Myebusi Mweusi
JF-Expert Member
- Jan 23, 2022
- 668
- 1,505
Kama ni madawa, sasa naona yane expire. Huyu mama wa watoto wawili, mkubwa ana 27 na mdogo 24, sijui ilikuwaje nikajikuta tu mikononi mwake, tangu siku hiyo nikajikuta nampenda kichizi.
Nikahama ghetto naye akahama kwao na watoto wake tukapanga nyumba. Mwanamke kanizidi miaka 8.
Sasa nataka nimuache bila ya kumuumiza moyo, je kuna dawa ama mbinu yoyote?
Nikahama ghetto naye akahama kwao na watoto wake tukapanga nyumba. Mwanamke kanizidi miaka 8.
Sasa nataka nimuache bila ya kumuumiza moyo, je kuna dawa ama mbinu yoyote?