natafuta kazi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Rashid Ally Masaho

    Naomba msaada wa kuweza kupata ajira au internship

    Habari zenu wakuu, Mimi ni graduate mechanical engineer. Naomba msaada wa kuweza kupata ajira au internship. Natanguliza shukrani za dhati kwenu.
  2. M

    Natafuta kazi yoyote halali

    Mimi nina degree ya lab technician ila nimeomba kazi sehemu nyingi sana nimekosa. Naomba unisaidie kupata kazi yeyote nitafanya ila iwe halali. Nipo na hali mbaya sana wakuu.
  3. Shobi

    Naomba msaada wako natafuta kazi Bsc Computer Science

    thread closed
  4. AfricaUnited

    Msaada: Natafuta kazi au kujitolea ya Assistance accountant

    Habari wana jamvi. Nina mtoto wa dada wa kiume anamiaka 28 , amemaliza degree ya accountancy mwaka 2017 , nilimuingiza kwenye biashara , sasa anataka pata ajira biashara ngumu. Hana uzoefu wa kazi ya uhasibu yoyote ,ila ni muelewa wa haraka na yupo tayari kujitolea mkoa wowote tanzania...
  5. C

    Natafuta kazi ya Ualimu ndugu zangu

    Habari za saa hizi ndugu zangu, Aise! Maisha ni changamoto kubwa sana kwangu kwa sababu ya kukosa hata kodi ya nyumba. Nilikuwa nasoma chuo Dar es Salaam. Chuo nimemaliza natafuta kazi. Elimu yangu: BA-ED (Bachelor of arts with Education). (Nimemaliza mwaka huu nasubiri transcript). Masomo ya...
  6. Mkogoti

    Natafuta kazi ila sina aina yoyote ya ujuzi

    Nipo napatikana Mara - Musoma kwa Mawasiliano zaidi nicheck 0674615883 nyote mnakaribishwa NOTE: Nikisema sina ujuzi wowote nifaamike hivyo mwenye kuniitaji ili niwe napata angalau ugali wangu wa kila siku anione, nipe kazi yoyote ila sio ya wizi,ujambazi wala utapeli, 🙏🙏
  7. opondo

    Natafuta kazi nina degree ya Ualimu masomo ya Physics na Chemistry

    Habarini wakuu, natafuta kazi ya ualimu masomo ya physics na chemistry nimegraduate mwaka huu nipo mwanza, lakini naweza kufika sehemu yoyote Tanzania. Kwa atakenisaidia kupata sehemu ya kujishikiza siwezi kumuacha patupu. Advance nilisoma PCB na nilipata division 2 point 12... GPA ya Chuo...
  8. rabson john

    Ninatafuta kazi ya Udereva

    Naitwa RABSON JOHN Naishi DAR ER SALAAM MABIBO NINA MIAKA 27 Mimi ni kijana ambae nina fani ya Udereva. Pia nina uzoefu wa Sales & Marketing nimewahi fanya kazi na makampuni mengi hapa Dar er Salaam Nina leseni ya udereva yenye madaraja haya. A.A2.B.C1.C2.C3.D.E pia napenda kuwaomba kazi ya...
  9. Tzr786

    Natafuta kazi inayohusiana na Logistics and Transport

    Habari wana JF wa jamvi hili la Ajira. Nina diploma ya Logistics and Transport Management kutoka katika chuo cha usafirishaji (N.I.T), plus Microcomputer course kutoka University of Dar es salaam (U.C.C). Nina experience ya miaka miwili kusimamia magari na madereva, nina skills za kutosha...
  10. cadnopoints

    Natafuta kazi ya Uandishi/uhariri

    Habari wakuu..! Natafuta kazi ya uandishi/uhariri wa kazi mbalimbali za maandishi kwa lugha ya Kiswahili na kiingereza kama vile makala, hotuba n.k Kwa yeyote mwenye mchongo tafadhali tuwasiliane. -Nina utaalam na masuala ya computer (Word, PowerPoint, SPSS na Excel including VBA n.k) -Ni...
  11. cadnopoints

    Natafuta kazi ya Uandishi/uhariri

    Habari wakuu..! Natafuta kazi ya uandishi/uhariri wa kazi mbalimbali za maandishi kwa lugha ya Kiswahili na kiingereza kama vile makala, hotuba n.k Kwa yeyote mwenye mchongo tafadhali tuwasiliane. -Nina utaalam na masuala ya computer (Word, PowerPoint, SPSS na Excel including VBA n.k) -Ni...
  12. J

    Natafuta kazi, nimesomea Air Ticketing

    Mimi ni mwanamke mwenye miaka 32 Naishi Dar es salaam Nimemaliza form six Nimesomea Air Ticketing Nina experince ya zaidi ya miaka 5 kwe flight reservation Nina experince ya miaka 2 kama receptionist kwenye 4 star hotel. Kwasababu ya Corona kampuni niliyokuwa naifanyia kazi biashara imeyumba...
  13. G

    Vibarua viwandani au part time job kwa hapa Dar es Salaam zinapatikana wapi?

    Naomba kujuzwa chimbo la vibarua hapa mjini ni wapi? Na kazi zipi za part time hapa bongo? Kuna mtu nlimsikia kuwa posta karibu na clock tower kuna sehemu watu wanakusanyika kusubiri vibarua na nje ya bandari ni kweli? Kama kweli taratibu zipoje? Na malipo yakoje? Tujuzane wakubwa
  14. M

    Natafuta kazi kwenye maduka, hoteli, supermarket n.k

    Kwa majina naitwa Halima Amiry nina elimu ya kidato cha nne natafuta kazi ofisin, supermaket, madukani, hotelini 0693772875
  15. nick4real

    Natafuta kazi ya kuwa Graphics Designer

    Rejea Post yangu ya Natafuta kazi ya Graphics Designer.. Naitwa NICKSON AIVAN, Nilipokuja kwa mara ya kwanza kutangaza nataka kazi ya kuwa graphics designer wanaJamii Forums mlinitia moyo na wengne kunitafuta kunipa tenda nashukuru sana Kama unatafuta mtu wa graphics ofisin kwako au unakazi...
  16. Sabryna

    Natafuta kazi kwenye supermarket, duka la nguo, vipodozi, usafi wa maofisini

    Naitwa Sabrina Nina miaka 22, Naishi Dar, Ukonga. Elimu yangu kidato cha 4 Naongea English na Kiswahili, Natafuta kazi ya duka la nguo, vipodozi, supermarket au usafi wa maofisini.
  17. V

    Natafuta kazi, nimesoma Bachelor of Finance na uzoefu mwingi

    Hello wanaforum naitwa richard nimegraduate degree ya finance university of dsm natafuta nafasi ya kazi ya kujitolea kwenye kampuni yoyote nipate uzoefu Napatikana Dar Es Salaam Tanzania namba zangu 0657710078
  18. Meneja Wa Makampuni

    Nina Shahada ya Sociology natafuta kazi

    Habari za leo wakuu, Life limekua gumu kitaa natafuta kazi nina shahada ya sociology. Sina uzoefu. Nina miaka 24 Mshahara uanzie laki 8 net baada ya makato. Natanguliza shukrani wakuu.
  19. N

    Natafuta kazi ya civil technician

    Wakuu habari za jioni.Kama kichwa cha habari kinavyoeleza nmesoma civil engineering level ya diploma na nina uzoefu wa miaka2. Nimefanya kazi kwenye project za barabara na majengo. Mwenye connection au nafasi ya kazi anisaidie sitomwangusha.
Back
Top Bottom