Palina
JF-Expert Member
- Oct 9, 2021
- 3,057
- 8,085
Habarini wana JF, Mimi ni moja kati ya vijana ambao tumebahatika Kumaliza chuo mwaka huu 2021/2022 sina budi kumshukuru Mungu kwa hilo. Nimesoma Bsc. Human Nutrition, chuo kikuu cha Sokoine cha kilimo (SUA). Shahada hiyo imejikita kwenye masuala yafuatayo;
1. Nutritional Assessment and Surveillance
2. Nutritional Epidemiology
3. Designing and Planning Nutrition Programme
4. Geriatric Nutrition and Counseling
5. Food and Nutrition Security
6. Nutrition Management in Emergency and Disaster
7. Nutrition Information, Education and Communication
8. Community Health and Health Promotion
9. Nutrition Counseling
10. Nutrition and Disease
Kwa heshima na taadhima ninaomba msaada kwa yeyote ambae anaweza akanipatia muongozo/sehemu ya kujitolea, ili niweze kuongeza ujuzi nilio nao.
Shukrani!!
1. Nutritional Assessment and Surveillance
2. Nutritional Epidemiology
3. Designing and Planning Nutrition Programme
4. Geriatric Nutrition and Counseling
5. Food and Nutrition Security
6. Nutrition Management in Emergency and Disaster
7. Nutrition Information, Education and Communication
8. Community Health and Health Promotion
9. Nutrition Counseling
10. Nutrition and Disease
Kwa heshima na taadhima ninaomba msaada kwa yeyote ambae anaweza akanipatia muongozo/sehemu ya kujitolea, ili niweze kuongeza ujuzi nilio nao.
Shukrani!!