Kwa uongozi huu: HAKI ni neno Haramu - waziri wa Mambo ya ndani katolewa!!

Kwa uongozi huu: HAKI ni neno Haramu - waziri wa Mambo ya ndani katolewa!!

Tetesi toka Huko Twitter wanasema huwezi kupingana na mafwele ukawa salama halafu kuna wambura,kingai, awadh, kheri ukawa salama.
Yana mwisho na mwisho wake utakuwa mbaya sana, narudia utakuwa mbaya sana kwa wahusika
 
I MEKUJA BAADA YA MAMA KUKAA VIKAO NA MAKAMANDA JUZI NAONA WAMEMLALAMIKIA KWA KUUNDA UNDA TUME KWAJILI YA MAUAJI YANAYOFANYWA NA POLISI
 
Tetesi toka Huko Twitter wanasema huwezi kupingana na mafwele ukawa salama halafu kuna wambura,kingai, awadh, kheri ukawa salama.
Yana mwisho hayo ,leo nimemsikiliza Dudubaya akimuelezea Said Fella kweli inasikitisha.

Hao kina Mafwele mwisho wao utakuwa mbaya sana! Yaani utakuwa zaidi ya MBAYA ni swala la muda tu....Maisha ya duniani kwa binadamu ni mafupi mno just imagine ni around 70 tu halafu dunia ina zaidi ya miaka 4.5Billions.
 
Back
Top Bottom