neno

Emmanuel Neno is a Pakistani Christian author and translator.

View More On Wikipedia.org
  1. Desierto

    Weka neno ambalo unalichukia kulisikia hupendi kulisikia kabisa ila ndo linaongelewa sana

    Mimi hili neno linaongelewa sana kwa sasa sipendi kulisikia ni hili hapa, 'KULINDA AMANI' 'MAHAKAMA' 'CCM'.
  2. Dogoli kinyamkela

    Ipe neno hii picha 😂😂😂😂

    Ipe neno hii picha 😂😂😂😂
  3. Kitchener

    Wiki hii ndio nimejua maana halisi ya neno "WAHUNI"

    Polepole alianza kutamka neno hili "wahuni" kitambo sana, ila watu tulikuwa hatujamwelewa. sasa, naelewa, wahuni ni nani na ameanza kupambana nao lini.
  4. tonicimmobility

    Una neno gani la kumtia moyo huyu binti?

    ]
  5. R

    Toa neno moja kwa wajumbe wa CCM kuelekea uchaguzi wa wagombea ubunge na Udiwani 2025 ndani ya CCM

    Kwangu mimi wale pesa kura wapeleke kwa mtu sahihi .
  6. DR HAYA LAND

    Kuna Watu pamoja kwamba umri umeenda ila hawajui kuelewa maana ndani ya neno analozungumza mtu ona sasa yule mama diplomatic anavyotoswa !.

    Ile kauli kuwa "Kuna li-MTU ambaye tuliamumini anapeleka mambo yetu nje" It was a sign that ur game is over in SISIEMU politics . Sasa kwa age yako Wasifu wako Maisha kijumla. Then unaenda kumuomba mkate MTU ambaye ameshakuonesha waziwazi hakutaki . Sielewi sisi wabantu tuna shida gani...
  7. McLaren

    Huyu sijui kaambiwa neno gani hadi ameshtuka hivyo

    Wakuu, Msidhani humu duniani mnaozungumza ni binadamu tu lakini hata wanyama wanazungumza kumbe Huyu sijui kaambiwa neno gani maskini hadi kashtuka hivyo
  8. Naxria abdalla

    Naomba msaada wa neno “moyo kulipuka”

    Habari husika na mada apo juu naomba kuuliza mtu akisema moyo kulipuka ndio ana maana gani?
  9. Street Hustler

    Neno langu la Imani kutoka kitabu Cha wanabii

    Kama ilvyoandikwa 1👉 Kama vile inzi waliokufa huacha harufu mbaya kwenye manukato, ndivyo upumbavu kidogo huzidi nguvu hekima na heshima. 2 👉 Moyo wa mwenye hekima huelekea kuume, lakini moyo wa mpumbavu huelekea kushoto. 3👉 Hata anapotembea barabarani, mpumbavu hukosa ufahamu na kudhihirisha...
  10. Paul dybala

    Neno 'sina' ni muhimu sana

    Utaratibu wangu mimi ni huwa sikopi kwa mtu, wala kukopeshwa na mtu,kwa sababu huwa inapelekea urafiki kufa kabisa huko mbeleni,mimi huwa nanuna na mambo yangu mpka natatua changamoto zangu mwenyewe Neno sina linamaliza kabisa utata japo huonekana kuwa ni lakikatiri sana unapomjibu mtu...
  11. digba sowey

    Serikali na TCRA Kuna shida gani Kutumia neno NIDA,Sms ukiituma ikiwa na neno NIDA haiendi kabisa,tatizo ni nini!?

    Wasalaamu Wapendwa. Kuna changamoto nimeanza kuiona toka Jana,nilikuwa natuma sms kwa wateja wangu ambao nawaombea mikopo kwenye bodi ya mikopo na elimu ya juu(Heslb). Wakati nawasiliana nao na kuwaambia nitumie namba ya NIDA,sms ikiwa na neno NIDA haiendi kabisa, naomba watu wa TCRA...
  12. mfuaji

    Tofauti kati ya neno 'niko' na 'nipo' katika Kiswahili

    Kuna tofauti iliyopo kati ya neno Niko na nipo japokuwa hatuizingatii sana tunapoandia au kuongea. Niko Inarejelea sehemu kwa mfano sasa hivi niko chumbani najamiiana na mke wangu. Nipo Inaonesha hali ya kuwepo (kuwepo kwa kitu au mtu sehemu fulani) kwa mfano, Mwalimu: Mbooyapunda...
  13. Ambitious Joh

    Nimechoka kuigiza, mara kadhaa nimekua nikiona matumizi ya neno "KOBAZI" kwenye nyuzi mbalimbali humu jamvini. Naomba anaejua anisaidie maana yake

    Wanajamvi kama nilivyotangiliza heading, mara kadhaa nimekua nikikutana na neno KOBAZI kwenye comment mbalimbali humu jamvini, nimejaribu kufuatilia bila mafanikio. Juzi nimeuliza nikaambiwa ni viatu lakini kila nikiangalia uhusiano kati ya viatu na comment za watu jamvini nakua sielewi kabisa...
  14. Dr John Karithi

    Waswahili na Kiswahili

    KAULI YA LEO Neno 'SWAHILI' kimatamshi linaweza kutokana na 'ZIWA HILI' au likatafsiriwa 'SAWAHILI' kutokana na neno la Kiarabu 'SAHIL' linalomaanisha 'PWANI' likirejelea 'lugha', 'tamaduni' na 'watu' wanaoishi 'kando kando ya bahari' au 'Pwani'. 'Wamijikenda' na 'wandigo' waliwaita 'Wajomba'...
  15. Marry Diana

    Neno tamu,ahadi tamu, lakini umpate mwenye viuongo vinavyofanana na ukweli

    Shikamooni wakubwa wote humu ndani. Maisha ni fumbo, Fumbo hili ni kwenye kila kitu kwenye maisha,ni juzi tu hapa Mimi na marafiki zangu tulikuwa tunachagua earphones zile za Bluetooth . Basi Mimi nilinunua za gharama zaidi kuliko wenzangu,lakini cha ajabu mpaka Jana jioni zilikuwa haziimbi...
  16. GENTAMYCINE

    Kigogo Kigogo kwa hili ulilosema siongezi neno lolote, kwani umemaliza kila kitu na ndiyo Watanzania tunadharaulika mno na Majirani na Duniani pia

    Taifa ambalo redioni ahsubuhi wanajadili michezo.Mchana hadi jua linapo zama wanarudi kwenye michezo,usiku wanajadili ngono hadi pakuche.hakuna vipindi vya taaluma ujasiriamali,Kilimo,Midahalo. Hilo ni Taifa ambalo lipo kaburini kitambo...! (Kigogo Kigogo) Na kutokana na hii Aibu ndiyo maana...
  17. Idugunde

    Neno moja kwa Shujaa Mtanganyika Tundu Antipas Lissu

    Shujaa wa Tanganyika 👇
  18. B

    Ni neno gani baba yako alitamka ambalo unaliishi mpaka Leo!

    Ikiwa Leo ni siku ya baba duniani? Nakumbuka mzee wangu aliwahi kusema "hakuna mkamilifu asilimia kwa Mia kwa mia na hakuna mbovu asilimia mia kwa Mia kila mtu ukimtumia vizuri kuna fursa atakupa" Lakini aliniambia usioe kwa kuangalia umbo bali "Angalia ni mchezaji gani unayemtaka unaamini...
  19. K

    Toa neno kuhusu hizi chipsi

    😁😁😃
  20. M

    Wajuzi wa lugha, naomba kujuzwa maana ya neno "Ponjoro"

    Kama kichwa kinavyosema, naombeni mnijuze maana au tafsiri ya neno hili kwani nimelisikia siku za karibuni na bado sijapata kujua lina maana gani.
Back
Top Bottom