Aisee hii mindset ya kusema kabila fulani ni mzuri halafu kabila lingine ni mbaya ni kitu kubaya sana aisee asikuambie mtu wakuu na unatakiwa kuindoa hiyo mindaet kabisa
Miezi kadhaa nilimchumbia binti mmoja wa kabila la kanda ya ziwa mkoa wa simiyu yeye ni Mkristo (Msabato) mie ni ni mlokole...
Ukihitaji salamu subiri kwanza nijipatie jiko,tofauti na hapo utaambulia vumbi la Kongo!
Mimi TUKANA UONE ninakuja kwenu wanawake wote kutoka pande zote za nchi ya Tanzania ambao mnautumia mtandao huu pendwa wa JF!
Dhumuni au Kusudio la Uzi huu ni kwamba nahitaji mwanamke atakayekuwa mama wa...
Habari,
Mimi ni kijana umri miaka 27 mkazi wa Dar es Salaam, natafuta ajira ya udereva wa class A2,D Kwa magari madogo ya biashara ama binafsi.
Tupeane ajira ndugu zangu kuukimbia umaskini.
Hello,
Been a while since I posted here,,,nadhani vijana wenzangu mpo poa,,na wazee mpo fresh kabisa kiafya.
Mimi ni mchimbaji wa feldspar na nina migodi ya Golden Feldspar pamoja na carrot na mengine.
Sasa nilikuwa nina mgodi wangu mmoja wa Golden Feldspar ambao survey yake ime turn to...
Habari wakuu,
Natafuta dalali yeyote wa kunitaftia frame Arusha, maeneo ya mjini kama Standkuu, kkoo, chini ya mti, jogoo, stand ndogo, Mnazi Mmoja...nk.
Kwa yeyote mwenye connection tuchekiane DM au share namba hapa.
Natanguliza shukrani
Kama heading inavyosema mimi ni mwanume aged 30 ni mwembamba mrefu na mweusi nimeajiriwa private company.
Ninatafuta mwanamke aged 20 mpaka 35 awe na kazi au biashara nipo bagamoyo serious one hit my pm
NB serious relationship kuelekea ndoa
Mambo vipi ndugu zangu wa JF mko vema kabisa na mnaendelea na mapambano.
Ombi langu Natafuta kazi yoyote tu mimi ni kijana miaka 27 sina ujuzi wowote, napatikana Mara.
Natumaini ntapata kazi, Asante 🙏
Habari,
Mimi ni kijana wa miaka 24 nimehitimu katika chuo cha uhasibu Dar es salaam kwa ngazi ya Degree (Degree in accountancy) kwa sasa napatikana Dar es Salaam. Natafuta kazi ya uhasibu katika taasisi yoyote.
Nina uzoefu wa miaka 5 katika mauzo ya Sola kwenye kampuni ya offgrid electric power maarufu kama Zola. Mpaka sasa nafanya kazi katika kampuni hiyo
Nilianza kama afisa mauzo wa kawaida na badae sales leader
Kitaaluma ni mwalimu kwa ngazi ya degree
Kusimamia teams za mauzo na motivations kwa...
Awe bado ni binti ambaye hana mambo mengi na ni Mkristo! Kama atakuwa kamaliza kidato cha nne itapendeza zaidi! Ndio nasema kidato cha nne kwasababu wengi unakuta wako nyumbani hawana issue mwisho wa siku wanaenda kuuza Baa au kudanga wapate hela ya kula.
Kazi kuu itakuwa kuuza dukani! Akiamka...
Habarini WanaJF
Natumaini hamjambo wote. Mimi nimesome Bachelor Degree in Biology lakini nimejaribu kutafuta kazi nakosa naambiwa coarse yangu ni general sana.
Nilikuwa naomba mwenye kujua kozi ambazo naweza kujiwndeleza ili niwe specific
Natanguliza shukrani
Kama kisemavyo-kichwa cha habari hapo juu
Majukumu yake ni kama yafuatayo
Kuomba kwa mda mrefu na kwa mzigo kwa ajili ya kutatua changamoto za watu wengine
Kushauri beneficiary (wahitaji/wanaoombewa) kwenye changamoto zao wanazokutana nazo
Kushirikiana na beneficiary (wahitaji/wanaoombewa)...
Habari wakuu kwema nyote, natumaini hamjambo wote,
Sawa baada ya salamu naomba nije kwenye jambo langu hili, mimi ni kijana jinsia me miaka 27 nipo musoma, natafuta kazi yoyote iwe na angalau narudi na chochote kitu jioni,
Nipo tu sina mishe yoyote wala kazi, naomba tafadhali kama...
Habari Wakuu,
Natafuta Maduka, Vibanda vya Uwakala, Saluni na sehemu za kuweka Donat zangu.
Donati zangu zauza shilingi 100, nikiweka kwako nitakupa shilingi 20 kwa kila donati.
Nipo Mabibo, Dar es Salaam
Habari za mchana na poleni na majukumu.
Jamani humu ndani kama kuna mtu anafahamu mwalimu wa gymnasium au mahali nawezapata info zitakozoniwezesha kupata uyo mwalimu naomba nisadie, pia unawezanitumia kama ni number ya sim kwa PM.
Asanteni sana
Habari za Kazi,
Mimi ni mwanaume mwenye umri 40+. Natafuta Mchumba baadae aje kuwa mke, nahitaji sana watoto kwa sasa.
Tafadhali naomba binti ambaye yuko tayari kuwa na mimi aje PM, umri usizidi 38, awe mcha Mungu kiasi au sana ni sawa tu, awe mfanyakazi na awe tayari kuja kuishi Dar kama...
Ninatafuta sana sehemu ambako kuna kitu kama mnada wa mbwa. Sehemu ambayo watu hupeleka mbwa wao kuuza hapo na watu huenda hapo kununua mbwa.
Yaani sehemu ambayo unakuta wauzaji mbalimbali wanauza mbwa aina mbalimbali ili uwe na nafasi ya kuchagua mbwa unayemtaka.
Sehemu yenye ushindani pia...
Helloe, Mimi ni msichana Nina miaka 27,elimu yangu Diploma natafuta kazi idara ya afya "clinical officer" nipo mkoa wa Ruvuma, kwa mawasiliano naomba kuni DM.Asanteni niwatakie kazi njema kwenye kujenga taifa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.