Habari ndugu zangu
Wakuu naombeni majina ya kikristo mawili ya mapacha, mtoto wa kiume na kike lianze na herufi "J" na mwisho liishie na herufi sound " N"
"Likianza na "Jo" lika sound mwisho "N" itakua unyama zaidi maana mbegu na mayai tumeunga j & n mwanzoni ningependa na watoto wa anze na...
Wakuu natanguliza shukrani kwenu.
Naombeni mnipe tofauti ya hizi KOZI mbili ambazo ni
1.Barchelor of arts in community development
2.Barchelor of community development
Hizi KOZI mbili zinatolewa kwenye vyuo viwili tofauti moja chuo cha ardhi na nyingine ni SUA. Naombeni mnisaidie utofauti...
Inaanzia nikiwa eneo ninalifahamu nikaenda kunywa supu anaye pika supu namfahamu ni kweli anauzaga supu na huwa nakunywa mara kadhaa asubuhi nikiwa kazini.
Sasa nilipofika kwenye sufuria ya supu tulikuwa watu kama 3 hivi wenzangu wakachota na kuanza kunywa ila mm kila nikichota ile supu ilikuwa...
Habari wana jf kuna dogo kamaliza form 4 mwaka jana .kaniombs ushauri wa kitu cha kusoma mm nimeshauri aende veta tu. Dirisha likifunguliwa kama kunaushauri tofauti na wangu naomba unisaidie tumshauri dogo ufaulu wake nika ifuatavyo
phy d mth f cv f kxw f bio c geo c chem d lit d hixtr c .pia...
Habari wanajukwaa,
Nipo kwenye eneo ambalo maji ni changamoto kubwa sana, tatizo kubwa ni kwamba maji yanayopatikana hapa ni ya chumvi (hayafai kunywa moja kwa moja, pengine hata kuoga wala kufulia).
Kutokana na hali hiyo, nimekuwa na wazo la kuanzisha huduma ya kusafisha maji kwa kutumia...
Good morng
Ase hii kitu ina ni kwaza sana since nipo mdogo up now tena kipindi nipo mdogo nilikuwa sitamani usiku ufike kabisa ipo hivi
Usiku nikiwa nimelala naweza amka katikati ya usiku nikawa macho up saa kumi au saa kumi na moja na hapo unakuja usingizi ule mzito sana then na muona mtu...
Habari zenu ndugu zanguu
Naitwa Michael Godfrey Kutoka Transpark Solution Marketing agency. Taaluma yetu ni kusaidia biashara yako kupata wateja zaidi kupitia promesheni, branding, na digital marketing.
Tunaweza kukusaidia kuongeza mauzo.
Naweza kukuelezea jinsi tunavyofanya kazi kama...
Habari zenu wakuu
Nimemaliza kidato cha 6 PCB mwaka 2024 Na kubahatika kupata 1.9
Katika process ya kuomba vyuo, nikaja kupata round ya 3 ambayo ndo ya mwisho kabisa chuo cha kampala, kozi MD.
Sasa ndugu zangu, mm kwetu hoehae,uchumi ni mdogo sana kuweza kumudu hizo garama za ada ambayo ni...
Wadau wa elimu, naombeni ushauri.
Mimi ni mwalimu ngazi ya diploma muajiriwa.
Nahitaji kufanya program nyingine tofauti na ualimu ili nifanyiwe recategorization.
Ni ipi program kwa halmashauri ninayoweza kupata recategorization kwa urahisi kati ya hizi.
1.Bachelor of social work(OUT)...
Wadau wa elimu, naombeni ushauri.
Mimi ni mwalimu ngazi ya diploma muajiriwa.
Nahitaji kufanya program nyingine tofauti na ualimu ili nifanyiwe recategorization.
Ni ipi program kwa halmashauri ninayoweza kupate recate kwa urahisi kati ya hizi.
1.Bachelor of social work(OUT)
2.Bachelor of...
Wajumbe hamjambo.
Nakuja kwenu nikiwa na masikitiko makubwa sana nina ndugu yangu wa kike kafeli mitihani ya F6
Kapata as follows
Gs - E
Phy - S
Chem - E
Bio - D
B/math - F
Naombeni ushauri huyu dogo tumpeleke wapi sasa maana degree hawezi kujiunga kabisa hivyo option aliyonayo ni...
JINA: Kijana Masikini
SIFA: Nimewahi kumiliki hela za kutosha.
kwanini aliyopo hatufai?
1. Hana nidhamu ya utu wala nidhamu ya pesa.
(ushahidi ni ban alopewa jana)
2. Sio mbunifu.
Akili imekorogeka na unywaji gongo kupita kiasi hivyo hawazi kitu kipya cha maana cha kuwatoa Jobless katika hatua...
Husika na kichwa Cha Habari
Wadau naombeni muongozo hapa, je hii kitu ni sawa?
Kwenye makazi ya watu mtu nyumbani kwake anachanganya sumu Kali zenye harufu Kali za kuua wadudu mashambani na kwenye mazao , hivyo harufu inasambaa kwa majirani na watoto are present
Hivi hizi sumu si ndio...
Mimi Kila nikifanya mapenzi na mke wangu tukimaliza baada ya siku Moja anatokwa na chunusi usoni kipele kimoja au viwili hivi hili imekaaje wataalam wa Afya?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.