nchi

  1. Labani og

    JamiiForums Tanzania Tafakuri: Haya ndio mambo yangetokea kama watanzania wote wakiwa CCM

    Wakuu, maafande wi Baada ya kushiba kipolo cha wali na chai ya maziwa hapa nimewaza mambo mengi sana ... Hebu fikiria kama watanzania wote million 70s tungekuwa na ideology au tungesuport falsafa za chama tawala .....bila upinzani nafikiri Tanzania tungekuwa mbali zaidi kiuchumi hapa Africa Kwa...
  2. R

    JamiiForums Tanzania Balozi Ulanga: Rais wetu anapokwenda kwenye nchi nyingine ni Branding, inaleta manufaa kwenye uwekezaji na utalii

    Mkurugenzi wa Biashara ya Kimataifa na Diplomasia ya Uchumi katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi John Ulanga, akizungumza katika kipindi cha Clouds 360 cha Clouds Media leo Juni 22, 2026, ameeleza kuwa ni Ziara za Rais nje ya nje ya nchi au Viongozi wengine...
  3. R

    JamiiForums Tanzania Hii nchi ngumu sana

    Hii nchi ngumu sana! Tanganyika ukitaka kuiona basi ni hapo TAMISEMI - ila sasa tumeletewa DC huyu Mohamed Hasan Moyo ambaye kwa mujibu wa taarifa ni mzanzibari! Isitoshe kumbe ni baba watoto wa Wanu na ndo mume wa kwanza - Mchengerwa ni mume namba mbili! Yaani mmekosa nchi nzima mtu wa kumweka...
  4. political monger senior

    JamiiForums Tanzania DUNIA IMEBADILIKA KUTEGEMEA MISAADA KUMEPITWA NA WAKATI WAZIRI MKUU MWIGURU NCHEMBA AMEONGEA HAYO AKIWA ZIARANI..

    Waziri Mkuu wa Tanzania, Dk Mwigulu Nchemba, amesema enzi za kutegemea misaada kugharamia maendeleo na huduma za kijamii zimepitwa na wakati, akisisitiza umuhimu wa Watanzania kujenga utamaduni wa kujitegemea na kuwajibika kutatua changamoto zao wenyewe. Dk Mwigulu amesema dunia ya sasa...
  5. Evidence mwakaway

    JamiiForums Tanzania MAMBO YA AJABU SANA HUKO NCHI ZA ASIA, DUBAI NA URUSI

    Kuna mambo nilijua nimeona na kusikia mengi ila hili alilolileata britanicca kwenye uzi wake wa episode 1 mambo yanayotokea huko ughaibun limenizuhuzunisha na kuona hela zinachukua nafasi ya ubinadamu. "Ntaendelea na kisa cha Mtanzania aliyeambukiwa online kufika anaambiwa wamnyee mdomoni na...
  6. Fbn

    JamiiForums Tanzania Fake life kwa wanaoishi nchi za nje wakiaminisha washafanikiwa

    Kuna watu wakishafika kwenye miundo mbinu mizuri wanaona wamefika kwenye mti wa pesa na mafanikio teyari. Mfano hawa vijana wanaokataa kuuza mitumba na kutembeza sigara Tanzania wanakimbilia South Africa kwenda kushinda nje kuuza sweet. Mwaka jana kuna jamaa yangu anaishi USA sitapenda kutaja...
  7. Fbn

    JamiiForums Tanzania Aisee yani tulikopa mpaka nchi ya IRAQ na tuna daiwa pesa

    Hii nchi hipo siku tutasikia somalia tulienda kukopa pesa. Hapa nacho kiona tuna subiri majini nao waje kuleta shutuma zao nao walikopwa na huyu mama pesa. Hivi tumefikia steji mbaya sana na pesa zote zimefanya nini ?.
  8. technically

    JamiiForums Tanzania Nchi hii inatia hasira bila kwenda road hakuna kitu kitabadilika

  9. instinct desire

    JamiiForums Tanzania Waasisi wa Taifa letu waliwafukuza mabeberu ili ku-mantain Tanzania's sovereignty leo chadema wanawatumia mabeberu ili kuhujumu Tanzania's sovereignty

    Chadema haikuanzishwa ili kupingapa na dhamira ya waasisi wa Taifa letu ya ku-mantain national sovereignty. Nashangaa kuona Leo hii chadema wanafanya siasa kwa mgongo wa mabeberu hii ni aibu na ni ujinga mkubwa. Chadema haikuanzishwa ili kuirudisha nchi kwenye utawala wa mabeberu, chadema...
  10. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania RAIS SAMIA AIPA NCHI HESHIMA KIUCHUMI

    ✅️Mbunge aeleza alivyoanza kuwatoa Watanzania kuombaomba misaada. ✅️Aeleza alivyoondoa utegemezi Kidogokidogo hadi kubakia asilimia 0.9 ✅️Alianza kupunguza kutoka Shilingi trilioni 1,Shilingi bilioni 925,Sasa bilioni 563.
  11. Waterloo

    JamiiForums Tanzania Rais Donald Trump. Iran anayo Haki ya kumiliki makombora ya ballistic kwa sababu kuna nchi nyingine pia Wanazo

    Rais wa marekani ameendelea kuishangaza dunia baada ya kuendelea kutoa kauli zinazowashangaza waisraeli na baadhi ya waungaji mkono wa vita ya marekani/Israel na Iran. Leo amesema Iran Ina Haki ya kuwa na makombora ya ballistic lakini pia Frozen asset ni fedha zao inabidi wapewe. Ameeleza kuwa...
  12. Fbn

    JamiiForums Tanzania Hivi siku nchi yetu ikifikia steji ya mwisho kama Zimbabwe. CCM wataongea nini na kumlaumu nani

    Tokea kupata uhuru ni CCM kipo madarakani. Taifa mumeligeuza mali ya chama.Siku nchi imekuwa corrupt ni nani mtamlaumu na mtawaeleza ninu wananchi.
  13. britanicca

    JamiiForums Tanzania Ubunifu zero kabisa kupeleka makasha kwala, hatunaga watu wa mipango nchi hii

    Yaan unapeleka makasha kwala yaan “Tunayapeleka moja kwa moja Morogoro maana hata yakishuka Kwala bado yatafika Vigwaza na kuendeleza foleni ileile ya kuja Dsm na kuelekea Morogoro. WASOMI NA UPEMBUZI YAKINIFU🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭 Si afadhali kufungua ICD Dodoma ( Halfway to DRC, Burundi , Rwanda na...
  14. britanicca

    JamiiForums Tanzania Wanakuachia mchana wanakufuata usiku, nchi ya kishenzi sana

    Jilindeni sana, Kikosi kinapewa maelezo tena kama ilee ya code 29102025 Britanicca
  15. Fbn

    JamiiForums Tanzania Swala la umeme africa bado sana kama ili tena kampuni moja inataka umeme wa nchi nzima na bado inakudai.

    Kenya walishawai kupata dili la Microsoft wafungue data center ila kampuni ili hitaji gigawati 1 ya umeme.wakat Kenya kwa wakati huo ilikuwa na uwezo wa kuzalisha takribani MW 3,000–3,200 tu. Hapo ni kenya.
  16. Fbn

    JamiiForums Tanzania Nimejifunza nchi kama China na USA japo ghost town ni ngumu kuzibiti

    Tatizo la ghost town lipo dunia nzima hata kama utaboresha vipi na kulipa au kusaidia watu waishi hapo bure. Shida tunayotaka kuangalia ni nchi kuwa ya mikakati mfano kama ilivyo USA na China ili kubalance maendeleo na fursa sehemu zote. Ukiwa nchi kama china au USA wamejigawa ndio maana...
  17. instinct desire

    JamiiForums Tanzania HOJA Msiweke namba za simu kwenye taasisi zenu ili hali mnaona kabisa hamna mpango wa kuzipokea na kuwasaidia watu wapate huduma, mnaudhi sana

    Nianze kwa kuwapongeza customer care wa kwenye private sectors Wapo very active kupokea simu na kutoa maelekezo ya huduma wanazo zitoa kwa wateja hapa nawajumuisha na customer care wa TANESCO. Nije kwa hawa customer care wetu hawa, wanaoweka namba za simu ili watu wapge wapate maelekezo ya...
  18. F

    JamiiForums Tanzania Kwanini Zanzibar isichukulie kama fursa ongezeko la wanaokimbilia nchini humo kutafuta matibabu?

    Badala ya nchi ya Zanzibar kukataza watu wa nchi nyingine kama Tanganyika na Kenya kutibiwa nchini Zanzibar mimi ningewashauri viongozi wa nchi hii kuchkulia jambo hilo kama fursa ya kiuchumi ya kuingiza fedha za kigeni.
  19. Fbn

    JamiiForums Tanzania Nchi ya tanzania kila kitu uzinduzi

    Baada ya uzinduzi wa kutakuwa na sheree ya mchana na usiku tutamuita msanii kuburudisha
  20. T

    JamiiForums Tanzania Nchi hii tulipata bahati mbaya

    Nchi hii tulipata bahati mbaya sana sijui tulimkosea mungu nini. Kutoka urais wa John Pombe Magufuli hadi kuingia urais wa Samia Suluhu?! Samia sio mzalendo jasiri na mwenye maarifa kama magufuli. Samia kiitikadi ni mbinafsi mpenda kujilimbikizia mali kwake na jamaa zake, mwenye upendeleo wa...
Back
Top Bottom