mwanamke mmoja kwa muda wa miaka milioni 28 bila kukojoa (kumwaga shahawa au manii) na wameahidiwa wanawake 72 sasa katika miaka hiyo milion 28 kwa mwanamke mmoja, tena bila kufika kileleni, vipi wale wengine 71 wakiwa na hamu ya ngono watafanyaje wataenda kumkatiza mwenzao? 😀 au watavumilia? au wanawake wa peponi watakuwa tu kama Midoli hawana hisia?

Sasa kama wewe Mwanamke uliyekuwa Mkristo ulisilimu basi jua kuwa huko utasubirishwa mpaka ukome.View attachment 3583477View attachment 3583478
Hii kweli au umejitungia tu na ku-print?
Hakuna binadamu hata kama ni mpumbavu kiasi gani anayeweza kuamini haya.
 
inaonekana Mudy alikaa chini akaona ili ateke akili zawatu wengi hacha aingize ngono kwenye maandiko yak maana alijuwa wanaume na ngono ni hvi 😀
Waislam ni watu wenye busara sana na waadilifu ,nenda sehemu au ofisi za umma hudumiwa na muislamu halafu na mkristo halafu pima , muajiri muislamu kwenye biashara yako halafu muweke mkristo halafu pima , kwenye maisha ya kawaida kabisa wanachofundishwa Waislam kina impact chanya kwa umma zaidi ya walokole
 
Waislam ni watu wenye busara sana na waadilifu ,nenda sehemu au ofisi za umma hudumiwa na muislamu halafu na mkristo halafu pima , muajiri muislamu kwenye biashara yako halafu muweke mkristo halafu pima , kwenye maisha ya kawaida kabisa wanachofundishwa Waislam kina impact chanya kwa umma zaidi ya walokole
Umeandika kama vile wote humu hatuishi na hao watu, au hatujui kutofautisha huduma kutoka kwa wao watu wawili.

Rudi nyumbani Sasa, watakubaka hapo bar
 
kwamba mwanaume wa kiislamu atamwingilia mwanamke mmoja kwa muda wa miaka milioni 28 bila kukojoa (kumwaga shahawa au manii) na wameahidiwa wanawake 72 sasa katika miaka hiyo milion 28 kwa mwanamke mmoja, tena bila kufika kileleni, vipi wale wengine 71 wakiwa na hamu ya ngono watafanyaje wataenda kumkatiza mwenzao? 😀 au watavumilia? au wanawake wa peponi watakuwa tu kama Midoli hawana hisia?

Sasa kama wewe Mwanamke uliyekuwa Mkristo ulisilimu basi jua kuwa huko utasubirishwa mpaka ukome.View attachment 3583477View attachment 3583478
Hizo Ahadi Nani alienda akarudi kutwambia kama ameziona? Kama hakuna aliyezidhuhudia basi ni uongo 100%
 
kwamba mwanaume wa kiislamu atamwingilia mwanamke mmoja kwa muda wa miaka milioni 28 bila kukojoa (kumwaga shahawa au manii) na wameahidiwa wanawake 72 sasa katika miaka hiyo milion 28 kwa mwanamke mmoja, tena bila kufika kileleni, vipi wale wengine 71 wakiwa na hamu ya ngono watafanyaje wataenda kumkatiza mwenzao? 😀 au watavumilia? au wanawake wa peponi watakuwa tu kama Midoli hawana hisia?

Sasa kama wewe Mwanamke uliyekuwa Mkristo ulisilimu basi jua kuwa huko utasubirishwa mpaka ukome.View attachment 3583477View attachment 3583478
Mambo yao ni ya kisanii sanii na uswahili ni mwingi sana.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom