ngono

  1. KING MIDAS

    Tamaa ya Ngono, Adui Mkubwa wa Mwanadamu

    KAMA MWANAUME Adui wa kwanza wa kupambana naye ni tamaa ya NGONO. Mwanaume mwenye tamaa HII ya ngono Ndani ya dk 5 anaweza poteza ndoto na malengo ya miaka 20 ijayo Ndani ya ngono kuna BARAKA LAANA UZIMA MAUTI KUPATA KUKOSA Nguvu ya msuli ulio ndani ya boxa Unaweza kukufanya uwe kipofu kama...
  2. Surya

    Ngono kama silaha

    Ngono kama Silaha Katika maisha ya kila siku, ngono imekuwa si tu njia ya kuonyesha mapenzi, bali pia chombo chenye nguvu cha ushawishi na udhibiti katika mahusiano. Tendo hili linaunganisha watu kihisia na kimwili, lakini linapoweza kutumiwa vibaya, linaweza kugeuka kuwa silaha inayoweza...
  3. tonicimmobility

    Na hii ndio maana halisi ya neno NGONO

    Mwalimu na nguli wa lugha ya Kiswahili kutoka BAKITA Mzee Sigala anatuelezea maana halisi ya neno ngono Je na wewe pia ulikuwa una elewa hivyo ukisikia neno ngono? Soma pia: Ondoa Mikosi Inayosababishwa na Ngono kwa Njia Hii
  4. sanalii

    Kumbe ilikua inawezekana serikali kuwasiliana na X/Twitter wakazuia maudhui ya ngono yasionekane Tamzania bila kuifungia!.

    UK wamefanya hivyo bila kuigunga X, sasa ingawa sio sababu halisi ya kufungiwa kwa X, kwanini Jerry silaa wasiwasiliane na uongozi wa X wakazuia haya maudhui wanayosema hayafai kwa mlaji kuliko kuofungia kabisa?
  5. GENTAMYCINE

    Kuna Siri gani iliyojificha hapa? Tafadhali Wabobezi na Wakomavu wa Ngono karibuni mtufafanulie

    Kwanini ukitoka kufanya Ngono ya ghafla na Mwanamke uliyempata juu kwa juu (kumtongoza kwa haraka na akakukubalia) ukishamalizana tu nae (bila ya Kuona) na ukitoka nje ya Loji au Gesti ukisema utongoze tena Wanawake wengine Wawili Watatu hakuna anayekukatalia na kwamba wote watakukubalia tu...
  6. The Humble Dreamer

    Thomas Partey, Mchezaji wa zamani wa Arsenal akabiliwa na mashitaka ya ubakaji mara tano na shambulio moja la kingono

    Salaam Members! Thomas Partey, mchezaji wa zamani wa Arsenal, afunguliwa mashtaka ya ubakaji mara tano na shambulio la kingono moja, imetangazwa na Huduma ya Mashtaka ya Umma (Crown Prosecution Service). Kesi hii kubwa imeiacha klabu ya Ligi Kuu ya England (Premier League) ikikumbwa na...
  7. Roboti Wa Nape

    MADHARA YA UTANDAWAZI NA MUINGILIANO WA KIUTAMADUNI: Ni ngumu sana mwanaume wa sasa kuchomoka kwenye mitego ya Ngono.

    Nimeona video moja, Shehe kijana akilalamika hapa Dar kuwa wanapitia wakati mgumu sana watumishi wa Mungu kutokana na kuzungukwa na mazingira ya Ngono. Hii ni kweli na kwa wanaume wa sasa, bila kuwa na tabia ya kujitambua na kuwa na subira na kujiheshimu, ni ngumu sana kukabiliana na mazingira...
  8. MABATI YA SUNBAK TANZANIA

    Kwanini mtu ukifanya sana ngono unapoteza nuru usoni ?

    Nafikiri sex inawanufaisha Wanawake Ila kwa wanaume is waste of time Ukitazama Vijana Ambao hugonoka wamepoteza Sana Nuru . Binafsi nipo na 30 yrs now nimeacha Sex kwa muda wa mwaka mmoja na nimeacha kutumia vinywaji vya dukani even junk food Ila nimerudi early 20 Nuru imewaka uwezo wa...
  9. Abtali Mwerevu

    Ondoa Mikosi Inayosababishwa na Ngono kwa Njia Hii

    Ngono na watu wengi husababisha mikosi na kutofanikiwa kwa mambo yako. Upo uwezekano kwamba, unaanzisha mambo mbalimbali lakini hayafanikiwi. Katika utaalamu, kila mtu unayefanya naye ngono huenda akaja na baraka au akaja na nuksi. Kwa wale waliotulia katika ndoa zao, huenda ngono ikawa chanzo...
  10. Munch wa Annabelle

    Nahitaji mwanamke mchepuko ambae anapenda ngono yani very sensitive with high libibo

    Kama umekizi vigezo hivo Kuna uwezokano ukaolewa kabisa kabisa muhimu uwe nasifa hzo, angalau mara 3 Kwa siku itakua vyema. Kama UPO serious njoo pm mbwembwe peleka Kwa ma uncle
  11. Isenye

    Je ni sahihi kufanyia ngono na mwanamke meingine kwenye kitanda ulichokua unalalia na mkeo?

    Mke kanikimbia siku ya tatu leo,niko tu mwenyewe hapa home,naona ugwadu umenikamata sio poa.nafikiria kuvuta manzi mwingine tu hapa mtaani nimgongee hapa hapa home. Je ni sahihi kulala na mwanamke mwingine kwenye kitanda mnacholalia na mkeo?
  12. T

    Kule Twitter (X) ati Njaa55 wanataka kupambana na maambukizi huku wakishiriki ngono.

    Kweli Mzee Mbowe alizungukwa na vijana wa hovyo, waliendekeza pombe na nyama choma. Waligawa vyeo kwa wadada kwa rushwa ya ngono. Walijua wazi Lissu akiingia biashara yao imeisha. Mbowe bado anahitajika kwenye siasa za Chadema bila kuwa kiongozi mkuu wa chama kama alivyo Mhe.Zitto. Anachopaswa...
  13. ELI COHEN

    Kwanini mwanaume na mwanamke hawafanani hamu ya ngono?

    Mwanaume anaweza ku-do mara 100 na mwanamke ila katika 100 hizo ni mara 20 ndio unakuta mwanamke alikuwa na appetite na utayari wa kweli. Yani ni kama Mwanaume ni sex machine inayotembea muda wote yupo tayari ila mwanamke hisia zake hadi azicollect at a specific time ndio maana muda mwingine...
  14. R

    Epuka mazoea ya kulala na aina hii ya wanawake, kitu kizito kitakuja kukupiga bila kutarajia

    Mwanzoni wengi huwa makini kuchukua tahadhari / precautions lakini kadri muda unavyoenda mazoea yakiwa tabia wanajisahau sana, mwisho wa siku wanaingia kwenye mfumo Under age / Chini ya miaka 18 - Wala haihitaji kufumaniwa red handed, yaani habari zikisambaa tu unatembea na mwanafunzi halafu...
  15. NALIA NGWENA

    Shinyanga: mkuu Wa mkoa, mkuu Wa Wilaya na Viongozi Wa kata shinyanga mjini,Je mnataka kizazi Cha mabinti wote waingie kwenye biashara ya Ngono?!!

    Natangaza hali ya hatari Maana Viongozi Wa ngazi ya Mkoa, wilaya mpaka kata shinyanga mjini wamelala na wameamua kupuuzia suala la biashara ya Ngono inayoendelea shinyanga mjini mtaa wa JOMU. Pale kuna Dangulo Moja linalofahamika kama Maswa Guest lipo karibu kabisa na ofisi za Serikali ya mtaa...
  16. The Father of All

    Kuna tofauti gani kati ya malaya wa ngono na wa kiasiasa?

    Japo malaya ni malaya, je kuna tofauti kati ya malaya wa ngono na siasa? Malaya wa ngono husababisha umaskini na miwaya. Wa kisiasa nao pia husababisha umaskini na uchawa. Je kuna uhusiano au tofauti gani kati ya malaya hawa aina mbili?
  17. tpaul

    Ni kwanini mafundisho ya viongozi wa dini yamejikita zaidi kwenye ngono?

    Takwimu zinathibitisha na ukweli unajidhihirisha wazi na kila mahali. Sina shaka hata wewe mwanaJF unayesoma munakasha huu umewahi kusililiza clips za viongozi wa dini ambazo nyingi zinahusu masuala ya ngono na kujamiiana. Hebu pia msikilize na huyu kiongozi wa dini jinsi mafundisho yake...
  18. S

    Kwanini contents nyingi katika Mitandao ya kijamii ni ya kuhamasisha ngono?

    Katika Videos kumi utaka-zoplay either FACEBOOK, INSTAGRAM e.t.c, Saba katika videos hizo ni za kuhamasisha ngono. Je, Ni kuwa watu wamewekeza sana katika ngono. Karibuni tujadili hili Wanajamiiforums wenzangu.
  19. Kibosho1

    Jini Mahaba ni dhana tu sio kweli, ni kushindwa kuwajibika kwenye ngono

    Kwa uchunguzi wangu mpaka nimefika hapa naamini hakuna kitu kinaitwa jini mahaba. Hii dhana imekuja baada ya mume au mke kushindwa kutimiza wajibu wake mchezoni na kusingizia mwenza wake ana jini mahaba. Ukweli ni kwamba kuna wanawake na wanaume ambao ngono kwao ni jambo kuu, kwa hiyo...
  20. Fbn

    Inakuwaje imani fulani zika shikilia sana kuhusu pombe ni haramu sio vilevi vingine pamoja na ngono

    Waathirika wa madawa ya kulevya wengi ukiangalia sehemu kubwa ni mikoa yenye idadi kubwa waislamu. Mfano tanga,dar es salaam na nchi ya zanzibar. Kesi nyingi za ubakaji,ulawiti,ngono zembe,idadi kubwa ni upande huu.Ndio maana ikifika karibia na mfungo watu ufunga ndoa kwa madhumuni ya kujipatia...
Back
Top Bottom